Diplomasia
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Diplomasia ni pale nchi zikipeana mikataba, au wasipeane. Diplomasia na majadiliano baina ya nchi moja au nchi zaidi ya moja na nchi nyingine. Kuna kipindi mazungumzo haya uhusu masuala ya kibiashara, na kuna kipindi uhusisha masuala ya vita na amani. Diplomasia hutokea sana pale nchi mbili au zaidi zikipigana. Diplomasia inasaidia kusimamisha vita baina ya nchi mbili.
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
| Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |