Eusebi wa Milano

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Eusebi wa Milano.

Eusebi wa Milano (alifariki Milano, Italia Kaskazini, 8 Agosti 462) alikuwa askofu wa mji huo kuanzia mwaka 449.

Inasemekana alikuwa Mgiriki.

Alipigania imani sahihi na kujenga upya kanisa kuu lililobomolewa na Wahunni[1].

Papa Leo I alimuandikia barua (451).

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 8 Agosti[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.