Geneva

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Geneva, Uswisi


Jiji la Geneva
Jiji la Geneva is located in Uswisi
Jiji la Geneva
Jiji la Geneva

Mahali pa mji wa Geneva katika Uswisi

Majiranukta: 46°12′0″N 6°9′0″E / 46.20000°N 6.15000°E / 46.20000; 6.15000
Nchi Uswisi
Majimbo Jimbo la Geneva
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 187.000
Tovuti:  www.ville-ge.ch

Geneva (Kifaransa: Genève, IPA: [ʒənɛv]; Kijerumani: Genf, IPA: [ˈɡɛnf] ( listen); Kiitalia: Ginevra) ni mji mkuu wa Jimbo la Geneva nchini Uswisi. Idadi ya wakazi wake ni takriban 187,000.

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Uswisi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Geneva kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.