Jakuto

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake.

Jakuto (pia: Jacut; Jagu, Yagu; Cornwall, Uingereza, 455 hivi - Bretagne, Ufaransa, karne ya 6) alikuwa mmonaki anayetajwa kama mwanzilishi wa monasteri ya Landoac nchini Ufaransa[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu kama pacha wake Gwetnoko na mdogo wao Vinvaleo.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 8 Februari[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Doble, Gilbert H. (1962). The Saints of Cornwall Part II. Truro: Dean and Chapter of Truro. ku. 59–108. 
  • Latouche, Robert (1911). Mélanges d'histoire de Cornouaille (VI-XI siècle). Paris: Honoré Champion. (Bibliothèque de l'école pratique des hautes études, Vol. 192), pp. 2–39. (showing that the documents and the life are forgeries)
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.