Ban Ki-moon
Ban Ki-moon (* 13 Juni 1944 mjini Eumseong katika Korea) ni Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa tangu 1 Januari 2007 akimfuata Kofi Annan.[1]
Ban aliwahi kuwa Waziri wa mambo ya nje ya Korea Kusini kati ya 2004 hadi 2006. Tar. 13 Oktoba 2006 alichaguliwa na Mkutano Mkuu wa UM kuwa Katibu Mkuu.
Elimu[hariri]
Ban alisoma katika Korea Kusini hadi digrii ya kwanza ya B.A. kwenye chuo kikuu cha Seoul (1970). 1985 aliongeza digrii ya uzamifu kutoka Chuo Kikuu cha Harvard (Marekani).
Familia[hariri]
Ban alioa na kuzaa mvulana mmoja na mabinti wawili. [2]
Viungo vya Nje[hariri]
- Ban Ki-moon kwenye BBC
|
|||||||
Cite error: <ref> tags exist, but no <references/> tag was found