Apolo (mitholojia)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Apolo
Sanamu ya Apolo na alama zake—lira na nyoka Pithoni
Mungu wa nuru, tiba, muziki, ushairi, tauni, jua na elimu
MakaoMlima Olimpos
AlamaLira, Zingo la mbei, Pithoni, Kunguru, Upinde na mishale
WazaziZeu na Leto
NduguArtemi
Ulinganifu wa KirumiApolo

Apolo (kwa Kiatika, Kiionia, na Kihomeri: Ἀπόλλων, Apollōn (jen.: Ἀπόλλωνος); kwa Kidoriki: Ἀπέλλων, Apellōn; kwa Kiarkadokupro: Ἀπείλων, Apeilōn; kwa Kieolia: Ἄπλουν, Aploun; kwa Kilatini: Apollō) ni jina la mungu wa nuru, jua, ukweli, uponyaji, ugonjwa, upigaji wa mishale, muziki na ushairi katika mitholojia ya Kigiriki na Kirumi.

Yeye aliaminiwa kuwa mwana wa Zeu na Leto na ndugu pacha wa Artemi.

Kwa asili alikuwa Mungu wa Wagiriki lakini ibada yake ilisambaa mapema katika Roma ya Kale pia. Wakati mwingine aliabudiwa kwa jina la Kilatini Phoebus.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.