Frances Cabrini
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Fransiska Saviera Cabrini (Sant'Angelo Lodigiano, Italia, 15 Julai 1850 – Chicago, Illinois, Marekani, 22 Desemba 1917) alikuwa mwanzilishi wa shirika la Masista Wamisionari wa Moyo Mtakatifu (kwa Kiingereza Missionary Sisters of the Sacred Heart).
Jumuiya hiyo ilianzia Italia na kufanya kazi hasa Marekani kati ya wahamiaji kwa kujenga shule, hospitali na nyumba kwa watoto yatima.
Mwaka 1946 Mama Cabrini alitangazwa kuwa mtakatifu akiwa raia Mmarekani wa kwanza kupewa heshima hiyo.
Sikukuu yake ni tarehe 22 Desemba.
Viungo vya nje [hariri]
- Biography at mothercabrini.org
- St. Frances Xavier Cabrini Shrine; in New York, N.Y.
- Mother Cabrini High School in Manhattan
- Mother Cabrini Shrine; in Golden, Colorado
- Cabrini Mission Foundation
- Cabrini College
- Cabrini High School in New Orleans, LA
- St. Cabrini Nursing Home in Dobbs Ferry, NY
- St. Cabrini Home in West Park, NY
- St. Frances Cabrini Parish in Allen Park, MI
- Kigezo:Find a Grave
- St. Frances Xavier Cabrini
- Founder Statue in St Peter's Basilica
| Makala hii kuhusu Mkristo huyu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Frances Cabrini kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |