Ban Ki-moon

Kutoka Wikipedia

Ban Ki-moon (* 13 Juni 1944 mjini Eumseong katika Korea) ni Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa tangu 1 Januari 2007 akimfuata Kofi Annan.[1]

Ban aliwahi kuwa Waziri wa mambo ya nje ya Korea Kusini kati ya 2004 hadi 2006. Tar. 13 Oktoba 2006 alichaguliwa na Mkutano Mkuu wa UM kuwa Katibu Mkuu.

[hariri] Elimu

Ban alisoma katika Kora Kusini hadi digrii ya kwanza ya B.A. kwenye chuo kikuu cha Seoul (1970). 1985 aliongeza digrii ya M.A. kutoka Chuo Kikuu cha Harvard (Marekani).

[hariri] Familia

Ban alioa na kuzaa mvulana mmoja na mabinti wawili. [2]

[hariri] Viungo vya Nje

WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Vifaa binafsi