Frezali

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake.

Frezali (pia: Frézal, Frézals, Frézol, Frodoald, Frodoaldus, Frotoald, Frothoald, Frédold, Frédald, Frédaldi; karne ya 8 - 828) alikuwa askofu wa mji huo, Galia, leo Ufaransa[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 4 Septemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.