Anatoli wa Konstantinopoli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha takatifu yake.

Anatoli wa Konstantinopoli (Aleksandria, Misri, karne ya 4 - Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, 3 Julai 458) alikuwa askofu wa mji huo kuanzia mwaka 449 hadi kifo chake.

Baada ya kukiri imani sahihi kadiri ya barua ya Papa Leo I kwa Flaviano katika Mtaguso wa Efeso (431)[1], alifanya ithibitishwe na Mtaguso wa Kalsedonia (451)[2].

Anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi tangu kale kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 3 Julai[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.