Kujiua : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 86 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q10737 (translate me)
Added referenced translation from English by Paul Warambo (Translators Without Borders), Please join us...
Mstari 1: Mstari 1:
{{Infobox disease
'''Kujiua''' ni tendo la mtu kumaliza maisha yake mwenyewe ama kwa kufanya kitu kinachoharibu uhai wake au kwa kuacha yale yanayohitajika kuuendeleza kama kula au kunywa.
| Name = Suicide
| Image = Edouard Manet 059.jpg| Caption = ''[[Le Suicidé|The Suicide]]'' by [[Édouard Manet]] 1877–1881
| ICD10 = {{ICD10|X|60||x|60}}–{{ICD10|X|84||x|60}}
|ICD9 = {{ICD9|E950}}
|MedlinePlus = 001554
| eMedicineSubj = article
| eMedicineTopic = 288598
| MeshName = Suicide
| MeshNumber = F01.145.126.980.875
}}
<!--Fasili na vipengele vya hatari -->
'''Kujiua''' ([[Kilatini]] ''suicidium'', kutokana na ''sui caedere'', "kujiua") ni kitendo cha kusababisha kifo cha mtu binafsi kimakusudi. Mara nyingi, watu hujiua kufuatia [[kukata tamaa (hisia)|kukata tamaa]]. Mara nyingi kujiua husababishwa na [[tatizo la kiakili]] kama vile [[tatizo kuu la mfadhaiko|mfadhaiko]], [[maradhi ya hisia mseto]], [[skizofrenia]],ulevi au [[Kutumia vileo|kutumia dawa za kulevya]].<ref name=Hawton2009>{{cite journal |author=Hawton K, van Heeringen K |title=Suicide|journal=Lancet |volume=373 |issue=9672 |pages=1372–81 |year=2009 |month=April |pmid=19376453 |doi= 10.1016/S0140-6736(09)60372-X}}</ref> Vipengele vya dhiki kama vile [[matatizo ya kifedha]] au matatizo ya [[mahusiano ya kijamii]] huchangia sana. Juhudi za kuzuia kujiua hujumuisha kupunguza uwezo wa kufikia bunduki, kutibu magonjwa ya akili na matumizi mabaya ya dawa na kuboresha maendeleo ya kiuchumi.


<!--Mbinu na Epidemolojia-->
== Kutokea kwa kujiua ==
Mbinu inayotumika zaidi ya kujiua hutofautiana katika nchi mbalimbali na huhusishwa kwa kiasi na mbinu zinazopatikana. Mbinu zinazotumika mara nyingi hujumuisha: [[kujinyonga]], [[kunywa sumu]] na kutumia bunduki. Takriban watu 800,000 hadi milioni 1 hufa kwa kujiua kila mwaka. Kujiua ni kisababishi cha 10 kikuu zaidi cha vifo kote ulimwenguni.<ref name=Hawton2009/><ref name=Var2012/> Viwango vya wanaume kujiua ni zaidi ya vya wanawake huku wanaume wakiwa na uwezekano wa mara 3-4 wa kujiua kuliko wanawake.<ref>{{cite book|last=Meier|first=Marshall B. Clinard, Robert F.|title=Sociology of deviant behavior|year=2008|publisher=Wadsworth Cengage Learning|location=Belmont, CA|isbn=978-0-495-81167-1|page=169|url=http://books.google.co.uk/books?id=VB3OezIoI44C&pg=PA169|edition=14th ed.}}</ref> Imekadiriwa kuwa kuna [[majaribio ya kujiua yasiyofaulu|majaribio ya kujiua yasiyo hatari]] milioni 10 hadi 20&nbsp; kila mwaka.<ref>{{cite journal|author=Bertolote JM, Fleischmann A |title=Suicide and psychiatric diagnosis: a worldwide perspective |journal=World Psychiatry|volume=1 |issue=3 |pages=181–5 |year=2002 |month=October |pmid=16946849 |pmc=1489848 }}</ref> Majaribio haya mara nyingi huwa ya watu wachanga na wa jinsia ya kike.
[[Shirika la Afya Duniani]] linakadiria ya kwamba duniani kote mtu anajiua kila baada ya sekunde 39 maana yake dunaini ni kama watu 800,000 kila mwaka. Pamoja na yale wanaofaulu kuna majaribio kila mwaka kati ya milioni 10 hadi 20. Kwa hiyo tendo la kujiua ni kati ya sababu muhimu za kifo cha watu.


<!--Historia, jamii na utamaduni -->
Idadi ya wanaume wanaojiua kwa jumla inazidi idadi ya wanawake mara nne. Wazee hujiua kushinda vijana. <ref>[http://www.who.int/mental_health/prevention/suicide/suicide_rates_chart/en/index.html Taarifa ya [[WHO]]]</ref>
Mitazamo ya kujiua imeshawishiwa na mada kuu za kimaisha kama vile dini, [[heshima]] na [[dhamani ya maisha]]. Kitamaduni, [[dini za Kiibrahimu]] zilichukulia kujiua kuwa [[dhambi|kumkosea Mungu]] kwa sababu ya imani yao ya [[utakatifu wa maisha]]. Katika enzi za [[samurai]] nchini Japan, [[seppuku]] iliheshimiwa kama mbinu ya kulipia kosa la kushindwa au njia ya utetezi. [[(Mtindo wa) Sati|Sati]] wa mazishi ya [[Kihindi]], ambao sasa umeharamishwa, ulimhitaji [[Mjane#Wajane wa utamaduni wa Kihindi| mjane]][[kujitoa kafara|kujitoa kafara]] kwa kujichoma katika kimbwi cha mazishi ya mumewe, kwa hiari au kwa kushinikizwa na familia na jamii.<ref>{{cite web|url=http://www.bbc.co.uk/worldservice/learningenglish/news/words/general/020807_witn.shtml|title=Indian woman commits sati suicide |publisher=Bbc.co.uk |date=2002-08-07 |accessdate=2010-08-26}}</ref>


Ingawa kosa la kujiua au kujaribu kujiua lilichangia adhabu ya kisheria hapo awali katika mataifa ya magharibi, kwa sasa haliadhibiwi. Kosa hili limesalia kuwa hatia katika mataifa mengi ya Kiislamu. Katika karne ya 20 na 21, kujiua kwa mbinu ya [[kujitoa kafara]] kumetumika kama mbinu ya utetezi, na [[kamikaze]] na [[kujiua kwa bomu]] kama harakati za kijeshi au kigaidi.<ref>{{cite journal|last=Aggarwal|first=N|title=Rethinking suicide bombing.|journal=Crisis|year=2009|volume=30|issue=2|pages=94–7|pmid=19525169|doi=10.1027/0227-5910.30.2.94}}</ref>
== Sababu za kujiua ==
{{TOC limit|3}}
Kuna sababu mbalimbali kwa nini watu wanajiua kama vile
* hali mbaya ya wasiwasi, hofu, matatizo yanayomsababisha kuwa anataka kuepukana nayo mara moja
* ugonjwa wa akili
* maumivu makali
* kuona aibu kubwa pamoja na mawazo ya kiutamaduni yanayofundisha ni heri kufa kuliko kuishi na aibu
* kujisikia kuwa na wajibu wa kumaliza maisha kwa heshima ya taifa, ukoo, familia, dini au mengine


==Fasili==
Waganga wa kisasa huona kujiua kama tatizo la afya ya kiroho; mara nyingi watu wanaojaribu kujiua hawataki kufa bali kuepukana na matatizo na kama wangeona njia ya kuachana na tatizo wasingejiua. Hivyo majaribio ya kujiua inaweza kuwa jaribio la kuwaonyesha watu wa mazingira ya kwamba kuna tatizo zito na kuomba msaada.
Kujiua, kwa neno lingine kujiua kikamilifu, ni kitendo cha "kujitoa uhai".<ref>{{cite book|title=Stedman's medical dictionary|year=2006|publisher=Lippincott Williams & Wilkins|location=Philadelphia|isbn=978-0-7817-3390-8|edition=28th ed.}}</ref> Kujaribu kujiua au hatua isiyochangia kujiua ni kitendo cha [[kujiumiza|kujidhuru]] kwa lengo la kujiangamiza, bila kufanikiwa kujiua.<ref name=Krug2002>{{cite book|last=Krug|first=Etienne|title=World Report on Violence and Health (Vol. 1)|year=2002|publisher=World Health Organization|location=Genève|isbn=978-92-4-154561-7|page=185|url=http://books.google.ca/books?id=db9OHpk-TksC&pg=PA185}}</ref> [[Usaidizi wa kujiua]] ni pale mtu anapomsaidia mwingine kujiua kwa njia isiyo ya moja kwa moja; kupitia ushauri au mbinu za kujiua.<ref name=Gullota2002>{{cite book|last=Gullota|first=edited by Thomas P.|title=The encyclopedia of primary prevention and health promotion|year=2002|publisher=Kluwer Academic/Plenum|location=New York|isbn=978-0-306-47296-1|page=1112|url=http://books.google.ca/books?id=Elx37xzO0bsC&pg=PA1112|coauthors=Bloom, Martin}}</ref> Hii ni kinyume na [[utanazia]] ambapo mtu mwingine huusika zaidi katika kusababisha kifo cha mtu.<ref name=Gullota2002/> [[Mawazo ya kujiua]] ni kuwaza jinsi ya kujiangamiza.<ref name=Krug2002/>


Watu wanaorudia majaribio ya kujiua mara nyingi wanafaulu hatimaye kama hali yao haibadiliki.
[[Picha:Suicide rates map-en.svg|thumb|300px|Ramani ionyeshayo idadi ya watu wanaojiua nchi kwa nchi kati ya wakazi 100,000]]
== Njia za kujiua ==
Njia ni nyingi na upendeleo hutegemea mazingira na utamaduni. <ref>[http://www.who.int/bulletin/volumes/86/9/07-043489.pdf Methods of suicide: international suicide patterns derived from
the WHO mortality database]</ref>
* Watu wa [[Marekani]] hupendelea kujipigia risasi (52% wa wale waliojiua mwaka 2005); inaonekana sababu mkubwa ni ya kwamba kuna bunduki nyingi zinapatikana kirahisi
* Wajerumani hupendelea kujinyonga kwa kamba (50%), kujipigia risasi kunatokea mara chache (sheria kuhusu bunduki ni kali)
* Katika Ulaya ya Mashariki karibu wote wanaojiua hujinyonga kwa kamba
* kwenye nchi za wakulima wengi kama [[Asia]], [[Amerika Kusini]] na pia [[Ureno]] wengi hutumia sumu mbalimbali hasa za kuua wadudu
* katika nchi ndogo ambako watu huishi hasa mjini kama [[Hong Kong]] au [[Luxemburg]] kuna asilimia kubwa wanaoruka kutoka majengo marefu.


==Vipengele vya hatari==
Kwa jumla wanaume hutumia zaidi mbinu kali kama silaha au kujinyonga, wanawake njia ambazo ni pole zaidi kama kunywa sumu au kujizama kwenye maji.
[[File:Suicidecases.png|thumb|upright=1.35|Hali zinazochangia kujiua katika majimbo 16 ya Marekani mwaka wa 2008.<ref>{{cite journal|last=Karch|first=DL|coauthors=Logan, J; Patel, N; Centers for Disease Control and Prevention, (CDC)|title=Surveillance for violent deaths—National Violent Death Reporting System, 16 states, 2008.|journal=Morbidity and mortality weekly report. Surveillance summaries (Washington, D.C. : 2002)|date=2011 Aug 26|volume=60|issue=10|pages=1–49|pmid=21866088}}</ref>]] Vipengele vinavyoathiri hatari ya kujiua hujumuisha [[ugonjwa wa akili|matatizo ya kisaikiatria]], [[matumizi mabaya ya dawa]], hali ya kisaikolojia, kitamaduni, familia na vitengo vya kijamii na jenetikia.<ref name=Hawton2012/> [[Tatizo la akili|ugonjwa wa akili]] na matumizi mabaya ya dawa mara nyingi hutokea kwa pamoja.<ref name=Drug2011/> Vipengele vingine vya hatari ni pamoja na jaribio la kujiua la hapo awali,<ref name=EB2011/> uwepo wa mbinu za kujiua, historia ya kujiua katika familia au uwepo wa [[jeraha kuu la ubongo]].<ref>{{cite journal|last=Simpson|first=G|coauthors=Tate, R|title=Suicidality in people surviving a traumatic brain injury: prevalence, risk factors and implications for clinical management.|journal=Brain injury : [BI]|date=2007 Dec|volume=21|issue=13–14|pages=1335–51|pmid=18066936|doi=10.1080/02699050701785542}}</ref> Kwa mfano, viwango vya kujiua vimetambulika kuwa vya juu katika familia zilizo na bunduki kuliko zisizo nazo.<ref name="Miller 393–408">{{cite journal|last=Miller|first=M|coauthors=Azrael, D; Barber, C|title=Suicide mortality in the United States: the importance of attending to method in understanding population-level disparities in the burden of suicide.|journal=Annual review of public health|date=2012 Apr|volume=33|pages=393–408|pmid=22224886|doi=10.1146/annurev-publhealth-031811-124636}}</ref> Vipengele vya [[kijamii na kiuchumi]], kama vile ukosefu wa ajira, umaskini, [[kukosa makazi]] na ubaguzi vinaweza kusababisha fikira za kutaka kujiua.<ref>{{cite journal |author=Qin P, Agerbo E, Mortensen PB |title=Suicide risk in relation to socioeconomic, demographic, psychiatric, and familial factors: a national register-based study of all suicides in Denmark, 1981–1997 |journal=Am J Psychiatry |volume=160 |issue=4 |pages=765–72|year=2003 |month=April |pmid=12668367 |doi=10.1176/appi.ajp.160.4.765}}</ref> Takriban 15-40% ya watu huacha [[ujumbe wa kujiua]].<ref>{{cite book|last=Gilliland|first=Richard K. James, Burl E.|title=Crisis intervention strategies|publisher=Brooks/Cole|location=Belmont, CA|isbn=978-1-111-18677-7|page=215|url=http://books.google.ca/books?id=E2sKf-sexZwC&pg=PA215|edition=7th ed.}}</ref> Jenetikia huonekana kuhusika kwa kati ya 38% na 55% ya mitindo ya kujiua.<ref name=Brent2008>{{cite journal|last=Brent|first=DA|coauthors=Melhem, N|title=Familial transmission of suicidal behavior.|journal=The Psychiatric clinics of North America|date=2008 Jun|volume=31|issue=2|pages=157–77|pmid=18439442|doi=10.1016/j.psc.2008.02.001|pmc=2440417}}</ref> [[Wakongwe wa vita]] wana hatari zaidi ya kujiua kufuatia viwango vya juu vya magonjwa ya akili na matatizo ya kiafya yanayohusishwa na [[vita]].<ref name=Martyr2009>{{cite journal|last=Rozanov|first=V|coauthors=Carli, V|title=Suicide among war veterans.|journal=International journal of environmental research and public health|date=2012 Jul|volume=9|issue=7|pages=2504–19|pmid=22851956|doi=10.3390/ijerph9072504|pmc=3407917}}</ref>


===Matatizo ya akili===
== Kujiua na jamii ==
[[Matatizo ya akili]] mara nyingi huwepo wakati wa kujiua, huku kadirio zikiwa kati ya 27%<ref name="University of Manchester Centre for Mental Health and Risk">{{cite web|last=University of Manchester Centre for Mental Health and Risk|title=The National Confidential Inquiry into Suicide and Homicide by People with Mental Illness|url=http://www.medicine.manchester.ac.uk/cmhr/centreforsuicideprevention/nci/reports/annual_report_2012.pdf|accessdate=25 July 2012}}</ref> hadi zaidi ya 90%.<ref name=EB2011/> Katika wagonjwa waliolazwa katika kitengo cha magonjwa ya akili, hatari yao ya kujiua kikamilifu katika maisha yao yote huwa takriban 8.6%<ref name=EB2011/> Nusu ya watu wote wanaofariki kutokana na kujiua wanaweza kuwa na [[tatizo kuu la mfadhaiko]]; uwepo wa hali hii au mojawapo ya [[matatizo ya kihisia]], kama vile [[maradhi ya hisia mseto]] huongeza hatari ya kujiua kwa mara 20.<ref name=Che2012>{{cite book|last=Chehil|first=Stan Kutcher, Sonia|title=Suicide Risk Management A Manual for Health Professionals.|publisher=John Wiley & Sons|location=Chicester|isbn=978-1-119-95311-1|pages=30–33|year=2012|url=http://books.google.ca/books?id=fV8_1u0c7l0C&pg=PA31|edition=2nd ed.}}</ref> Hali zingine zinazochangia kujiua ni pamoja na [[skizofrenia]] (14%), [[matatizo ya nafsi]] (14%), <ref>{{cite journal|last=Bertolote|first=JM|coauthors=Fleischmann, A; De Leo, D; Wasserman, D|title=Psychiatric diagnoses and suicide: revisiting the evidence.|journal=Crisis|year=2004|volume=25|issue=4|pages=147–55|pmid=15580849}}</ref> [[maradhi ya hisia mseto]],<ref name=Che2012/> na [[tatizo la dhiki baada ya kiwewe]].<ref name=EB2011/> Takriban 5% ya watu wenye [[skizofrenia]] hufa kutokana na kujiua.<ref name=Lancet09>{{vcite journal |author=[[Jim van Os|van Os J]], Kapur S |title=Schizophrenia |journal=Lancet |volume=374 |issue=9690|pages=635–45 |year=2009|month=August |pmid=19700006|doi=10.1016/S0140-6736(09)60995-8|url=http://xa.yimg.com/kq/groups/19525360/611943554/name/Schizophrenia+-+The+Lancet.pdf}}</ref> [[Matatizo ya kula]] ni hali nyingine yenye hatari ya juu.<ref name=Tint2010/>
Katika mafundisho ya dini nyingi tendo la kujiua linatazamiwa kama dhambi au kosa. Katika Ulaya watu waliojiua hawakuzikwa makaburini pamoja na watu wengine lakini kando hadi karne ya 19. Nchi mbalimbali zilikuwa na sheria dhidi ya wale waliojiua na jaribio lilitazamiwa kama kosa la jinai.


Historia ya jaribio la awali la kujiua ni ishara kuu ya kujiua kikamilifu baadaye.<ref name=EB2011>{{cite journal|last=Chang|first=B|coauthors=Gitlin, D; Patel, R|title=The depressed patient and suicidal patient in the emergency department: evidence-based management and treatment strategies.|journal=Emergency medicine practice|date=2011 Sep|volume=13|issue=9|pages=1–23; quiz 23–4|pmid=22164363}}</ref> Takriban 20% ya visa vya kujiua hutanguliwa na jaribio la kujiua. 1% ya watu waliojaribu kujiua hufaulu kujiua katika mwaka mmoja<ref name=EB2011/>, na zaidi ya 5% hufaulu kujiua baada ya miaka 10&nbsp;.<ref name=Tint2010/> Ingawa vitendo vya [[kujidhuru]] havichukuliwi kama majaribio ya kujiua, kuwepo kwa mtindo wa kujidhuru huhusishwa na hatari zaidi ya kujiua.<ref>{{cite journal | pmid = 17606825 | doi=10.1001/archpedi.161.7.634 | volume=161 | issue=7 | title=The relationship between self-injurious behavior and suicide in a young adult population | year=2007 |month=July | author=Whitlock J, Knox KL | journal=Arch Pediatr Adolesc Med | pages=634–40}}</ref>
Kuna pia jamii ambako hatua ile inaheshimiwa kama azimo la kila mtu.


Kwa takriban 80% ya visa vya kujiua kikamilifu, mwathiriwa huwa amemtembelea daktari katika mwaka huo kabla ya kujiua,<ref name=Pir1998/> ikijumuisha 45% ya visa katika mwezi uliotangulia.<ref>{{cite journal|last=Luoma|first=JB|coauthors=Martin, CE; Pearson, JL|title=Contact with mental health and primary care providers before suicide: a review of the evidence.|journal=The American Journal of Psychiatry|date=2002 Jun|volume=159|issue=6|pages=909–16|pmid=12042175}}</ref> Takriban 25%-40% ya watu wanaojiua huwa wamepokea huduma ya afya ya kiakili katika mwaka uliotangulia. <ref name="University of Manchester Centre for Mental Health and Risk"/><ref name=Pir1998>{{cite journal|last=Pirkis|first=J|coauthors=Burgess, P|title=Suicide and recency of health care contacts. A systematic review.|journal=The British journal of psychiatry : the journal of mental science|date=1998 Dec|volume=173|pages=462–74|pmid=9926074}}</ref>
Katika utamaduni wa [[Japani]] kujiua kulitazamiwa kama nafasi ya mkabaila kurudisha heshima yake kama ameshindwa au kuonekana na kosa kubwa.


===Matumizi ya vileo===
Katika utamaduni wa [[Uhindi]] mjane alisifiwa kama alijiua baada ya kifo cha mume wake hasa kwa kujichoma pamoja na maiti ya marehemu.
[[File:The Drunkard's Progress 1846.jpg|thumb|upright=1.35|"Kuendelea kwa Mlevi", 1846 huonyesha jinsi ulevi unavyoweza kupelekea kujiua]]
[[Kutumia vileo]] ni [[kipengele cha hatari]] cha pili kikuu kinachopelekea kujiua, baada ya [[mfadhaiko mkuu]] na [[maradhi ya nafsi mseto]].<ref>{{cite book|last=Perrotto|first=Jerome D. Levin, Joseph Culkin, Richard S.|title=Introduction to chemical dependency counseling|year=2001|publisher=Jason Aronson|location=Northvale, N.J.|isbn=978-0-7657-0289-0|pages=150–152|url=http://books.google.com/?id=felzn3Ntd-cC&pg=RA1-PA151}}</ref> Ulevi wa muda mrefu na [[Ulevi|ulevi wa muda mfupi]] huhusishwa na kujiua.<ref name=Drug2011/><ref name=Fadem2004/> Ikiwa hali hii itaambatana na masikitiko ya kibinafsi, kama vile [[Msiba|kufiwa]], hatari huongezeka zaidi.<ref name=Fadem2004>{{cite book|last=Fadem|first=Barbara|title=Behavioral science in medicine|year=2004|publisher=Lippincott Williams & Wilkins|location=Philadelphia|isbn=978-0-7817-3669-5|page=217|url=http://books.google.ca/books?id=KB-g-oBfApsC&q=217}}</ref> Hali kadhalika, kutumia dawa za kulevya huhusishwa na matatizo ya afya ya kiakili.<ref name=Drug2011/>


<!--Vitulizo (EtOH, benzodiazepines, opioids-->
Katika vita vilivyopita askari walisifiwa kama waliamua kujiua kwa kutumia miili yao kama silaha dhidi ya adui. Mfano mashuhuri ni marubani wa [[Kamikaze]] wa Japani waliojirusha pamoja na ndege zao dhidi ya meli za Marekani wakati wa [[vita kuu ya pili ya dunia]]. Wanamigambo wa [[Tamil Tiger]] nchini [[Sri Lanka]] walishambulia jeshi la serikali mara nyingi kwa mabomu hai yaani askari waliobeba bomu na kujilipusha karibu na maadui.
Watu wengi huwa wameathiriwa na [[kitulizo|dawa za kutuliza na kuwezesha usingizi]] (kama vile pombe au benzodiazepines) wakati wa kujiua <ref name=Youssef2008>{{cite journal |author=Youssef NA, Rich CL |title=Does acute treatment with sedatives/hypnotics for anxiety in depressed patients affect suicide risk? A literature review |journal=Ann Clin Psychiatry |volume=20 |issue=3|pages=157–69 |year=2008|pmid=18633742 |doi=10.1080/10401230802177698 |url=}}</ref>,huku ulevi ukiwepo katika 15%-61% ya visa.<ref name=Drug2011/> Nchi zilizo na viwango vya juu vya ulevi wa pombe na idadi kubwa ya baa pia huwa na viwango vya juu vya kujiua<ref name=ETOH2006/>. Uhusiano huu huhusishwa hasa na matumizi ya [[vinywaji vikali vilivyotoneshwa]] kuliko pombe kamili.<ref name=Drug2011/> Takriban 2.2-3.4% ya watu waliotibiwa kutokana na ulevi katika wakati fulani maishani mwao hufa kwa kujiua.<ref name=ETOH2006>{{cite journal|last=Sher|first=L|title=Alcohol consumption and suicide.|journal=QJM : monthly journal of the Association of Physicians|date=2006 Jan|volume=99|issue=1|pages=57–61|pmid=16287907|doi=10.1093/qjmed/hci146}}</ref> Walevi wanaojaribu kujiua kwa kawaida huwa wanaume wazee na ambao wamejaribu kujiua hapo awali.<ref name=Drug2011/>Kati ya 3% na 35% ya vifo vya watu wanaotumia heroini hutokana na kujiua (takriban mara 14 zaidi ya wale wasiotumia).<ref>{{cite journal |author=Darke S, Ross J |title=Suicide among heroin users: rates, risk factors and methods|journal=Addiction |volume=97 |issue=11 |pages=1383–94 |year=2002|month=November |pmid=12410779 |doi= 10.1046/j.1360-0443.2002.00214.x|url=http://onlinelibrary.wiley.com/resolve/openurl?genre=article&sid=nlm:pubmed&issn=0965-2140&date=2002&volume=97&issue=11&spage=1383}}</ref>


<!--Vichangamshi -->
Mbinu huohuo unatumiwa pia katika dunia ya Kiislamu na wanamigambo na magaidi mbalimbali hasa katika nchi kama [[Palestina]], [[Irak]] au [[Afghanistan]]. Ilitumiwa pia na magaidi kutoka [[Checheniya]] dhidi ya Warusi.
Matumizi mabaya ya [[kokeini]] na [[methamphetamine]] huhusiana pakubwa na kujiua.<ref name=Drug2011/><ref>{{cite journal|last=Darke|first=S|coauthors=Kaye, S; McKetin, R; Duflou, J|title=Major physical and psychological harms of methamphetamine use.|journal=Drug and alcohol review|date=2008 May|volume=27|issue=3|pages=253–62|pmid=18368606|doi=10.1080/09595230801923702}}</ref>Katika watumizi wa kokeini, hatari huwa ya juu zaidi katika awamu ya kusitisha.<ref>{{cite book|last=Jr|first=Frank J. Ayd,|title=Lexicon of psychiatry, neurology, and the neurosciences|year=2000|publisher=Lippincott Williams & Wilkins|location=Philadelphia [u.a.]|isbn=978-0-7817-2468-5|page=256|url=http://books.google.ca/books?id=ea_QVG2BFy8C&q=256|edition=2nd ed.}}</ref> Waliotumia [[dawa za kuvuta|vileo vya kuvuta]] pia huwa katika hatari, na takriban 20% yao hujaribu kujiua katika wakati fulani, huku zaidi ya 65% wakikusudia kujiua.<ref name=Drug2011/> [[Uvutaji tumbaku|uvutaji sigara]] huhusishwa na hatari ya kujiua.<ref name=Hughes2008>{{cite journal|last=Hughes|first=JR|title=Smoking and suicide: a brief overview.|journal=Drug and alcohol dependence|date=2008 Dec 1|volume=98|issue=3|pages=169–78|pmid=18676099|doi=10.1016/j.drugalcdep.2008.06.003}}</ref> Kuna ushahidi mdogo kuhusu kuwepo kwa uhusiano huu; hata hivyo, imedhaniwa kuwa watu waliohatarishwa kwa moshi pia huhatarishwa kwa kujiua. Uvutaji husababisha matatizo ya afya yanayomfanya mtu kutaka kujiua. Pia, uvutaji huathiri kemia ya ubongo na kusababisha uwezekano wa kujiua.<ref name=Hughes2008/> Hata hivyo, [[bangi]] haitambuliki kuongeza hatari ikitumika pekee.<ref name=Drug2011/>


===Kubahatishia matatizo===
== Maelezo na vyanzo ==
[[Kubahatishia matatizo]] huhusishwa na ongezeko la [[mawazo ya kujiua]] na majaribio ikilinganishwa na watu wa kawaida. <ref>{{cite book |first1=Stefano |last1=Pallanti |first2=Nicolò Baldini |last2=Rossi|first3=Eric |last3=Hollander |chapter=11. Pathological Gambling |editor1-first=Eric|editor1-last=Hollander |editor2-first=Dan J. | editor2-last=Stein |title=Clinical manual of impulse-control disorders |url=http://books.google.com/books?id=u2wVP8KJJtcC&pg=PA253 |year=2006|publisher=American Psychiatric Pub |isbn=978-1-58562-136-1 |page=253}}</ref> Kati ya 12% na 14% ya wabahatishi wa kipatholojia hujaribu kujiua.<ref name=Oliv2008/> Kiwango cha kujiua cha wake zao huwa mara tatu zaidi ya kile cha umma.<ref name=Oliv2008>{{cite journal|last=Oliveira|first=MP|coauthors=Silveira, DX; Silva, MT|title=[Pathological gambling and its consequences for public health].|journal=Revista de saude publica|date=2008 Jun|volume=42|issue=3|pages=542–9|pmid=18461253}}</ref> Vipengele vingine vinavyoongeza hatari kwa wanaobahatishia matatizo hujumuisha ugonjwa wa akili, ulevi wa pombe na dawa.<ref>{{cite journal|last=Hansen|first=M|coauthors=Rossow, I|title=[Gambling and suicidal behaviour].|journal=Tidsskrift for den Norske laegeforening : tidsskrift for praktisk medicin, ny raekke|date=2008 Jan 17|volume=128|issue=2|pages=174–6|pmid=18202728}}</ref>
<references/>


===Hali za kimatibabu===
[[Jamii:Tiba]]
Kuna uhusiano kati ya uwezekano wa kujiua na matatizo ya afya, ikijumuisha:<ref name=Tint2010/>[[maumivu ya muda mrefu]],<ref>{{cite journal|last=Manthorpe|first=J|coauthors=Iliffe, S|title=Suicide in later life: public health and practitioner perspectives.|journal=International journal of geriatric psychiatry|date=2010 Dec|volume=25|issue=12|pages=1230–8|pmid=20104515|doi=10.1002/gps.2473}}</ref> [[jeraha la ubongo lenye kiwewe]],<ref>{{cite journal |author=Simpson GK, Tate RL |title=Preventing suicide after traumatic brain injury: implications for general practice |journal=Med. J. Aust. |volume=187|issue=4 |pages=229–32 |year=2007 |month=August|pmid=17708726|url=http://www.mja.com.au/public/issues/187_04_200807/sim11240_fm.html}}</ref> saratani,<ref name=Ang2012>{{cite journal|last=Anguiano|first=L|coauthors=Mayer, DK; Piven, ML; Rosenstein, D|title=A literature review of suicide in cancer patients.|journal=Cancer nursing|date=2012 Jul–Aug|volume=35|issue=4|pages=E14-26|pmid=21946906|doi=10.1097/NCC.0b013e31822fc76c}}</ref> watu wanaofanyiwa [[hemodialisi]], wenye [[VVU]], [[erithematosasi ya kitaratibu ya lupusi]] miongini mwa hali zingine.<ref name=Tint2010/> Utambuzi wa saratani huongeza hatari ya kujiua baadaye kwa takriban mara mbili.<ref name=Ang2012/> Ukithiri wa ongezeko la uwezekano wa kujiua ulijikita hata baada ya kurekebishwa kutokana na maradhi ya mfadhaiko na ulevi. Hatari katika watu wenye hali nyingi za kimatibabu huwa juu zaidi. Matatizo ya afya nchini Japan yanaorodheshwa kama sababu kuu ya kujiua.<ref>{{cite book|last=Yip|first=edited by Paul S.F.|title=Suicide in Asia : causes and prevention|year=2008|publisher=Hong Kong University Press|location=Hong Kong|isbn=9789622099432|page=11|pages=http://books.google.ca/books?id=HuHQbtlyM40C&pg=PA11}}</ref>
[[Jamii:Sheria]]

[[Jamii:Dini]]
Masumbufu ya usingizi kama vile [[insomnia]]<ref>{{cite journal|last=Ribeiro|first=JD|coauthors=Pease, JL; Gutierrez, PM; Silva, C; Bernert, RA; Rudd, MD; Joiner TE, Jr|title=Sleep problems outperform depression and hopelessness as cross-sectional and longitudinal predictors of suicidal ideation and behavior in young adults in the military.|journal=Journal of Affective Disorders|date=2012 Feb|volume=136|issue=3|pages=743–50|pmid=22032872|doi=10.1016/j.jad.2011.09.049}}</ref> na [[apnea ya usingizi]] ni vipengele vya hatari vya mfadhaiko na kujiua. Wakati mwingine, masumbufu ya usingizi yanaweza kuwa vipengele vya hatari ya kujiua bila kutegemea mfadhaiko.<ref>{{cite journal|last=Bernert|first=RA|coauthors=Joiner TE, Jr; Cukrowicz, KC; Schmidt, NB; Krakow, B|title=Suicidality and sleep disturbances.|journal=Sleep|date=2005 Sep|volume=28|issue=9|pages=1135–41|pmid=16268383}}</ref> Hali nyingine za kimatibabu zinaweza kuwepo, huku zikiwa na dalili sawa na matatizo ya kihisia, ikiwa ni pamoja na:[[hipouthiroidi]], [[ugonjwa wa Alzheimer|Alzheimer]], [[tyuma ya ubongo]], [[erithematosasi ya kitaratibu ya lupusi]] na madhara ya dawa (kama vile [[viziba beta]] na [[steroidi]]).<ref name=EB2011/>

===Hali za kimawazo na kijamii===
Baadhi ya hali za kimawazo na kijamii huongeza hatari ya kujiua, ikujumuisha: [[kukosa matumaini]], kupoteza furaha katika maisha, [[mfadhaiko]] na wasiwasi.<ref name=Che2012/> Uwezo duni wa kusuluhisha matatizo, ukosefu wa uwezo aliokua nao mtu na udhibiti duni wa hisia pia unaweza kuchangia kujiua.<ref name=Che2012/><ref name=Joiner2005>{{cite journal|last=Joiner TE|first=Jr|coauthors=Brown, JS; Wingate, LR|title=The psychology and neurobiology of suicidal behavior.|journal=Annual review of psychology|year=2005|volume=56|pages=287–314|pmid=15709937|doi=10.1146/annurev.psych.56.091103.070320}}</ref>Katika watu wazima, wazo la kuwa mzigo kwa watu wengine ni kipengele kikuu.<ref name=Van2011>{{cite journal|last=Van Orden|first=K|coauthors=Conwell, Y|title=Suicides in late life.|journal=Current psychiatry reports|date=2011 Jun|volume=13|issue=3|pages=234–41|pmid=21369952|doi=10.1007/s11920-011-0193-3|pmc=3085020}}</ref><ref name=Van2011/>

Dhiki za awali, kama vile kifo cha jamaa au rafiki, kupoteza kazi au kujitenga na jamii (kama vile kuishi pekee) huongeza hatari.<ref name=Che2012/> Watu ambao hawajawai kuoa pia wana hatari ya juu zaidi.<ref name=EB2011/> Kujihusisha na dini kunaweza kupunguza hatari ya kujiua .<ref name=Religion2009>{{cite journal|last=Koenig|first=HG|title=Research on religion, spirituality, and mental health: a review.|journal=Canadian journal of psychiatry. Revue canadienne de psychiatrie|date=2009 May|volume=54|issue=5|pages=283–91|pmid=19497160}}</ref> Hali hii imehusishwa na msimamo hasi wa dini dhidi ya kujiua, na uhusiano mkuu ulioko katika dini.<ref name=Religion2009/> [[Waislamu]], wakilingashwa na watu wa dini zingine, huwa na kiwango cha chini zaidi cha kujiua.<ref name=Islam2006>{{cite journal|last=Lester|first=D|title=Suicide and islam.|journal=Archives of suicide research : official journal of the International Academy for Suicide Research|year=2006|volume=10|issue=1|pages=77–97|pmid=16287698|doi=10.1080/13811110500318489}}</ref>

Baadhi ya watu wanaweza kujiua ili kuepuka [[ukatili]] au [[ubaguzi]].<ref name=Cox2012>{{cite journal |last1= Cox |first1= William T. L. |last2= Abramson |first2= Lyn Y. |last3= Devine |first3= Patricia G. |last4= Hollon |first4= Steven D.|year= 2012 |title= Stereotypes, Prejudice, and Depression: The Integrated Perspective |journal= [[Perspectives on Psychological Science (journal)|Perspectives on Psychological Science]] |volume= 7 |issue= 5 |pages= 427–449 |publisher= |doi= 10.1177/1745691612455204|url=http://pps.sagepub.com/content/7/5/427.abstract |accessdate=}}</ref> Historia ya [[dhuluma za kimapenzi]] dhidi ya watoto u<ref>{{cite journal|last=Wegman|first=HL|coauthors=Stetler, C|title=A meta-analytic review of the effects of childhood abuse on medical outcomes in adulthood.|journal=Psychosomatic Medicine|date=2009 Oct|volume=71|issue=8|pages=805–12|pmid=19779142|doi=10.1097/PSY.0b013e3181bb2b46}}</ref> na muda aliokaa mtu kwenye [[utunzaji wa walezi]] pia huwa vipengele vya hatari.<ref>{{cite journal|last=Oswald|first=SH|coauthors=Heil, K; Goldbeck, L|title=History of maltreatment and mental health problems in foster children: a review of the literature.|journal=Journal of pediatric psychology|date=2010 Jun|volume=35|issue=5|pages=462–72|pmid=20007747|doi=10.1093/jpepsy/jsp114}}</ref> Dhuluma za kimapenzi huaminika kuchangia hadi takriban 20% ya hatari ya kijumla.<ref name=Brent2008/>

Maelezo ya [[saikolojia ya mageuko|ya mageuko]] kuhusu kujiua ni kwamba kunaweza kuboresha [[uwezo wa kimalezi]]. Hii inaweza kutokea iwapo mtu anayejiua hawezi kupata watoto wengine na anaendelea kutumia raslimali za jamii kwa kuendelea kuishi. Pingamizi ni kuwa vifo vya watu waliobaleghe wenye afya mara nyingi haviongezi uwezo wa kimalezi. [[Utohozi]] katika mazingira tofauti na aliyozaliwa mtu unaweza kupelekea marekebisho mabaya katika mazingira anayoishi mtu kwa sasa.<ref name=Joiner2005/><ref>{{cite journal|last=Confer|first=Jaime C.|coauthors=Easton, Judith A.; Fleischman, Diana S.; Goetz, Cari D.; Lewis, David M. G.; Perilloux, Carin; Buss, David M.|title=Evolutionary psychology: Controversies, questions, prospects, and limitations.|journal=American Psychologist|date=1 January 2010|volume=65|issue=2|pages=110–126|doi=10.1037/a0018413|pmid=20141266}}</ref>

Umaskini huhusishwa na hatari ya kujiua.<ref name=Stark2011>{{cite journal|last=Stark|first=CR|coauthors=Riordan, V; O'Connor, R|title=A conceptual model of suicide in rural areas.|journal=Rural and remote health|year=2011|volume=11|issue=2|page=1622|pmid=21702640}}</ref>Ongezeko la hali ya umaskini ikilinganishwa na watu walio karibu huongeza hatari ya kujiua .<ref>{{cite journal|last=Daly|first=Mary|title=Relative Status and Well-Being: Evidence from U.S. Suicide Deaths|journal=Federal Reserve Bank of San Francisco Working Paper Series|date=Sept 2012|url=http://www.frbsf.org/publications/economics/papers/2012/wp12-16bk.pdf}}</ref> Zaidi ya wakulima 200,000 nchini [[India]] wametekeleza [[kujiua kwa wakulima nchini India|kujiua]] kuanzia 1997 kwa sababu ya [[deni ]].<ref>{{cite news|last=Lerner|first=George|title=Activist: Farmer suicides in India linked to debt, globalization|url=http://articles.cnn.com/2010-01-05/world/india.farmer.suicides_1_farmer-suicides-andhra-pradesh-vandana-shiva?_s=PM:WORLD|accessdate=13 February 2013|newspaper=CNN World|date=Jan 5,2010}}</ref> Nchini China, uwezo wa kujiua ni mara tatu zaidi katika maeneo ya mashambani kuliko mijini, kufuatia matatizo ya kifedha katika maeneo hayo.<ref>{{cite journal|last=Law|first=S|coauthors=Liu, P|title=Suicide in China: unique demographic patterns and relationship to depressive disorder.|journal=Current psychiatry reports|date=2008 Feb|volume=10|issue=1|pages=80–6|pmid=18269899}}</ref>

===Vyombo vya habari===
Vyombo vya habari, ikiwa ni pamoja na mtandao, huchangia pakubwa.<ref name=Hawton2012/> Jinsi vyombo hivi vinavyowasilisha kujiua inaweza kuwa na athari mbaya, huku habari zilizotiliwa mkazo, kusisitizwa na kurudiwa huku zikisifia matukio ya kujiua zikiwa na athari kuu zaidi.<ref name=Boh2012>{{cite journal|last=Bohanna|first=I|coauthors=Wang, X|title=Media guidelines for the responsible reporting of suicide: a review of effectiveness.|journal=Crisis|year=2012|volume=33|issue=4|pages=190–8|pmid=22713977|doi=10.1027/0227-5910/a000137}}</ref> Mbinu moja ya kujiua inapoangaziwa kwa kina, umaarufu wake unaweza kuongezeka kwenye umma.<ref name=Yip2012/>

Kichochezi cha kusambaza hisia za kujiua au [[uigaji kujiua]] hujulikana kama [[athari ya Werther.]] Kichochezi hiki kilipewa jina kutokana na mhusika mkuu katika kitabu cha [[Johann Wolfgang von Goethe|Goethe]] kijulikanacho kama ''[[The Sorrows of Young Werther]]'' aliyejiua.<ref name=Sia2012/>Hatari hii ni kubwa zaidi katika vijana wanaosifia kifo.<ref>{{cite journal |author=Stack S |title=Suicide in the media: a quantitative review of studies based on non-fictional stories |journal=Suicide Life Threat Behav |volume=35 |issue=2 |pages=121–33|year=2005 |month=April |pmid=15843330 |doi=10.1521/suli.35.2.121.62877 }}</ref> Inaonakana kuwa, ingawa vyombo vya habari vina ushawishi mkubwa, ushawishi wa vyombo vya burudani ni wa kupotosha.<ref>{{cite journal|author=Pirkis J |title=Suicide and the media
|journal=Psychiatry |volume=8 |issue=7 |pages=269–271 |date=July 2009 |doi=10.1016/j.mppsy.2009.04.009|url=http://www.sciencedirect.com/science/article/pii/S1476179309000 72X}}</ref> Kinyume cha athari ya Werther ni ile inayoitwa athari ya Papageno, ambapo kuwasilisha habari kuhusu mbinu mwafaka za ukabilianaji kunaweza kupelekea matokeo bora ya kinga. Neno hili linatokana na mhusika katika tamthilia ya [[Wolfgang Amadeus Mozart|Mozart] iitwayo ''[[The Magic Flute]]''. Mhusika huyu alitaka kujiua kwa kuogopa kumtopeza mpenzi wake hadi marafiki zake wakamshawishi asijiue. <ref name=Sia2012>{{cite journal|last=Sisask|first=M|coauthors=Värnik, A|title=Media roles in suicide prevention: a systematic review.|journal=International journal of environmental research and public health|date=2012 Jan|volume=9|issue=1|pages=123–38|pmid=22470283|doi=10.3390/ijerph9010123|pmc=3315075}}</ref> Hatari ya kujiua inaweza kupungua iwapo vyombo vya habari vitafuatilia miongozo inayofaa ya kuripoti.<ref name=Boh2012/> Inaweza kuwa vigumu kupata uwajibikaji wa wataalam wa mawasiliano, hasa katika muda mrefu wa usoni.<ref name=Boh2012/>

===Kirazini===
[[Kujiua kirazini]] ni kujiua baada ya kufanya uamuzi wa busara, <ref name=Loue2008>{{cite book|last=Loue|first=Sana|title=Encyclopedia of aging and public health : with 19 tables|year=2008|publisher=Springer|location=New York, NY|isbn=978-0-387-33753-1|page=696|url=http://books.google.ca/books?id=rTMrB0AutLwC&pg=PA696}}</ref> ingawa baadhi ya watu husema kuwa kujiua hakuwezi kuwa jambo la busara.<ref name=Loue2008/>Kitendo cha kujiua ili kuwanufaisha watu wengine hujulikana kama [[kujiua kiutu]].<ref name=Moody2010>{{cite book|last=Moody|first=Harry R.|title=Aging : concepts and controversies|year=2010|publisher=Pine Forge Press|location=Los Angeles|isbn=978-1-4129-6966-6|page=158|url=http://books.google.ca/books?id=qj8GS77QAgwC&pg=PA158|edition=6th ed.}}</ref> Mfano wa aina hii ni mzee akijiua ili kuwaachia watoto wake mali nyingi katika jamii.<ref name=Moody2010/> Katika baadhi ya tamaduni za [[Eskimo]], hatua ya kujiua kiutu imeonekana kama kitendo cha heshima, ujasiri au hekima.<ref name=Hales2012/>

[[Shambulio la kujiua]] ni kitendo cha kisiasa ambapo mshambulizi huwavamia watu wengine akifahamu kuwa kitendo hicho kitapelekea kifo chake. <ref>{{cite book|last=editor|first=Tarek Sobh,|title=Innovations and advances in computer sciences and engineering|year=2010|publisher=Springer Verlag|location=Dordrecht|isbn=978-90-481-3658-2|page=503|url=http://books.google.ca/books?id=B-Zf1sQZapMC&pg=PA503|edition=Online-Ausg.}}</ref> Baadhi ya watu wanaojiua kwa bomu hufanya hivyo ili kupata umaarufu wa [[ufiadini]].<ref name=Martyr2009/> Mashambulizi ya [[Kamikaze]] yalitekelezwa kama wito mkuu au wajibu wa kimaadili.<ref name=Hales2012>{{cite book|last=Hales|first=edited by Robert I. Simon, Robert E.|title=The American Psychiatric Publishing textbook of suicide assessment and management|publisher=American Psychiatric Pub.|location=Washington, DC|isbn=978-1-58562-414-0|page=714|url=http://books.google.ca/books?id=H8tigTjBCRkC&pg=PA714|edition=2nd ed.}}</ref> [[Kujiua baada ya mauaji]] ni kitendo cha [[uuaji wa binadamu]] kinachofuatiwa punde na mtu aliyetekeleza mauaji hayo kujiua mwenyewe.<ref>{{cite journal|last=Eliason|first=S|title=Murder-suicide: a review of the recent literature.|journal=The journal of the American Academy of Psychiatry and the Law|year=2009|volume=37|issue=3|pages=371–6|pmid=19767502}}</ref> [[Mauaji ya halaiki]] mara nyingi hutekelezwa chini ya [[ushawishi wa rika|ushawishi wa kijamii]] ambapo washirika humpa kiongozi mamlaka ya kuwafanyia atakavyo.<ref>{{cite book|last=Smith|first=William Kornblum in collaboration with Carolyn D.|title=Sociology in a changing world|publisher=Wadsworth Cengage Learning|location=Belmont, CA|isbn=978-1-111-30157-6|page=27|url=http://books.google.ca/books?id=DtKcG6qoY5AC&pg=PT51|edition=9e [9th ed].}}</ref> Mauwaji ya watu wengi yanaweza kutekelezwa na hata watu wawili tu, maarufu kama [[mkataba wa kujiua]].<ref>{{cite book|last=Campbell|first=Robert Jean|title=Campbell's psychiatric dictionary|year=2004|publisher=Oxford University Press|location=Oxford|isbn=978-0-19-515221-0|page=636|url=http://books.google.ca/books?id=Vrlsos_O13UC&pg=PA636|edition=8th ed.}}</ref>

Katika hali za kujaribu kuhalalisha, ambapo kuendelea kuishi kutapelekea mateso, watu wengi hutumia kujiua kama mbinu ya kuepuka. <ref>{{cite book|last=Veatch|first=ed. by Robert M.|title=Medical ethics|year=1997|publisher=Jones and Bartlett|location=Sudbury, Mass. [u.a.]|isbn=978-0-86720-974-7|page=292|url=http://books.google.ca/books?id=UCOT4sj-DwUC&pg=PA292|edition=2. ed.}}</ref> Baadhi ya wafungwa katika [[Nazi, Ujerumani |Nazi]] [[kambi za mkusanyiko]] waliripotiwa kujiua kimakusidi kwa kugusa ua za umeme.<ref>{{cite book|last=Gutman|first=Yisrael|title=Anatomy of the Auschwitz death camp|year=1998|publisher=Publ. in association with the United States Holocaust Memorial Museum, Washington, D.C. by Indiana University Press|location=Bloomington|isbn=978-0-253-20884-2|page=400|edition=1st pbk. ed.|coauthors=editors, Michael Berenbaum,}}</ref>

==Mbinu==
[[Faili:KujiuaCFR.png|thumb|upright=1.35|Uchunguzi Maalum Kima cha vifo kwa kujiua nchini Marekani.<ref name="Miller 393–408"/>]]
Mbinu maarufu ya kujiua hutofautiana katika nchi mbalimbali. Mbinu inayoongoza katika maeneo tofauti ni pamoja na [[kujia kwa kujinyonga|kunyonga]], [[kunywa sumu]] na kujiua kwa [[bunduki]].<ref>{{cite journal|author=Ajdacic-Gross V |title=Methods of suicide: international suicide patterns derived from the WHO mortality database |journal=Bull. World Health Organ.|volume=86 |issue=9 |pages=726–32 |year=2008|month=September |pmid=18797649 |pmc=2649482 |doi=10.2471/BLT.07.043489 |author-separator=,|author2=Weiss MG |author3=Ring M |display-authors=3 |last4=Hepp |first4=U |last5=Bopp |first5=M|last6=Gutzwiller |first6=F |last7=Rössler |first7=W}}</ref> Tofauti hizi zinaaminika kusababishwa na upatikanaji wa mbinu mbalimbali kulingana na kila eneo.<ref name=Yip2012/> Mapitio ya nchi 56 yalionyesha kuwa mbinu ya kujinyonga ilikuwa maarufu zaidi katika idadi kubwa ya nchi hizi, <ref>Ajdacic-Gross, Vladeta, ''et al''.{{PDFlink|[http://www.scielosp.org/pdf/bwho/v86n9/a17v86n9.pdf "Methods of suicide: international suicide patterns derived from the WHO mortality database"]|267&nbsp;KB}}. ''[[Bulletin of the World Health Organization]]'' '''86''' (9): 726–732. September 2008. Accessed 2 August 2011.[http://www.webcitation.org/60dtCtOLM Archived] 2 August 2011. See[http://www.who.int/bulletin/volumes/86/9/07-043489/en/index.html html version]. The data can be seen here [http://www.who.int/bulletin/volumes/86/9/0042-9686_86_07-043489-table-T1.html]</ref> ikihasibia 53% ya visa vya kujiua kwa wanaume na 39% katika wanawake. <ref>{{cite book |editor1-first=Rory C.|editor1-last=O'Connor |editor2-first=Stephen |editor2-last=Platt |editor3-first=Jacki|editor3-last=Gordon |title=International Handbook of Suicide Prevention: Research, Policy and Practice|url=http://books.google.com/books?id=3fDGLWQtwFkC&pg=PA34 |date=1 June 2011 |publisher=John Wiley and Sons|isbn=978-1-119-99856-3|page=34}}</ref>

Kote ulimwenguni, 30% ya visa vya kujiua hutokana na kunywa sumu. Visa vya kutumia mbinu hii, hata hivyo ni tofauti sana, kutoka 4% bara Uropa hadi zaidi ya 50% katika eneo la Pasifiki. <ref>{{cite journal |author=Gunnell D, Eddleston M, Phillips MR, Konradsen F |title=The global distribution of fatal pesticide self-poisoning: systematic review |journal=BMC Public Health |volume=7 |page=357 |year=2007 |pmid=18154668 |pmc=2262093|doi=10.1186/1471-2458-7-357}}</ref> Mbinu hii pia ni maarufu [[Marekani Kusini]] kwa sababu ya hali rahisi ya kupatikana kwa sumu za ukulima. <ref name=Yip2012/> Katika nchi nyingi, kuzidisha kipimo cha dawa husababisha takriban 60% ya visa vya kujiua miongoni mwa wanawake na 30% katika wanaume.<ref>{{cite book|last=Geddes|first=John|title=Psychiatry|publisher=Oxford University Press|location=Oxford|isbn=978-0-19-923396-0|page=62|url=http://books.google.ca/books?id=F4THKWvbAPEC&pg=PA62|edition=4th ed.|coauthors=Price, Jonathan; Gelder, Rebecca McKnight ; with Michael; Mayou, Richard}}</ref> Idadi kubwa ya vifo hivi hutokea bila mpango, na hutokea katika kipindi kikali cha mashaka.<ref name=Yip2012/> Kiasi cha vifo hutofautiana na mbinu iliyotumika; bunduki: 80-90%, kuzama: 65-80%, kujinyonga: 60-85%, mivuke ya gari: 40-60%, kujirusha: 35-60%, [[kujiua kwa moshi wa makaa|kuchoma makaa]]: 40-50%, sumu ya kuua wadudu: 6-75%, kuzidisha kiasi cha dawa: 1.5-4%.<ref name=Yip2012/> Mbinu za kujiua zilizojaribiwa zaidi hutofautiana na mbinu kuu zaidi, huku kukiwa na 85% ya majaribio ya kuzidisha kiasi cha dawa katika mataifa yaliyostawi.<ref name=Tint2010/>

Nchini Marekani, 57% ya visa vya kujiua vimehusisha kutumia bunduki, huku mbinu hii ikitumiwa zaidi na wanaume kuliko wanawake. <ref name=EB2011/> Mbinu iliyofuatia kwa umaarufu ni kujinyonga katika wanaume na kunywa sumu katika wanawake.<ref name=EB2011/> Mbinu hizi kwa pamoja zilichangia 40% ya visa vya kujiua nchini Marekani. <ref name=USStats2005>{{cite web|url=http://www.suicide.org/suicide-statistics.html |title=U.S. Suicide Statistics (2005) |accessdate=2008-03-24}}</ref> Nchini Uswisi, ambapo takriban kila mtu humiliki bunduki, idadi kubwa zaidi ya visa vya kujiua ni kwa kujinyonga. <ref>{{cite book|last=Eshun|first=edited by Sussie|title=Culture and mental health sociocultural influences, theory, and practice|year=2009|publisher=Wiley-Blackwell|location=Chichester, U.K.|isbn=9781444305814|page=301|url=http://books.google.ca/books?id=Y6uUDBBGqF4C&pg=PA301|coauthors=Gurung, Regan A.R.}}</ref> Visa vya kujiua ni maarufu nchini [[Hong kong ]] na [[Singapore]] huku vikiwa 50% na 80% mtawalia. <ref name=Yip2012/> Nchini Uchina, mbinu kuu zaidi ni kunywa sumu. <ref name=WRVp196>{{cite book|last=Krug|first=Etienne|title=World Report on Violence and Health, Volume 1|year=2002|publisher=World Health Organization|location=Genève|isbn=9789241545617|page=196|pages=http://books.google.ca/books?id=db9OHpk-TksC&pg=PA196}}</ref> Nchini Japani, kujitoa matumbo, yaani [[seppuku]] au hara-kiri, bado hutokea, <ref name=WRVp196/>ingawa kujinyonga ndiyo njia kuu zaidi. <ref>{{cite book|last=(editor)|first=Diego de Leo|title=Suicide and euthanasia in older adults : a transcultural journey|year=2001|publisher=Hogrefe & Huber|location=Toronto|isbn=9780889372511|page=121}}</ref>

==Pathofisiolojia==
Hakuna [[Pathofisiolojia]] ya kujiua au mfadhaiko iliyo bayana, unganishi na ya kimsingi. <ref name=EB2011/> Hata hivyo, kujiua huaminika kutokana na mwingilianao wa vipengele vya kimtindo, kimazingira na kijamii na magonjwa ya akili. <ref name=Yip2012/>

Viwango vya chini vya [[kipengele cha neurotrofiki zitokanazo na ubongo]] (KNZU) huhusishwa moja kwa moja na kujiua <ref>{{cite journal|last=Pjevac|first=M|coauthors=Pregelj, P|title=Neurobiology of suicidal behaviour.|journal=Psychiatria Danubina|date=2012 Oct|volume=24 Suppl 3|pages=S336-41|pmid=23114813}}</ref> na pasipo moja kwa moja jinsi vinavyochangia mfadhaiko mkuu, matatizo ya baada ya kiwewe, skizofrenia na [[matatizo ya ung’ang’anizi shurutishi]].<ref>{{cite journal|last=Sher|first=L|title=The role of brain-derived neurotrophic factor in the pathophysiology of adolescent suicidal behavior.|journal=International journal of adolescent medicine and health|year=2011|volume=23|issue=3|pages=181–5|pmid=22191181}}</ref> Uchunguzi wa [[Atopsi|Uchunguzi maiti]] umetambua viwango vya chini vya KNZU katika [[hipokampasi ]] na [[koteksi ya mbele]] kwa watu walio au wasio na hali za ugonjwa wa akili. <ref>{{cite journal|last=Sher|first=L|title=Brain-derived neurotrophic factor and suicidal behavior.|journal=QJM : monthly journal of the Association of Physicians|date=2011 May|volume=104|issue=5|pages=455–8|pmid=21051476|doi=10.1093/qjmed/hcq207}}</ref> [[Serotonini]], ambayo ni [[niurotransmita]] ya ubongo, huanimika kuwa katika kiwango cha chini katika watu wanaojiua. Hii ni kwa kimsingi wa kupatikana kwa viwango vya juu vya [[kipokezi cha 5- HT2A]] vinavyopatikana baada ya kufa. <ref name=Dwi2012>{{cite book|last=Dwivedi|first=Yogesh|title=The neurobiological basis of suicide|year=2012|publisher=Taylor & Francis/CRC Press|location=Boca Raton, FL|isbn=978-1-4398-3881-5|page=166|url=http://books.google.ca/books?id=5hcOf_SM-U0C&pg=PA166}}</ref> Ushahidi mwingine ni pamoja na viwango vya chini vya [[asidi ya hidroksindoletisia-5]], zao linalopatikana baada ya serotonini kumeng’enywa, katika [[kiowevu cha uti wa mgongo]].<ref>{{cite book|last=Stein|first=edited by George|title=Seminars in general adult psychiatry|year=2007|publisher=Gaskell|location=London|isbn=978-1-904671-44-2|page=145|url=http://books.google.ca/books?id=6PGzHFuS1xkC&pg=PA145|edition=2. ed.|coauthors=Wilkinson, Greg}}</ref> Hata hivyo, ushahidi wa moja kwa moja ni mgumu kupata. <ref name=Dwi2012/> [[Epigenetikia]], somo la mabadiliko ya udhihirisho wa kijeni katika kuitikia vipengele vya kimazingira visivyobadilisha [[DNA]], pia inaaminika kuchangia katika kubaini hatari ya kujiua.<ref>{{cite journal|last=Autry|first=AE|coauthors=Monteggia, LM|title=Epigenetics in suicide and depression.|journal=Biological Psychiatry|date=2009 Nov 1|volume=66|issue=9|pages=812–3|pmid=19833253|doi=10.1016/j.biopsych.2009.08.033|pmc=2770810}}</ref>

==Kinga==
[[File:suicidemessageggb01252006.JPG|thumb|Kama mpango wa kuzuia visa vya kujiua, picha hii inahamsisha kuhusu simu maalum kwenye [[Daraja la Golden Gate]] iliyounganishwa na [[simu ya dharura ya ushauri]].]]
Kuzuia kujiua ni neno linalotumika kumaanisha juhudi za pamoja za kupunguza matukio ya kujiua kupitia hatua za kuzuia. Kupunguza ufikiaji mbinu fulani za kujiua, kama vile bunduki au sumu, hupunguza hatari hii. <ref name=Yip2012/><ref name=WHO2012/> Hatua zingine ni pamoja na kupunguza ufikiaji makaa na kuweka vizuizi kwenye madaraja na reli za chini ya ardhi. <ref name=Yip2012/> Matibabu dhidi ya uraibu wa dawa za kulevya na pombe, mfadhaiko na majaribio ya kujiua pia yanaweza kuwa mwafaka. <ref name=WHO2012/> Baadhi ya wataalam wamependekeza ufikiaji pombe kama mkakati wa kuzuia (kama vile kupunguza idadi za baa.) <ref name=Drug2011>{{cite journal|last=Vijayakumar|first=L|coauthors=Kumar, MS; Vijayakumar, V|title=Substance use and suicide.|journal=Current opinion in psychiatry|date=2011 May|volume=24|issue=3|pages=197–202|pmid=21430536|doi=10.1097/YCO.0b013e3283459242}}</ref> Ingawa [[simu ya dharura ya ushauri]] hutumika sana, ushahidi uliopo ni mdogo wa kuunga mkono au kupinga ufanisi wake. <ref>{{cite journal|last=Sakinofsky|first=I|title=The current evidence base for the clinical care of suicidal patients: strengths and weaknesses|journal=Canadian Journal of Psychiatry|date=2007 Jun|volume=52|issue=6 Suppl 1|pages=7S–20S|pmid=17824349}}</ref><ref>{{cite web|title=Suicide|url=http://www.surgeongeneral.gov/library/mentalhealth/chapter3/sec5_1.html|work=The United States Surgeon General|accessdate=4 September 2011}}</ref> Katika vijana ambao awali wamekusudia kujiua, [[matibabu ya kubadilisha mawazo]] yametambulika kuboresha matokeo. <ref>{{cite journal|last=Robinson|first=J|coauthors=Hetrick, SE; Martin, C|title=Preventing suicide in young people: systematic review.|journal=The Australian and New Zealand journal of psychiatry|date=2011 Jan|volume=45|issue=1|pages=3–26|pmid=21174502|doi=10.3109/00048674.2010.511147}}</ref> [[Ukuaji wa uchumi]] unaweza kupunguza viwango vya visa vya kujiua kupitia uwezo wake wa kupunguza umaskini. <ref name=Stark2011/> Juhudi za kuongeza mahusiano ya kijamii, hasa katika wanaume wazee zinaweza kuwa mwafaka. <ref>{{cite journal|last=Fässberg|first=MM|coauthors=van Orden, KA; Duberstein, P; Erlangsen, A; Lapierre, S; Bodner, E; Canetto, SS; De Leo, D; Szanto, K; Waern, M|title=A systematic review of social factors and suicidal behavior in older adulthood.|journal=International journal of environmental research and public health|date=2012 Mar|volume=9|issue=3|pages=722–45|pmid=22690159|doi=10.3390/ijerph9030722|pmc=3367273}}</ref>

===Uchunguzi wa kimatibabu===
Takwimu zilizopo hazitoshi kuelezea matokeo ya uchunguzi wa kimatibabu kwa umma na viwango vya hatima vya viwango vya kujiua. <ref>{{cite journal|last=Williams|first=SB|coauthors=O'Connor, EA; Eder, M; Whitlock, EP|title=Screening for child and adolescent depression in primary care settings: a systematic evidence review for the US Preventive Services Task Force.|journal=Pediatrics|date=2009 Apr|volume=123|issue=4|pages=e716-35|pmid=19336361|doi=10.1542/peds.2008-2415}}</ref> Kwa kuwa kuna watu wengi wasio katika hatari ya kujiua wanaopata matokeo chanya kupitia mbinu hii, kuna wasiwasi kuwa uchunguzi unaweza kuongeza kwa kiasi kikubwa utumiaji wa raslimali za huduma ya afya. <ref>{{cite journal|last=Horowitz|first=LM|coauthors=Ballard, ED; Pao, M|title=Suicide screening in schools, primary care and emergency departments.|journal=Current Opinion in Pediatrics|date=2009 Oct|volume=21|issue=5|pages=620–7|pmid=19617829|doi=10.1097/MOP.0b013e3283307a89|pmc=2879582}}</ref> Hata hivyo, inapendekezwa kuwachunguza watu walio katika hatari kuu ya kujiua. <ref name=EB2011/> Kuuliza kuhusu uwezo wa kujiua hakuonekani kuongeza hatari hii.<ref name=EB2011/>

===Maradhi ya akili===
Katika watu walio na matatizo ya akili, aina kadhaa za matibabu zinaweza kupunguza hatari ya kujiua. Watu walio na hisia za kujiua wanaweza kulazwa katika kituo cha utunzaji wa kiakili, kwa hiari au bila hiari yao. <ref name=EB2011/> Kwa kawaida, vifaa anavyoweza kutumia mtu kujiumiza huondolewa. <ref name=Tint2010>{{cite book |author=Tintinalli, Judith E. |title=Emergency Medicine: A Comprehensive Study Guide (Emergency Medicine (Tintinalli)) |publisher=McGraw-Hill Companies |location=New York |year=2010|pages=1940–1946|isbn=0-07-148480-9 |oclc= |doi= |accessdate=}}</ref> Baadhi ya madaktari huwaagiza wagonjwa kutia saini [[mkataba wa kuzuia kujiua]] ambapo wanaahidi kutojiumiza iwapo wataachiliwa. <ref name=EB2011/> Hata hivyo, ushahidi hauonyeshi matokeo mengi ya hatua hii. <ref name=EB2011/> Iwapo mtu yuko katika kiasi kidogo cha hatari, matibabu ya [[mgonjwa]] wa nje yanaweza kupangiwa. <ref name=Tint2010/> Kulazwa kwa muda mfupi hospitalini hakujatambulika kuwa na ufanisi zaidi ya utunzaji wa kijamii ili kunufaisha matokeo kwa wale walio na [[tatizo la nafsi hafifu]], ambao huwa na hisia za muda mrefu za kujiua. <ref>{{Cite journal|last=Paris|first=J|title=Is hospitalization useful for suicidal patients with borderline personality disorder?|journal=Journal of personality disorders|date=June 2004|volume=18|issue=3|pages=240–7|pmid=15237044|doi=10.1521/pedi.18.3.240.35443}}</ref><ref>{{cite journal|last=Goodman|first=M|coauthors=Roiff, T; Oakes, AH; Paris, J|title=Suicidal risk and management in borderline personality disorder.|journal=Current psychiatry reports|date=2012 Feb|volume=14|issue=1|pages=79–85|pmid=22113831|doi=10.1007/s11920-011-0249-4}}</ref>

Kuna ushahidi wa kutosha kuonyesha kuwa [[matibabu ya kisaikolojia]], hasa [[matibabu ya kitabia ya upembuzi]], hupunguza uwezo wa kujiua katika vijana baleghe <ref name=Can2010>{{cite journal|last=Canadian Agency for Drugs and Technologies in Health|first=(CADTH)|title=Dialectical behaviour therapy in adolescents for suicide prevention: systematic review of clinical-effectiveness.|journal=CADTH technology overviews|year=2010|volume=1|issue=1|pages=e0104|pmid=22977392|pmc=3411135}}</ref> pamoja na wale walio na [[tatizo la nafsi hafifu]].<ref>{{cite journal|last=Stoffers|first=JM|coauthors=Völlm, BA; Rücker, G; Timmer, A; Huband, N; Lieb, K|title=Psychological therapies for people with borderline personality disorder.|journal=Cochrane database of systematic reviews (Online)|date=2012 Aug 15|volume=8|pages=CD005652|pmid=22895952|doi=10.1002/14651858.CD005652.pub2}}</ref> Hata hivyo, ushahidi haujapata upungufu katika visa kamilifu vya kujiua. <ref name=Can2010/>

Kuna utata kuhusu manufaa ya [[matibabu ya mfadhaiko]], ikilinganishwa na madhara yake. <ref name=Hawton2012/> Katika vijana, matibabu mapya zaidi, kama vile [[Kizuizi chaguzi cha uchukuzi wa serotonini|KCUS]] huaminiwa kuongeza hatari ya kujiua kutoka watu 25 hadi 40 kwa kila 1000. <ref>{{cite journal|last=Hetrick|first=SE|coauthors=McKenzie, JE; Cox, GR; Simmons, MB; Merry, SN|title=Newer generation antidepressants for depressive disorders in children and adolescents.|journal=Cochrane database of systematic reviews (Online)|date=2012 Nov 14|volume=11|pages=CD004851|pmid=23152227|doi=10.1002/14651858.CD004851.pub3}}</ref> Hata hivyo, katika watu wazee,matibabu haya yanawaweza kupunguza hatari ya kujiua.<ref name=EB2011/> [[Lithiamu]] huaminika kuwa mwafaka katika kupunguza hatari katika watu walio na maradhi ya hisia mseto na maradhi ya mfadhaiko mkuu hadi kufikia viwango sawa na watu wengine wa kawaida. <ref>{{cite journal|last=Baldessarini|first=RJ|coauthors=Tondo, L; Hennen, J|title=Lithium treatment and suicide risk in major affective disorders: update and new findings.|journal=The Journal of clinical psychiatry|year=2003|volume=64 Suppl 5|pages=44–52|pmid=12720484}}</ref><ref>{{cite journal|last=Cipriani|first=A|coauthors=Pretty, H; Hawton, K; Geddes, JR|title=Lithium in the prevention of suicidal behavior and all-cause mortality in patients with mood disorders: a systematic review of randomized trials.|journal=The American Journal of Psychiatry|date=2005 Oct|volume=162|issue=10|pages=1805–19|pmid=16199826|doi=10.1176/appi.ajp.162.10.1805}}</ref>

==Epidemologia==
[[File:Self-inflicted injuries world map - Death - WHO2004.svg|thumb|left| Vifo kutokana na majeraha yanayotokana na kujidhuru kwa kila watu 100,000&nbsp; mwaka wa 2004. <ref>{{cite web|url=http://www.who.int/healthinfo/global_burden_disease/estimates_country/en/index.html |title=WHO Disease and injury country estimates |year=2009 |work=World Health Organization}}</ref>
{{Multicol}}
{{legend|#b3b3b3|unknown}}
{{legend|#ffff65|<3}}
{{legend|#fff200|3-6}}
{{legend|#ffdc00|6-9}}
{{legend|#ffc600|9-12}}
{{legend|#ffb000|12-15}}
{{legend|#ff9a00|15-18}}
{{Multicol-break}}
{{legend|#ff8400|18-21}}
{{legend|#ff6e00|21-24}}
{{legend|#ff5800|24-27}}
{{legend|#ff4200|27-30}}
{{legend|#ff2c00|30-33}}
{{legend|#cb0000|>33}}
{{Multicol-end}}]]

Takriban 0.5% hadi 1.4% ya watu hufikia kifo kwa kujiua. <ref name=Var2012/><ref name=EB2011/> Kote ulimwenguni kufikia mwaka wa 2008/2009, kujiua ni kisababishi cha kumi kikuu <ref name=Hawton2009/>, huku takriban watu 800,000 hadi milioni moja wakifa kila mwaka, ikipelekea [[kima cha vifo]] cha watu 11.6 kwa kila 100,00 kwa mwaka. <ref name=Var2012/> Kima cha vifo kimeongezeka hadi 60% kutoka miaka ya 1960 hadi 2012, <ref name=WHO2012>{{cite web |title=Suicide prevention |publisher=World Health Organization|date=Aug 31,2012|work=WHO Sites: Mental Health|url=http://www.who.int/mental_health/prevention/suicide/suicideprevent/en/|accessdate=2013-01-13}}</ref> huku ongezeko hili likitambulika hasa katika [[nchi zinazostawi|mataifa yanayostawi]].<ref name=Hawton2009/> Kwa kila kisa cha kujiua, kuna majaribio mengine 10 hadi 14 ya kujiua. <ref name=EB2011/>

Viwango vya kujiua hutofautiana pakubwa kati ya nchi na wakati. <ref name=Var2012>{{cite journal|last=Värnik|first=P|title=Suicide in the world.|journal=International journal of environmental research and public health|date=2012 Mar|volume=9|issue=3|pages=760–71|pmid=22690161|doi=10.3390/ijerph9030760|pmc=3367275}}</ref> Takwimu kwa asilimia ya vifo mwaka wa 2008 zilikuwa: Afrika 0.5%, Kusini Mashariki mwa Asia 1.9%, Marekani 1.2 na Uropa 1.4%. <ref name=Var2012/> Viwango kwa kila watu 100,00 vilikuwa: Australia 8.6, Canada 11.1, Uchina 12.7, India 23.2, Uingereza 7.6, Marekani 11.4. <ref>{{cite web|title=Deaths estimates for 2008 by cause for WHO Member States|url=http://www.who.int/healthinfo/global_burden_disease/estimates_country/en/index.html|publisher=World Health Organization|accessdate=10 February 2013}}</ref> Kujiua kumerodheshwa katika nafasi ya 10 kama [[kifo|kisababishi cha kifo]] kinachoongoza nchini Marekani mwaka wa 2009, ikiwa ni takriban visa 36,000 kila mwaka. <ref>{{cite journal|last=Haney|first=EM|coauthors=O'Neil, ME; Carson, S; Low, A; Peterson, K; Denneson, LM; Oleksiewicz, C; Kansagara, D|title=Suicide Risk Factors and Risk Assessment Tools: A Systematic Review|date=2012 Mar|pmid=22574340}}</ref> Takriban watu 650,000 hupatikana katika idara ya dharura kila mwaka kutokana na majaribio ya kujiua. <ref name=EB2011/> Nchi za [[Lithuania]], Japani na Hangeria zina viwango vikubwa zaidi vya aina za kujiua. <ref name=Var2012/> Nchi zilizo na idadi kuu zaidi ya visa vya kujiua ni Uchina na India, zikihasibia zaidi ya nusu yaidadi yote <ref name=Var2012/> Nchini Uchina, kujiua ni kisababishi cha 5 kikuu cha kifo. <ref name=China2009/>

===Jinsia===
{{Double image|right|Suicide world map - 2009 Male.svg|200|Suicide world map - 2009 Female,2.svg|200|Suicide rate per 100,000 males (left) and female (right) (data from 1978–2008).
{{Multicol}}
{{legend|#b3b3b3|no data}}
{{legend|#ffff65|< 1}}
{{legend|#fff200|1–5}}
{{legend|#ffdc00|5–5.8}}
{{Multicol-break}}
{{legend|#ffc600|5.8–8.5}}
{{legend|#ffb000|8.5–12}}
{{legend|#ff9a00|12–19}}
{{legend|#ff8400|19–22.5}}
{{Multicol-break}}
{{legend|#ff6e00|22.5–26}}
{{legend|#ff5800|26–29.5}}
{{legend|#ff4200|29.5–33}}
{{legend|#ff2c00|33–36.5}}
{{Multicol-break}}
{{legend|#cb0000|>36.5}}
{{Multicol-end}}
||}}
Katika mataifa ya magharibi, wanaume hufa mara 3 hadi 4 zaidi kutokana na kujiua kuliko wanawake, ingawa wanawake hujaribu kujiua mara 4 zaidi. <ref name=Var2012/><ref name=EB2011/> Hali hii imesababishwa na wanaume kutumia mbinu kali zaidi za kujiua. <ref name=Sue2012>{{cite book|last=Sue|first=David Sue, Derald Wing Sue, Diane Sue, Stanley|title=Understanding abnormal behavior|publisher=Wadsworth/Cengage Learning|location=Belmont, CA|isbn=978-1-111-83459-3|page=255|url=http://books.google.ca/books?id=mTs--Kt-9a0C&pg=PA255|edition=Tenth ed., [student ed.]}}</ref> Tofauti hii inadhihirika zaidi katika watu wa umri wa zaidi ya miaka 65, huku visa vya kujiua kwa wanaume vikiwa zaidi ya vya wanawake kwa hadi mara 10. <ref name=Sue2012/> [[Kujiua katika Jamhuri ya Watu ya Uchina|Uchina]] kuna mojawapo ya viwango vikuu zaidi vya kujiua kwa wanawake duniani, na ndiyo nchi pekee ambapo viwango vya kujiua kwa wanawake ni zaidi ya wanaume (uwiano wa 0.9). <ref name=Var2012/><ref name=China2009>{{cite journal|last=Weiyuan|first=C|title=Women and suicide in rural China.|journal=Bulletin of the World Health Organization|date=2009 Dec|volume=87|issue=12|pages=888–9|pmid=20454475|doi=10.2471/BLT.09.011209|pmc=2789367}}</ref> Katika [[Masharariki mwa Mediterranean]], viwango vya kujiua ni karibu sawa baina ya wanaume na wanawake. <ref name=Var2012/> Katika wanawake, viwango vikubwa vya visa vya kujiua vinapatikana [[Korea Kusini]], ikiwa ni watu 22 kwa watu 100,000, huku kukiwa na viwango vya juu Asia ya Kusini Mashariki na Magharibi mwa Pasifiki kwa kijumla.<ref name=Var2012/>

===Umri===
Visa vingi vya kujiua katika nchi nyingi hutokea katika watu wa umri wa makamo<ref name=Pit2012>{{cite journal|last=Pitman|first=A|coauthors=Krysinska, K; Osborn, D; King, M|title=Suicide in young men.|journal=Lancet|date=2012 Jun 23|volume=379|issue=9834|pages=2383–92|pmid=22726519|doi=10.1016/S0140-6736(12)60731-4}}</ref> au wazee.<ref name=Yip2012>{{cite journal|last=Yip|first=PS|coauthors=Caine, E; Yousuf, S; Chang, SS; Wu, KC; Chen, YY|title=Means restriction for suicide prevention.|journal=Lancet|date=2012 Jun 23|volume=379|issue=9834|pages=2393–9|pmid=22726520|doi=10.1016/S0140-6736(12)60521-2}}</ref> Hata hivyo, idadi kamili ya visa vya kujiua ni vingi katika watu wa umri wa kati ya miaka 15 na 29, kwa sababu ya idadi ya watu iliyopo katika kikundi hiki.<ref name=Var2012/> Nchini Merikani, visa hivi hutokea kwa wingi katika [[wanaume wa asili ya kizungu|kizungu]], hasa wa umri wa zaidi ya miaka 80, ingawa watu wa umri wa chini hujaribu kujiua mara nyingi.<ref name=EB2011/> Kujiua ni kisababishi cha pili kikuu cha vifo katika umri wa [[kubaleghe|baleghe]]<ref name=Hawton2012>{{cite journal|last=Hawton|first=K|coauthors=Saunders, KE; O'Connor, RC|title=Self-harm and suicide in adolescents.|journal=Lancet|date=2012 Jun 23|volume=379|issue=9834|pages=2373–82|pmid=22726518|doi=10.1016/S0140-6736(12)60322-5}}</ref na katika wanaume wachanga ni cha pili baada ya vifo vya kiajali. <ref name=Pit2012/> Katika mataifa yaliyostawi, visa hivi ni visababishi vya 30% ya vifo vya wanaume wachanga.<ref name=Pit2012/> Katika mataifa yanayostawi, viwango vya visa hivi ni sawa, ingawa kwa ujumla huchangia idadi ndogo ya vifo vya kijumla kufuatia kiwango cha juu cha vifo kutokana na [[kiwewe (matibabu)|kiwewe]].<ref name=Pit2012/> Kinyume na sehemu zingine, vifo kufuatia kujiua katika Kusini Mashariki mwa Asia hutokea zaidi katika wanawake wachanga kuliko waliokomaa.<ref name=Var2012/>

==Historia==
[[Image:106 Conrad Cichorius, Die Reliefs der Traianssäule, Tafel CVI.jpg|thumb|right|200px|Kujiua kwa Decebalus, kutoka katika [[Safu ya Trajan]]]]
Katika [[Atheni ya Kale|Atheni ya Kale]], mtu aliyejiua bila idhini ya serikali alinyimwa haki ya kuzikwa kwa njia ya kawaida. Mtu huyu alizikwa peke yake, mpakani mwa jiji, bila kiashirio chochote cha kaburi lake.<ref>{{cite book|last=Szasz|first=Thomas|title=Fatal freedom : the ethics and politics of suicide|year=1999|publisher=Praeger|location=Westport, Conn.|isbn=978-0-275-96646-1|page=11|url=http://books.google.ca/books?id=5AqzlMdurkcC&pg=PA11}}</ref> Katika [[Ugiriki ya Kale]] na [[Roma ya kale|Roma]], njia ya kujiua ilikubaliwa kama njia ya kuonyesha kushindwa vitani <ref name=Maris2000/>. Ingawa kujiua kulikubalika mwanzoni katika Roma ya kale, baadaye kuliharamishwa kama kosa dhidi ya serikali kwa sababu ya gharama za kiuchumi.<ref>{{cite book|last=Dickinson|first=Michael R. Leming, George E.|title=Understanding dying, death, and bereavement|publisher=Wadsworth Cengage Learning|location=Belmont, CA|isbn=978-0-495-81018-6|page=290|url=http://books.google.ca/books?id=L8ETDRsB8ZYC&pg=PA290|edition=7th ed.}}</ref> Amri ya uhalifu iliyotolewa na [[Louis XIV wa Ufaransa]] mwaka wa 1670 ilitoa adhabu kali zaidi: maiti ya mtu aliyejiua ilibururwa mitaani huku kichwa kikielekezwa chini, kisha kuninginishwa au kutupwa kenye biwi la takataka. Vile vile, mali yote ya mshukiwa ilichukuliwa.<ref>{{cite book|first=ed. by W.S.F. Pickering|title=Durkheim's Suicide : a century of research and debate|year=2000|publisher=Routledge|location=London [u.a.]|isbn=978-0-415-20582-5|page=69|url=http://books.google.ca/books?id=9KQO6dGY1cwC&pg=PA69|edition=1. publ.}}</ref><ref name=Maris540>{{cite book|last=Maris|first=Ronald|title=Comprehensive textbook of suicidology|year=2000|publisher=Guilford Press|location=New York [u.a.]|isbn=978-1-57230-541-0|page=540|url=http://books.google.ca/books?id=Zi-xoFAPnPMC&pg=PA540}}</ref>. Katika historia ya Ukristo, watu waliojaribu kujiua walikuwa [[kutengwa|wakitengwa]], huku waliokufa kufuatia kujiua wakizikwa nje ya eneo takatifu la makaburi.<ref name=McL2007/> Katika miaka ya mwishoni mwa karne ya 19 nchini Uingereza, jaribio la kujiua lilifananishwa na [[jaribio la kuua]] na adhabu yake ilikuwa kunyongwa.<ref name=McL2007/> Katika karne ya 19 barani Uropa, mtazamo wa kujiua ulibadilishwa kutoka mtazamo kuwa kulisababishwa na [[dhambi]], hadi kuwa kulisababiswa na [[wazimu]].<ref name=Maris540/>.

==Jamii na Utamaduni==
===Sheria===
[[File:Wakisashi-sepukku-p1000699.jpg|thumb|A ''[[tantō]]'' Kisu kilichotayarishwia ''[[seppuku]]''.]]
Katika mataifa mengi ya Ulaya, kujiua hakuchukuliwi kama hatia tena,<ref>{{cite book|last=White|first=Tony|title=Working with suicidal individuals : a guide to providing understanding, assessment and support|year=2010|publisher=Jessica Kingsley Publishers|location=London|isbn=978-1-84905-115-6|page=12|url=http://books.google.ca/books?id=p_ZvK-DBYfIC&pg=PT12}}</ref> ingawa mtazamo huo ulikuwa katika mataifa mengi ya Uropa kuanzia Enzi za Kati hadi angalau miaka ya 1800.<ref>{{cite book|last=Paperno|first=Irina|title=Suicide as a cultural institution in Dostoevsky's Russia|year=1997|publisher=Cornell university press|location=Ithaca|isbn=978-0-8014-8425-4|page=60|url=http://books.google.ca/books?id=m3pqf8f-6bMC&pg=PA60}}</ref> Mataifa mengi ya Kiislamu huchukulia kujiua kama hatia.<ref name="Islam2006"/>

Nchini Australia, kujiua si hatia.<ref>{{cite book|last=al.]|first=David Lanham&nbsp;... [et|title=Criminal laws in Australia|year=2006|publisher=The Federation Press|location=Annandale, N.S.W.|isbn=978-1-86287-558-6|page=229|url=http://books.google.ca/books?id=D97doQ1iZx4C&pg=PA229}}</ref>Hata hivyo, ni hatia kumshauri, [[uchochezi|kumchochea]], au kumsadia na kumshawishi mtu kujaribu kujiua. Sheria inamruhusu kikamilifu mtu yeyote kutumia "kiwango chochote cha nguvu kama itakavyohitajika" ili kumzuia mwingine asijiue.<ref>{{cite book|last=Duffy|first=Michael Costa, Mark|title=Labor, prosperity and the nineties : beyond the bonsai economy|year=1991|publisher=Federation Press|location=Sydney|isbn=978-1-86287-060-4|page=315|url=http://books.google.ca/books?id=TqZqTHwvCH8C&pg=PA315|edition=2nd ed.}}</ref> Milki ya Kaskazini mwa Australia iliruhusu, kwa muda mfupi, kifo halali cha kusaidiwa na daktari kutoka 1996 hadi 1997.<ref>{{cite book|last=Quill|first=Constance E. Putnam ; foreword by Timothy E.|title=Hospice or hemlock? : searching for heroic compassion|year=2002|publisher=Praeger|location=Westport, Conn.|isbn=978-0-89789-921-5|page=143|url=http://books.google.ca/books?id=GmFwa3I7vqMC&pg=PA143}}</ref>

Barani Uropa, hakuna taifa lolote linalochukulia kitendo au jaribio la kujiua kama hatia kwa sasa.<ref name=McL2007/> Uingereza na Wales waliondoa sheria iliyoharamisha kujiua kupitia [[Sheria ya kijiua ya 1961]], nayo Jamhuri ya Ayalandi ikifuatia mwaka wa 1993. <ref name=McL2007/> Neno "kutenda" ilitumika kurejelea uharamu wa kujiua. Hata hivyo, mashirika mengi yamekoma kulitumia kwa sababu ya mtazamo mbaya ya neno hili.<ref>Holt, Gerry.[http://www.bbc.co.uk/news/magazine-14374296 "When suicide was illegal"]. [[BBC News]] 3 August 2011. Accessed 11 August 2011.</ref><ref name=guardian_style>{{cite web|title=Guardian & Observer style guide|url=http://www.guardian.co.uk/styleguide/s|work=Guardian website|publisher=The Guardian|accessdate=29 November 2011}}</ref>

Nchini India, kujiua ni hatia, na jamii ya mwathiriwa inaweza kushtakiwa.<ref>{{cite book|last=Srivastava|first=editors, Nitish Dogra, Sangeet|title=Climate change and disease dynamics in India|publisher=The Energy and Resources Institute|location=New Delhi|isbn=978-81-7993-412-8|page=256|url=http://books.google.ca/books?id=UGrUgX-nKTIC&pg=PA256}}</ref> Nchini Ujerumani, utanazia ni haramu na mtu anayeshuhudia mwingine akijiua anaweza kuhukumiwa kwa kukosa kutoa usaidizi wakati wa dharura.<ref>"German politician Roger Kusch helped elderly woman to die"[http://www.timesonline.co.uk/tol/news/world/europe/article4251894.ece Times Online] July 2, 2008</ref> [[Uswisi]] hivi majuzi imepiga hatua katika kuruhusu [[usaidizi wa kujiua]] kwa watu walio na ugonjwa wa muda mrefu wa akili. Mahakama kuu ya [[Lausanne]], katika hukumu moja mwaka wa 2006, ilimpa mtu ambaye hakutajwa jina, mwenye tatizo la kiakili la muda mrefu idhini ya kujiua.<ref name=pmid17649899>{{cite journal|author=Appel, JM |title=A Suicide Right for the Mentally Ill? A Swiss Case Opens a New Debate|journal=Hastings Center Report |volume=37 |issue=3 |pages=21–23 |year=2007 |pmid=17649899|doi=10.1353/hcr.2007.0035 |month=May }}</ref>

Nchini Merikani, kujiua si hatia, ingawa watu wanaojaribu kujiua wanaweza kuadhibiwa.<ref name=McL2007>{{cite book|last=McLaughlin|first=Columba|title=Suicide-related behaviour understanding, caring and therapeutic responses|year=2007|publisher=John Wiley & Sons|location=Chichester, England|isbn=978-0-470-51241-8|page=24|url=http://books.google.ca/books?id=I2FJRbekdC8C&pg=PA24}}</ref> Kujiua kwa kusaidiwa na daktari ni halali katika jimbo la Oregon<ref>{{cite web|url=http://www.leg.state.or.us/ors/127.html |title=Chapter 127.800–995 The Oregon Death with Dignity Act|publisher=[[Oregon State Legislature]]}}</ref> na Washington.<ref>{{cite news|title=Chapter 70.245 RCW, The Washington death with dignity act|url=http://apps.leg.wa.gov/RCW/default.aspx?cite=70.245|work=[[Washington State Legislature]]}}</ref>

===Mtazamo wa kidini===
[[Faili:Mjane wa Hindoo akijichoma pamoja na maiti ya mumewe.jpg|thumb|A [[Mhindu]] Mjane akijichoma pamoja na maiti ya mumewe, miaka ya 1820.]]
Katika dhehebu nyingi za Ukristo, kujiua huchukuliwa kama [[dhambi]], kwa msingi wa maandishi ya Wakristo wasomi wenye ushawishi mkuu wa [[Enzi za Kati]] kama vile [[Mtakatifu Agostino]] na [[Mtakatifu Thomas Aquinas]]. Hata hivyo, kujiua hakukuchuliwa kama dhambi katika [[ kanuni za Kijustina]] [[za Milki ya Bizantiamu]], kwa mfano.<ref>{{cite web |author=Dr. Ronald Roth, D.Acu. |url=http://www.acu-cell.com/suicide.html|title=Suicide & Euthanasia – a Biblical Perspective |publisher=Acu-cell.com|accessdate=2009-05-06}}</ref><ref>{{cite web |url= http://www.clas.ufl.edu/users/nholland/suicide.htm|title=Norman N. Holland, Literary Suicides: A Question of Style |publisher=Clas.ufl.edu|accessdate=2009-05-06}}</ref> Katika kanuni za Kikatoliki, mswada wa kujiua uko kwenye msingi wa [[Amri Kumi|amri]] "Usiue" (iliyoidhinishwa katika [[Agano Jipya]] na Yesu katika [[Injili ya Mathayo|Mathayo 19:18]]), pamoja na dhana kuwa uhai ni karama kutoka kwa Mungu, hivyo haufai kudhalilishwa. Vile vile, kuua ni kinyume na "amri asilia", hivyo huathiri mpango mkuu wa Mungu hapa Duniani.<ref>{{cite web |url=http://www.scborromeo.org/ccc/p3s2c2a5.htm#2280 |title=Catechism of the Catholic Church – PART 3 SECTION 2 CHAPTER 2 ARTICLE 5 |publisher=Scborromeo.org |date=1941-06-01|accessdate=2009-05-06}}</ref>

Hata hivyo, inaaminiwa kuwa ugonjwa wa akili au woga mkuu wa kuteseka hupunguza wajibu wa mtu anayejiua.<ref>{{cite web |url=http://www.scborromeo.org/ccc/p3s2c2a5.htm#2282|title=Catechism of the Catholic Church – PART 3 SECTION 2 CHAPTER 2 ARTICLE 5 |publisher=Scborromeo.org|date=1941-06-01 |accessdate=2009-05-06}}</ref> Miswada pinzani ni pamoja na ifuatayo: kuwa [[Amri Kumi|Amri ya sita]] imefasiliwa kifasaha kama "usitekeleze mauaji", ambayo hailengi moja kwa moja mtu binafsi ; yaani Mungu amempa uhuru kila binadamu kujichagulia; ya kuwa mtu akijiua hajavunja Sheria za Mungu, sawa na kuponya ugonjwa; na kuwa visa vingi vya wafuasi wa Mungu waliojiua vimenakiliwa katika Bibilia bila kuambatana na laana yoyote.<ref>{{cite web |url=http://www.religioustolerance.org/sui_bibl.htm |title=The Bible and Suicide|publisher=Religioustolerance.org |accessdate=2009-05-06}}</ref>

Desturi za Kiyahudi huzingatia umuhimu wa kudhamini maisha yaliyopo, hivyo kujiua huchukuliwa kuwa sawa na mtu kujinyima wema wa Mungu duniani. Licha ya hayo, katika hali mbaya ambapo hakuna chaguo lingine ila kuuawa au kulazimishwa kuisaliti dini yao, Wayahudi walijiua kibinafsi au [[kujiua kwa umati]] (tazama [[Masada]], [[Historia ya Wayahudi nchini Ufaransa #Mateso ya kwanza ya Wayahudi|Mateso ya kwanza ya Wayahudi nchini Ufaransa]], na [[York Castle]], kwa mifano). Kwa ukumbusho wa tahadhari, kuna sala katika liturujia ya Kiyahudi ya "kisu kiwapo kooni" kwa watu wanaokufa "kulitukuza jina la Mungu "(tazama [[Ufiadini]]). Matendo haya yamepokelewa kwa njia mbalimbali na watawala wa Kiyahudi, huku yakichukuliwa na baadhi ya watu kama mfano bora wa wafiadini mashujaa, huku wengine wakiyachukulia kama hatia kwa watu kujiua kwa kutazamia ufiadini.<ref>{{cite web |url=http://www.religionfacts.com/euthanasia/judaism.htm |title=Euthanasia and Judaism: Jewish Views of Euthanasia and Suicide |accessdate=2008-09-16 |publisher=ReligionFacts.com}}</ref>

Uislamu haukubali kujiua.<ref name="Islam2006"/> Katika [[Uhindu]] kwa kijumla, kujiua hakukubaliwi, hivyo huchukuliwa kuwa dhambi sawa na kumuua mtu mwingine katika jamiii ya kisasa ya Kihindu. [[Maandishi ya Kihindu|Maandiko ya Kihindu]] yanasema kuwa mtu anayejiua huingia katika ulimwengu wa mapepo, akitangatanga duniani hadi wakati ambapo angekufa iwapo hangejiua.<ref>Hindu Website. [http://www.hinduwebsite.com/hinduism/h_suicide.asp Hinduism and suicide]</ref> Hata hivyo, Uhindu hukubali [[haki ya kufa|haki ya kujiua]] kupitia njia isiyo na dhuluma ya kujinyima chakula hadi kufa, inayojulikana kama ''[[Prayopavesa]]''.<ref name="hindu">{{cite web |url=http://www.bbc.co.uk/religion/religions/hinduism/hinduethics/euthanasia.shtml|title= Hinduism –Euthanasia and Suicide|date= 2009-08-25|publisher= BBC}}</ref> Hata hivyo, Prayopavesa hukubalika tu kwa watu wasiokuwa na hamu au matarajio, wala majukumu maishani.<ref name="Kihindu" /> [[Ujaini]] una desturi sawa na hii, iitwayo ''[[Santhara]]''. Desturi ya [[sati (kitendo)|Sati]], au kujitoa kama kafara kwa wajane ilikuwepo katika Enzi za Kati.

===Filosopfia===
[[Faili:Njia ya kutokea.jpg|thumb|''Njia ya kutokea, au [[Dhana za kujiua|Dhana za kujiua]]'': [[George Grie]], 2007.]]
Maswali mengi yameulizwa katika filosofia ya kujiua, ikiwa ni pamoja na fasili ya kujiua, ikiwa kujiua ni chaguo la busara au la, na kuruhusika kimaadili kujiua.<ref name="StanfordSuicide">{{cite web |url=http://plato.stanford.edu/entries/suicide/ |title=Suicide (Stanford Encyclopedia of Philosophy) |publisher=Plato.stanford.edu |accessdate=2009-05-06}}</ref> Miswada ya kifilosofia inayohusu kuruhusu au kutoruhusu kujiua kama jambo linaloweza kukubalika kimaadili hutofautiana kutoka upinzani, (kwa kuchukulia kujiua kama mwiko) hadi kuchukulia kujiua kama haki ya [[kimiungu]] kwa mtu yeyote (hata mtu mchanga mwenye afya njema) anayeamini kwamba amefikia, kwa busara na dhamiri, uamuzi wa kukatisha maisha yake.

Wapinzani wa kujiua ni pamoja wanafilosofia Wakristo kama vile [[Agostino wa Hippo]] na [[Mtakatifu Thomas Aquinas]],<ref name="StanfordSuicide" /> [[Immanuel Kant]]<ref>Kant, Immanuel. (1785) ''Kant: The Metaphysics of Morals'', M. Gregor (trans.), Cambridge: Cambridge University Press, 1996. ISBN 978-0-521-56673-5. p177.</ref> na, kwa njia moja [[John Stuart Mill]] – malengo ya Mill kuhusu umuhimu wa [[uhuru]] na [[kujitawala]] yalipelekea yeye kupinga chaguo ambazo zingemzuia mtu kufanya uamuzi wa kibinafsi katika siku za usoni.<ref>{{cite journal | author = Safranek John P | year = 1998 | title = Autonomy and Assisted Suicide: The Execution of Freedom | url = | journal = The Hastings Center Report |volume = 28 | issue = 4| page = 33 }}</ref> Watu wengine huchukulia kujiua kama jambo halali la kujichagulia kibinafsi. Waafiki wa dhana hii husisitiza kuwa mtu yeyote hafai kushurutishwa kuteseka kinyume na mapenzi yake, hasa kutokana na hali kama vile ugonjwa usiotibika, ugonjwa wa akili na uzee usiokuwa na uwezekano wa kuimarika. Waafiki hawa hupinga imani ya kwamba, kila wakati, kujiua ni jambo lisilo la busara, badala yake wakihimiza kuwa linaweza kuwa chaguo halali la mwisho, kwa watu wanopitia maumivu makali au dhiki.<ref>Raymond Whiting: A natural right to die: twenty-three centuries of debate, pp. 13–17; Praeger (2001) ISBN 0-313-31474-8</ref> Dhana nyingine yenye msimamo mkali inahimiza kuwa watu wanapaswa kuruhusiwa wajichagulie kufa bila kuzingatia iwapo wanateseka au la. Waafiki mashuhuri wa [[dhana]] hii ni pamoja na Mskoti mwana falsafa [[David Hume]]<ref name="StanfordSuicide" /> na Mmarekani mwana bayojilia na maadili [[Jacob M. Appel|Jacob Appel]].<ref name=pmid17649899 /><ref>[[Wesley J. Smith]], Death on Demand: The assisted-suicide movement sheds its fig leaf, ''The Weekly Standard'', June 5, 2007</ref>

===Utetezi===
[[Image:Alexandre-Gabriel Decamps - The Suicide - Walters 3742.jpg|thumb|Katika picha hii iliyochorwa na Alexandre-Gabriel Decamps, kisufugutu, bastola na daftari iliyolazwa sakafuni zinaashiria kwamba tukio hili la kutisha limetendeka; mchoraji amejiua.<ref>{{cite web|publisher= [[The Walters Art Museum]] |url=http://art.thewalters.org/detail/1589 |title= The Suicide}}</ref>]]
Utetezi wa kujiua umetokea katika tamaduni nyingi na [[vijitamaduni]]. [[Jeshi la Japani]], katika Vita vya II vya Dunia, liliruhusu na kutukuza mashambulizi ya [[kamikaze]]. Haya yalikuwa mashambulizi ya kujiua yaliyotekelezwa na wanajeshi wanahewa wa Milki ya Japani dhidi ya vyombo vya majini vya Majeshi ya Muungano katika awamu za mwisho za uhamasisho wa Pasifikia wa Vita vya II vya Dunia. Jamii ya Japani kwa jumla imechukuliwa kama " inayoruhusu" kujiua<ref name="ozawa-desilva">{{cite journal|last=Ozawa-de Silva|first=C|title=Too lonely to die alone: internet suicide pacts and existential suffering in Japan.|journal=Culture, medicine and psychiatry|date=2008 Dec|volume=32|issue=4|pages=516–51|pmid=18800195|doi=10.1007/s11013-008-9108-0}}</ref> (tazama [[Kujiua nchini Japan]]).

[[Mtandao na Kujiua|Pekuzi mtandaoni kuhusu kijiua]] hutoa kurasa za mtandao ambazo huruhusu au kuwezesha majaribio ya kujiua kwa kiwango cha 10-30%.<!-- <ref name=Dur2011/> --> Kuna maoni kuwa kurasa kama hizo zinaweza kuchochea watu walio hatarini hadi wakajiua.<!-- <ref name=Dur2011/> -->Baadhi ya watu hutia [[mkataba wa kujiua]] mtandaoni, wakiwa na marafiki waliokuwa wakijuana mbeleni au waliopatana katika [[vyumba vya majadiliano]] au [[vikao vya mtandao|majojpo ya habari]].<!-- <ref name=Dur2011/> --> Hata hivyo, mtandao pia unaweza kusaidia kuzuia kujiua kupitia vikundi vya mahusiano kwa watu waliotengwa.<ref name=Dur2011>{{cite journal|last=Durkee|first=T|coauthors=Hadlaczky, G; Westerlund, M; Carli, V|title=Internet pathways in suicidality: a review of the evidence.|journal=International journal of environmental research and public health|date=2011 Oct|volume=8|issue=10|pages=3938–52|pmid=22073021|doi=10.3390/ijerph8103938|pmc=3210590}}</ref>

===Maeneo===
Baadhi ya maeneo yamekuwa maarufu kwa visa vingi vya majaribio ya kujiua.<ref name=Robinson2012/> Haya ni pamoja na [[Daraja la Golden Gate]], Jimbo la San Francisco; [[Aokigahara|msitu wa Aokigahara]], Japani;<ref>{{cite book|last=Robinson|first=ed. by Peter|title=Research themes for tourism|year=2010|publisher=CABI|location=Oxfordshire [etc.]|isbn=978-1-84593-684-6|page=172|url=http://books.google.ca/books?id=219aFMSRPqgC&pg=PA172|coauthors=Heitmann, Sine; Dieke, Peter}}</ref> [[Beachy Head]], Uingereza;<ref name=Robinson2012>{{cite book|last=Robinson|first=edited by David Picard, Mike|title=Emotion in motion : tourism, affect and transformation|publisher=Ashgate|location=Farnham, Surrey|isbn=978-1-4094-2133-7|page=176|url=http://books.google.ca/books?id=PjuY_4Vy_UUC&pg=PT176}}</ref> na [[Bloor Street Viaduct]], jijini [[Toronto]].<ref name=Dennis2008>{{cite book|last=Dennis|first=Richard|title=Cities in modernity : representations and productions of metropolitan space, 1840 – 1930|year=2008|publisher=Cambridge Univ. Press|location=Cambridge [u.a.]|isbn=978-0-521-46841-1|page=20|url=http://books.google.ca/books?id=Gq9_uNNkmKUC&pg=PA20|edition=Repr.}}</ref>

Kufikia mwaka wa 2010, Daraja la Golden Gate limekuwa na zaidi ya visa 1300 vya kujiua kwa kuruka tangu daraja hilo kujengwa mnamo 1937.<ref name=McDougall2010>{{cite book|last=McDougall|first=Tim|title=Helping children and young people who self-harm : an introduction to self-harming and suicidal behaviours for health professionals|year=2010|publisher=Routledge|location=Abingdon, Oxon|isbn=978-0-415-49913-2|page=23|url=http://books.google.ca/books?id=2VfP1-o0BgcC&pg=PA23|coauthors=Armstrong, Marie; Trainor, Gemma}}</ref> Maeneo mengi ambapo visa vingi vya kujiua hutokea yana vizuizi vilivyojengwa ili kuzuia visa hivi.<ref name=Bateson2008>{{cite book|last=Bateson|first=John|title=Building hope : leadership in the nonprofit world|year=2008|publisher=Praeger|location=Westport, Conn.|isbn=978-0-313-34851-8|page=180|url=http://books.google.ca/books?id=GUzq5qNegkYC&pg=PA180}}</ref> Maeneo haya ni pamoja na [[Luminous Veil]] jijini Toronto,<ref name=Dennis2008/>na vizuizi katika [[mnara wa Eiffel]] jijini Paris na [[Jengo la Empire State]] jijini New York.<ref name=Bateson2008/> Tangu mwaka wa 2001, kizuizi kinaendelea kujengwa katika daraja la Golden Gate <ref name=Miller2011>{{cite book|last=Miller|first=David|title=Child and Adolescent Suicidal Behavior: School-Based Prevention, Assessment, and Intervention|year=2011|isbn=978-1-60623-997-1|page=46|url=http://books.google.ca/books?id=bAHcIUDoVEoC&pg=PA46}}</ref>
Vizuizi vimeonekana kuwa mwafaka sana.
==Spishi zingine==
Baadhi ya watu hudhani kuwa kujiua hakuwezi kutokea katika viumbe wengine wasiokuwa na utu, kwa sababu kujiua huhitaji jaribio la hiari la kufa.<ref name=Maris2000>{{cite book|last=Maris|first=Ronald|title=Comprehensive textbook of suicidology|year=2000|publisher=Guilford Press|location=New York [u.a.]|isbn=978-1-57230-541-0|pages=97–103|url=http://books.google.ca/books?id=Zi-xoFAPnPMC&pg=PA97}}</ref> Mitindo inayohusishwa na kujiua imetambulika katika [[salmonela]] zinazojitahidi kushindana na bakteria kwa kuchochea [[mfumo wa kingamwili]] dhidi ya bakteria hizi.<ref>{{Cite journal|url=http://www.nytimes.com/2008/08/26/science/26obsalm.html?ref=science|title=In Salmonella Attack, Taking One for the Team|author=Chang, Kenneth|date=August 25, 2008|publisher=New York Times|postscript=<!--None-->}}</ref> Hatua za kujikinga kwa kujiua zimetambulika katika aina ya mchwa wa Brazil, ''Forelius pusillus'', ambapo kikundi kidogo cha mchwa huacha usalama wa kiota kila usiku, baada ya kufunga milango wakiwa nje. <ref>{{cite journal|title=Preemptive Defensive Self-Sacrifice by Ant Workers|url=http://www.cyf-kr.edu.pl/~rotofils/Tofilski_etal_2008.pdf|format=PDF|author=Tofilski,Adam; Couvillon, MJ;Evison, SEF; Helantera, H; Robinson, EJH; Ratnieks, FLW|year=2008|volume=172|pmid=18928332|issue=5|journal=The American Naturalist|doi=10.1086/591688|pages=E239–E243}}</ref>

[[Afidi ya choroko]], anapotishwa na [[mbawakawa]], anaweza kujilipua na kutapakaa ili kuwakinga wengine, na hata wakati mwingine anaweza kuwaua mbawakawa hao.<ref>{{Cite journal|url=http://news.discovery.com/animals/animal-suicide-behavior.html|title=Animal Suicide Sheds Light on Human Behavior|author=Larry O'Hanlon|date=Mar 10, 2010|publisher=Discovery News|postscript=<!--None-->}}</ref> Baadhi ya spishi za [[mchwa]] wana walinzi wanaojilipua hivyo kuwafunika adui zao na michozo inayoshikamanisha.<ref>{{Cite journal|url=http://www.bbc.co.uk/pressoffice/pressreleases/stories/2005/10_october/20/life_horrors.shtml|title=Life In The Undergrowth|publisher=BBC|postscript=<!--None-->|author1=<Please add first missing authors to populate metadata.>}}</ref><ref>{{Cite journal|title=Suicidal defensive behaviour by frontal gland dehiscence in Globitermes sulphureus Haviland soldiers (Isoptera)|first4=A.|last4=Peppuy|first3=V.|last3=Van Tuyen|volume=44|first2=A.|issue=3|journal=Insectes Sociaux|date=August, 1997|last2=Robert|page=289|doi=10.1007/s000400050049|url=http://www.springerlink.com/content/m727aywa4mdf04ln/|publisher=Birkhäuser Basel|author=Bordereau, C|postscript=<!--None-->}}</ref>

Kumekuwa na ripoti zisizotegemewa za mbwa, farasi na pomboo wanaojiua, ingawa ushahidi uliopo ni mdogo na hauaminiki.<ref>{{Cite journal|title=Do Animals Commit Suicide? A Scientific Debate|date=Mar. 19, 2010|author=Nobel, Justin|publisher=Time|url=http://www.time.com/time/health/article/0,8599,1973486,00.html|postscript=<!--None-->}}</ref> Kumekuwa na utafiti mdogo wa kisayansi kuhusu kujiua kwa wanyama.<ref>{{Cite journal|doi=10.1111/j.1749-6632.1997.tb52352.x|title=Suicide Research|first2=J. John|last2=Mann|url=http://www3.interscience.wiley.com/journal/120752899/abstract|author=Stoff, David|journal=Annals of the New York Academy of Sciences|publisher=Annals of the New York Academy of Sciences|volume=836|issue=Neurobiology of Suicide, The : From the Bench to the Clinic|year=1997|pages=1–11|postscript=<!--None-->|bibcode = 1997NYASA.836....1S }}</ref>

==Visa maarufu==
Mfano wa kujiua kwa halaiki ni [[kujiua kwa kidhehebu]] mwaka wa 1978 mjini "[[Jonestown]]", ambapo wanachama 918 wa [[Peoples Temple]], wa [[dhehebu]] la Kimarekani, wakiongozwa naye [[Jim Jones]], walijiua kwa kunywa [[Flavor Aid]] ya zabibu iliyochanganywa na [[Sianidi ya potasiamu|sianidi]]. ]].<ref>Hall 1987, p.282</ref><ref name="tape">[http://jonestown.sdsu.edu/AboutJonestown/Tapes/Tapes/DeathTape/death.html "Jonestown Audiotape Primary Project."] ''Alternative Considerations of Jonestown and Peoples Temple''. San Diego State University.{{WebCite|url=http://www.webcitation.org/5vybbZjSY|date =2011-01-24}}</ref><ref>"1978:[http://news.bbc.co.uk/onthisday/hi/dates/stories/november/18/newsid_2540000/2540209.stmMassSuicide Leaves 900 Dead]". Retrieved 9 November 2011.</ref> Mwaka wa 1944, zaidi ya Wajapani 10,000 walijiua katika siku za mwisho za [[Vita vya Saipan]], baadhi yao wakiruka kutoka "Suicide Cliff" na "Banzai Cliff".<ref>John Toland, ''The Rising Sun: The Decline and Fall of the Japanese Empire 1936–1945'', Random House, 1970, p. 519</ref>

[[Mgomo wa 1981 wa kususia chakula, nchini Ayalandi 1981|Mgomo wa kususia chakula wa 1981]], ulioongozwa na [[Bobby Sands]], ulisababisha vifo vya watu 10. Kisababishi cha vifo hivi kilirekodiwa na [[coroner]] kama "njaa ya kujitakia," badala ya kujiua. Kisababishi hiki kilibadilishwa na kuwa "njaa" kwenye vyeti vya kifo baada ya familia za waathiriwa kulalamika.<ref name=Philosophy59OKeeffe>[http://www.jstor.org/pss/3750951 Suicide and Self-Starvation], Terence M. O'Keeffe, [[Philosophy (journal)|''Philosophy'']], Vol. 59, No. 229 (Jul., 1984), pp. 349–363</ref> Katika Vita vya II vya Dunia [[Erwin Rommel]] aligunduliwa kufahamu mbeleni kuhusu [[Njama ya Julai 20|Njama ya Julai 20]] kuhusu maisha ya Hitle, hivyo akatishwa kwa [[hukumu ya umma]], kuuawa na jeshi na pia familia yake kulipiziwa kisasi iwapo hatajuia.<ref>{{cite book |last=Watson |first=Bruce|title=Exit Rommel: The Tunisian Campaign, 1942–43 |publisher=Stackpole Books |year=2007|page=170|isbn=978-0-8117-3381-6}}</ref>

==Vidokezo==
{{Reflist|colwidth=30em}}

Pitio la 17:45, 28 Novemba 2013

Suicide
Mwainisho na taarifa za nje
SpecialtyPsychiatry, Elimunafsia Edit this on Wikidata
ICD-10X60.X84.
ICD-9E950
MedlinePlus001554
eMedicinearticle/288598
MeSHF01.145.126.980.875

Kujiua (Kilatini suicidium, kutokana na sui caedere, "kujiua") ni kitendo cha kusababisha kifo cha mtu binafsi kimakusudi. Mara nyingi, watu hujiua kufuatia kukata tamaa. Mara nyingi kujiua husababishwa na tatizo la kiakili kama vile mfadhaiko, maradhi ya hisia mseto, skizofrenia,ulevi au kutumia dawa za kulevya.[1] Vipengele vya dhiki kama vile matatizo ya kifedha au matatizo ya mahusiano ya kijamii huchangia sana. Juhudi za kuzuia kujiua hujumuisha kupunguza uwezo wa kufikia bunduki, kutibu magonjwa ya akili na matumizi mabaya ya dawa na kuboresha maendeleo ya kiuchumi.

Mbinu inayotumika zaidi ya kujiua hutofautiana katika nchi mbalimbali na huhusishwa kwa kiasi na mbinu zinazopatikana. Mbinu zinazotumika mara nyingi hujumuisha: kujinyonga, kunywa sumu na kutumia bunduki. Takriban watu 800,000 hadi milioni 1 hufa kwa kujiua kila mwaka. Kujiua ni kisababishi cha 10 kikuu zaidi cha vifo kote ulimwenguni.[1][2] Viwango vya wanaume kujiua ni zaidi ya vya wanawake huku wanaume wakiwa na uwezekano wa mara 3-4 wa kujiua kuliko wanawake.[3] Imekadiriwa kuwa kuna majaribio ya kujiua yasiyo hatari milioni 10 hadi 20  kila mwaka.[4] Majaribio haya mara nyingi huwa ya watu wachanga na wa jinsia ya kike.

Mitazamo ya kujiua imeshawishiwa na mada kuu za kimaisha kama vile dini, heshima na dhamani ya maisha. Kitamaduni, dini za Kiibrahimu zilichukulia kujiua kuwa kumkosea Mungu kwa sababu ya imani yao ya utakatifu wa maisha. Katika enzi za samurai nchini Japan, seppuku iliheshimiwa kama mbinu ya kulipia kosa la kushindwa au njia ya utetezi. Sati wa mazishi ya Kihindi, ambao sasa umeharamishwa, ulimhitaji mjanekujitoa kafara kwa kujichoma katika kimbwi cha mazishi ya mumewe, kwa hiari au kwa kushinikizwa na familia na jamii.[5]

Ingawa kosa la kujiua au kujaribu kujiua lilichangia adhabu ya kisheria hapo awali katika mataifa ya magharibi, kwa sasa haliadhibiwi. Kosa hili limesalia kuwa hatia katika mataifa mengi ya Kiislamu. Katika karne ya 20 na 21, kujiua kwa mbinu ya kujitoa kafara kumetumika kama mbinu ya utetezi, na kamikaze na kujiua kwa bomu kama harakati za kijeshi au kigaidi.[6]

Fasili

Kujiua, kwa neno lingine kujiua kikamilifu, ni kitendo cha "kujitoa uhai".[7] Kujaribu kujiua au hatua isiyochangia kujiua ni kitendo cha kujidhuru kwa lengo la kujiangamiza, bila kufanikiwa kujiua.[8] Usaidizi wa kujiua ni pale mtu anapomsaidia mwingine kujiua kwa njia isiyo ya moja kwa moja; kupitia ushauri au mbinu za kujiua.[9] Hii ni kinyume na utanazia ambapo mtu mwingine huusika zaidi katika kusababisha kifo cha mtu.[9] Mawazo ya kujiua ni kuwaza jinsi ya kujiangamiza.[8]


Vipengele vya hatari

Hali zinazochangia kujiua katika majimbo 16 ya Marekani mwaka wa 2008.[10]

Vipengele vinavyoathiri hatari ya kujiua hujumuisha matatizo ya kisaikiatria, matumizi mabaya ya dawa, hali ya kisaikolojia, kitamaduni, familia na vitengo vya kijamii na jenetikia.[11] ugonjwa wa akili na matumizi mabaya ya dawa mara nyingi hutokea kwa pamoja.[12] Vipengele vingine vya hatari ni pamoja na jaribio la kujiua la hapo awali,[13] uwepo wa mbinu za kujiua, historia ya kujiua katika familia au uwepo wa jeraha kuu la ubongo.[14] Kwa mfano, viwango vya kujiua vimetambulika kuwa vya juu katika familia zilizo na bunduki kuliko zisizo nazo.[15] Vipengele vya kijamii na kiuchumi, kama vile ukosefu wa ajira, umaskini, kukosa makazi na ubaguzi vinaweza kusababisha fikira za kutaka kujiua.[16] Takriban 15-40% ya watu huacha ujumbe wa kujiua.[17] Jenetikia huonekana kuhusika kwa kati ya 38% na 55% ya mitindo ya kujiua.[18] Wakongwe wa vita wana hatari zaidi ya kujiua kufuatia viwango vya juu vya magonjwa ya akili na matatizo ya kiafya yanayohusishwa na vita.[19]

Matatizo ya akili

Matatizo ya akili mara nyingi huwepo wakati wa kujiua, huku kadirio zikiwa kati ya 27%[20] hadi zaidi ya 90%.[13] Katika wagonjwa waliolazwa katika kitengo cha magonjwa ya akili, hatari yao ya kujiua kikamilifu katika maisha yao yote huwa takriban 8.6%[13] Nusu ya watu wote wanaofariki kutokana na kujiua wanaweza kuwa na tatizo kuu la mfadhaiko; uwepo wa hali hii au mojawapo ya matatizo ya kihisia, kama vile maradhi ya hisia mseto huongeza hatari ya kujiua kwa mara 20.[21] Hali zingine zinazochangia kujiua ni pamoja na skizofrenia (14%), matatizo ya nafsi (14%), [22] maradhi ya hisia mseto,[21] na tatizo la dhiki baada ya kiwewe.[13] Takriban 5% ya watu wenye skizofrenia hufa kutokana na kujiua.[23] Matatizo ya kula ni hali nyingine yenye hatari ya juu.[24]

Historia ya jaribio la awali la kujiua ni ishara kuu ya kujiua kikamilifu baadaye.[13] Takriban 20% ya visa vya kujiua hutanguliwa na jaribio la kujiua. 1% ya watu waliojaribu kujiua hufaulu kujiua katika mwaka mmoja[13], na zaidi ya 5% hufaulu kujiua baada ya miaka 10 .[24] Ingawa vitendo vya kujidhuru havichukuliwi kama majaribio ya kujiua, kuwepo kwa mtindo wa kujidhuru huhusishwa na hatari zaidi ya kujiua.[25]

Kwa takriban 80% ya visa vya kujiua kikamilifu, mwathiriwa huwa amemtembelea daktari katika mwaka huo kabla ya kujiua,[26] ikijumuisha 45% ya visa katika mwezi uliotangulia.[27] Takriban 25%-40% ya watu wanaojiua huwa wamepokea huduma ya afya ya kiakili katika mwaka uliotangulia. [20][26]

Matumizi ya vileo

"Kuendelea kwa Mlevi", 1846 huonyesha jinsi ulevi unavyoweza kupelekea kujiua

Kutumia vileo ni kipengele cha hatari cha pili kikuu kinachopelekea kujiua, baada ya mfadhaiko mkuu na maradhi ya nafsi mseto.[28] Ulevi wa muda mrefu na ulevi wa muda mfupi huhusishwa na kujiua.[12][29] Ikiwa hali hii itaambatana na masikitiko ya kibinafsi, kama vile kufiwa, hatari huongezeka zaidi.[29] Hali kadhalika, kutumia dawa za kulevya huhusishwa na matatizo ya afya ya kiakili.[12]

Watu wengi huwa wameathiriwa na dawa za kutuliza na kuwezesha usingizi (kama vile pombe au benzodiazepines) wakati wa kujiua [30],huku ulevi ukiwepo katika 15%-61% ya visa.[12] Nchi zilizo na viwango vya juu vya ulevi wa pombe na idadi kubwa ya baa pia huwa na viwango vya juu vya kujiua[31]. Uhusiano huu huhusishwa hasa na matumizi ya vinywaji vikali vilivyotoneshwa kuliko pombe kamili.[12] Takriban 2.2-3.4% ya watu waliotibiwa kutokana na ulevi katika wakati fulani maishani mwao hufa kwa kujiua.[31] Walevi wanaojaribu kujiua kwa kawaida huwa wanaume wazee na ambao wamejaribu kujiua hapo awali.[12]Kati ya 3% na 35% ya vifo vya watu wanaotumia heroini hutokana na kujiua (takriban mara 14 zaidi ya wale wasiotumia).[32]

Matumizi mabaya ya kokeini na methamphetamine huhusiana pakubwa na kujiua.[12][33]Katika watumizi wa kokeini, hatari huwa ya juu zaidi katika awamu ya kusitisha.[34] Waliotumia vileo vya kuvuta pia huwa katika hatari, na takriban 20% yao hujaribu kujiua katika wakati fulani, huku zaidi ya 65% wakikusudia kujiua.[12] uvutaji sigara huhusishwa na hatari ya kujiua.[35] Kuna ushahidi mdogo kuhusu kuwepo kwa uhusiano huu; hata hivyo, imedhaniwa kuwa watu waliohatarishwa kwa moshi pia huhatarishwa kwa kujiua. Uvutaji husababisha matatizo ya afya yanayomfanya mtu kutaka kujiua. Pia, uvutaji huathiri kemia ya ubongo na kusababisha uwezekano wa kujiua.[35] Hata hivyo, bangi haitambuliki kuongeza hatari ikitumika pekee.[12]

Kubahatishia matatizo

Kubahatishia matatizo huhusishwa na ongezeko la mawazo ya kujiua na majaribio ikilinganishwa na watu wa kawaida. [36] Kati ya 12% na 14% ya wabahatishi wa kipatholojia hujaribu kujiua.[37] Kiwango cha kujiua cha wake zao huwa mara tatu zaidi ya kile cha umma.[37] Vipengele vingine vinavyoongeza hatari kwa wanaobahatishia matatizo hujumuisha ugonjwa wa akili, ulevi wa pombe na dawa.[38]

Hali za kimatibabu

Kuna uhusiano kati ya uwezekano wa kujiua na matatizo ya afya, ikijumuisha:[24]maumivu ya muda mrefu,[39] jeraha la ubongo lenye kiwewe,[40] saratani,[41] watu wanaofanyiwa hemodialisi, wenye VVU, erithematosasi ya kitaratibu ya lupusi miongini mwa hali zingine.[24] Utambuzi wa saratani huongeza hatari ya kujiua baadaye kwa takriban mara mbili.[41] Ukithiri wa ongezeko la uwezekano wa kujiua ulijikita hata baada ya kurekebishwa kutokana na maradhi ya mfadhaiko na ulevi. Hatari katika watu wenye hali nyingi za kimatibabu huwa juu zaidi. Matatizo ya afya nchini Japan yanaorodheshwa kama sababu kuu ya kujiua.[42]

Masumbufu ya usingizi kama vile insomnia[43] na apnea ya usingizi ni vipengele vya hatari vya mfadhaiko na kujiua. Wakati mwingine, masumbufu ya usingizi yanaweza kuwa vipengele vya hatari ya kujiua bila kutegemea mfadhaiko.[44] Hali nyingine za kimatibabu zinaweza kuwepo, huku zikiwa na dalili sawa na matatizo ya kihisia, ikiwa ni pamoja na:hipouthiroidi, Alzheimer, tyuma ya ubongo, erithematosasi ya kitaratibu ya lupusi na madhara ya dawa (kama vile viziba beta na steroidi).[13]

Hali za kimawazo na kijamii

Baadhi ya hali za kimawazo na kijamii huongeza hatari ya kujiua, ikujumuisha: kukosa matumaini, kupoteza furaha katika maisha, mfadhaiko na wasiwasi.[21] Uwezo duni wa kusuluhisha matatizo, ukosefu wa uwezo aliokua nao mtu na udhibiti duni wa hisia pia unaweza kuchangia kujiua.[21][45]Katika watu wazima, wazo la kuwa mzigo kwa watu wengine ni kipengele kikuu.[46][46]

Dhiki za awali, kama vile kifo cha jamaa au rafiki, kupoteza kazi au kujitenga na jamii (kama vile kuishi pekee) huongeza hatari.[21] Watu ambao hawajawai kuoa pia wana hatari ya juu zaidi.[13] Kujihusisha na dini kunaweza kupunguza hatari ya kujiua .[47] Hali hii imehusishwa na msimamo hasi wa dini dhidi ya kujiua, na uhusiano mkuu ulioko katika dini.[47] Waislamu, wakilingashwa na watu wa dini zingine, huwa na kiwango cha chini zaidi cha kujiua.[48]

Baadhi ya watu wanaweza kujiua ili kuepuka ukatili au ubaguzi.[49] Historia ya dhuluma za kimapenzi dhidi ya watoto u[50] na muda aliokaa mtu kwenye utunzaji wa walezi pia huwa vipengele vya hatari.[51] Dhuluma za kimapenzi huaminika kuchangia hadi takriban 20% ya hatari ya kijumla.[18]

Maelezo ya ya mageuko kuhusu kujiua ni kwamba kunaweza kuboresha uwezo wa kimalezi. Hii inaweza kutokea iwapo mtu anayejiua hawezi kupata watoto wengine na anaendelea kutumia raslimali za jamii kwa kuendelea kuishi. Pingamizi ni kuwa vifo vya watu waliobaleghe wenye afya mara nyingi haviongezi uwezo wa kimalezi. Utohozi katika mazingira tofauti na aliyozaliwa mtu unaweza kupelekea marekebisho mabaya katika mazingira anayoishi mtu kwa sasa.[45][52]

Umaskini huhusishwa na hatari ya kujiua.[53]Ongezeko la hali ya umaskini ikilinganishwa na watu walio karibu huongeza hatari ya kujiua .[54] Zaidi ya wakulima 200,000 nchini India wametekeleza kujiua kuanzia 1997 kwa sababu ya deni .[55] Nchini China, uwezo wa kujiua ni mara tatu zaidi katika maeneo ya mashambani kuliko mijini, kufuatia matatizo ya kifedha katika maeneo hayo.[56]

Vyombo vya habari

Vyombo vya habari, ikiwa ni pamoja na mtandao, huchangia pakubwa.[11] Jinsi vyombo hivi vinavyowasilisha kujiua inaweza kuwa na athari mbaya, huku habari zilizotiliwa mkazo, kusisitizwa na kurudiwa huku zikisifia matukio ya kujiua zikiwa na athari kuu zaidi.[57] Mbinu moja ya kujiua inapoangaziwa kwa kina, umaarufu wake unaweza kuongezeka kwenye umma.[58]

Kichochezi cha kusambaza hisia za kujiua au uigaji kujiua hujulikana kama athari ya Werther. Kichochezi hiki kilipewa jina kutokana na mhusika mkuu katika kitabu cha Goethe kijulikanacho kama The Sorrows of Young Werther aliyejiua.[59]Hatari hii ni kubwa zaidi katika vijana wanaosifia kifo.[60] Inaonakana kuwa, ingawa vyombo vya habari vina ushawishi mkubwa, ushawishi wa vyombo vya burudani ni wa kupotosha.[61] Kinyume cha athari ya Werther ni ile inayoitwa athari ya Papageno, ambapo kuwasilisha habari kuhusu mbinu mwafaka za ukabilianaji kunaweza kupelekea matokeo bora ya kinga. Neno hili linatokana na mhusika katika tamthilia ya [[Wolfgang Amadeus Mozart|Mozart] iitwayo The Magic Flute. Mhusika huyu alitaka kujiua kwa kuogopa kumtopeza mpenzi wake hadi marafiki zake wakamshawishi asijiue. [59] Hatari ya kujiua inaweza kupungua iwapo vyombo vya habari vitafuatilia miongozo inayofaa ya kuripoti.[57] Inaweza kuwa vigumu kupata uwajibikaji wa wataalam wa mawasiliano, hasa katika muda mrefu wa usoni.[57]

Kirazini

Kujiua kirazini ni kujiua baada ya kufanya uamuzi wa busara, [62] ingawa baadhi ya watu husema kuwa kujiua hakuwezi kuwa jambo la busara.[62]Kitendo cha kujiua ili kuwanufaisha watu wengine hujulikana kama kujiua kiutu.[63] Mfano wa aina hii ni mzee akijiua ili kuwaachia watoto wake mali nyingi katika jamii.[63] Katika baadhi ya tamaduni za Eskimo, hatua ya kujiua kiutu imeonekana kama kitendo cha heshima, ujasiri au hekima.[64]

Shambulio la kujiua ni kitendo cha kisiasa ambapo mshambulizi huwavamia watu wengine akifahamu kuwa kitendo hicho kitapelekea kifo chake. [65] Baadhi ya watu wanaojiua kwa bomu hufanya hivyo ili kupata umaarufu wa ufiadini.[19] Mashambulizi ya Kamikaze yalitekelezwa kama wito mkuu au wajibu wa kimaadili.[64] Kujiua baada ya mauaji ni kitendo cha uuaji wa binadamu kinachofuatiwa punde na mtu aliyetekeleza mauaji hayo kujiua mwenyewe.[66] Mauaji ya halaiki mara nyingi hutekelezwa chini ya ushawishi wa kijamii ambapo washirika humpa kiongozi mamlaka ya kuwafanyia atakavyo.[67] Mauwaji ya watu wengi yanaweza kutekelezwa na hata watu wawili tu, maarufu kama mkataba wa kujiua.[68]

Katika hali za kujaribu kuhalalisha, ambapo kuendelea kuishi kutapelekea mateso, watu wengi hutumia kujiua kama mbinu ya kuepuka. [69] Baadhi ya wafungwa katika Nazi kambi za mkusanyiko waliripotiwa kujiua kimakusidi kwa kugusa ua za umeme.[70]

Mbinu

Faili:KujiuaCFR.png
Uchunguzi Maalum Kima cha vifo kwa kujiua nchini Marekani.[15]

Mbinu maarufu ya kujiua hutofautiana katika nchi mbalimbali. Mbinu inayoongoza katika maeneo tofauti ni pamoja na kunyonga, kunywa sumu na kujiua kwa bunduki.[71] Tofauti hizi zinaaminika kusababishwa na upatikanaji wa mbinu mbalimbali kulingana na kila eneo.[58] Mapitio ya nchi 56 yalionyesha kuwa mbinu ya kujinyonga ilikuwa maarufu zaidi katika idadi kubwa ya nchi hizi, [72] ikihasibia 53% ya visa vya kujiua kwa wanaume na 39% katika wanawake. [73]

Kote ulimwenguni, 30% ya visa vya kujiua hutokana na kunywa sumu. Visa vya kutumia mbinu hii, hata hivyo ni tofauti sana, kutoka 4% bara Uropa hadi zaidi ya 50% katika eneo la Pasifiki. [74] Mbinu hii pia ni maarufu Marekani Kusini kwa sababu ya hali rahisi ya kupatikana kwa sumu za ukulima. [58] Katika nchi nyingi, kuzidisha kipimo cha dawa husababisha takriban 60% ya visa vya kujiua miongoni mwa wanawake na 30% katika wanaume.[75] Idadi kubwa ya vifo hivi hutokea bila mpango, na hutokea katika kipindi kikali cha mashaka.[58] Kiasi cha vifo hutofautiana na mbinu iliyotumika; bunduki: 80-90%, kuzama: 65-80%, kujinyonga: 60-85%, mivuke ya gari: 40-60%, kujirusha: 35-60%, kuchoma makaa: 40-50%, sumu ya kuua wadudu: 6-75%, kuzidisha kiasi cha dawa: 1.5-4%.[58] Mbinu za kujiua zilizojaribiwa zaidi hutofautiana na mbinu kuu zaidi, huku kukiwa na 85% ya majaribio ya kuzidisha kiasi cha dawa katika mataifa yaliyostawi.[24]

Nchini Marekani, 57% ya visa vya kujiua vimehusisha kutumia bunduki, huku mbinu hii ikitumiwa zaidi na wanaume kuliko wanawake. [13] Mbinu iliyofuatia kwa umaarufu ni kujinyonga katika wanaume na kunywa sumu katika wanawake.[13] Mbinu hizi kwa pamoja zilichangia 40% ya visa vya kujiua nchini Marekani. [76] Nchini Uswisi, ambapo takriban kila mtu humiliki bunduki, idadi kubwa zaidi ya visa vya kujiua ni kwa kujinyonga. [77] Visa vya kujiua ni maarufu nchini Hong kong na Singapore huku vikiwa 50% na 80% mtawalia. [58] Nchini Uchina, mbinu kuu zaidi ni kunywa sumu. [78] Nchini Japani, kujitoa matumbo, yaani seppuku au hara-kiri, bado hutokea, [78]ingawa kujinyonga ndiyo njia kuu zaidi. [79]

Pathofisiolojia

Hakuna Pathofisiolojia ya kujiua au mfadhaiko iliyo bayana, unganishi na ya kimsingi. [13] Hata hivyo, kujiua huaminika kutokana na mwingilianao wa vipengele vya kimtindo, kimazingira na kijamii na magonjwa ya akili. [58]

Viwango vya chini vya kipengele cha neurotrofiki zitokanazo na ubongo (KNZU) huhusishwa moja kwa moja na kujiua [80] na pasipo moja kwa moja jinsi vinavyochangia mfadhaiko mkuu, matatizo ya baada ya kiwewe, skizofrenia na matatizo ya ung’ang’anizi shurutishi.[81] Uchunguzi wa Uchunguzi maiti umetambua viwango vya chini vya KNZU katika hipokampasi na koteksi ya mbele kwa watu walio au wasio na hali za ugonjwa wa akili. [82] Serotonini, ambayo ni niurotransmita ya ubongo, huanimika kuwa katika kiwango cha chini katika watu wanaojiua. Hii ni kwa kimsingi wa kupatikana kwa viwango vya juu vya kipokezi cha 5- HT2A vinavyopatikana baada ya kufa. [83] Ushahidi mwingine ni pamoja na viwango vya chini vya asidi ya hidroksindoletisia-5, zao linalopatikana baada ya serotonini kumeng’enywa, katika kiowevu cha uti wa mgongo.[84] Hata hivyo, ushahidi wa moja kwa moja ni mgumu kupata. [83] Epigenetikia, somo la mabadiliko ya udhihirisho wa kijeni katika kuitikia vipengele vya kimazingira visivyobadilisha DNA, pia inaaminika kuchangia katika kubaini hatari ya kujiua.[85]

Kinga

Kama mpango wa kuzuia visa vya kujiua, picha hii inahamsisha kuhusu simu maalum kwenye Daraja la Golden Gate iliyounganishwa na simu ya dharura ya ushauri.

Kuzuia kujiua ni neno linalotumika kumaanisha juhudi za pamoja za kupunguza matukio ya kujiua kupitia hatua za kuzuia. Kupunguza ufikiaji mbinu fulani za kujiua, kama vile bunduki au sumu, hupunguza hatari hii. [58][86] Hatua zingine ni pamoja na kupunguza ufikiaji makaa na kuweka vizuizi kwenye madaraja na reli za chini ya ardhi. [58] Matibabu dhidi ya uraibu wa dawa za kulevya na pombe, mfadhaiko na majaribio ya kujiua pia yanaweza kuwa mwafaka. [86] Baadhi ya wataalam wamependekeza ufikiaji pombe kama mkakati wa kuzuia (kama vile kupunguza idadi za baa.) [12] Ingawa simu ya dharura ya ushauri hutumika sana, ushahidi uliopo ni mdogo wa kuunga mkono au kupinga ufanisi wake. [87][88] Katika vijana ambao awali wamekusudia kujiua, matibabu ya kubadilisha mawazo yametambulika kuboresha matokeo. [89] Ukuaji wa uchumi unaweza kupunguza viwango vya visa vya kujiua kupitia uwezo wake wa kupunguza umaskini. [53] Juhudi za kuongeza mahusiano ya kijamii, hasa katika wanaume wazee zinaweza kuwa mwafaka. [90]

Uchunguzi wa kimatibabu

Takwimu zilizopo hazitoshi kuelezea matokeo ya uchunguzi wa kimatibabu kwa umma na viwango vya hatima vya viwango vya kujiua. [91] Kwa kuwa kuna watu wengi wasio katika hatari ya kujiua wanaopata matokeo chanya kupitia mbinu hii, kuna wasiwasi kuwa uchunguzi unaweza kuongeza kwa kiasi kikubwa utumiaji wa raslimali za huduma ya afya. [92] Hata hivyo, inapendekezwa kuwachunguza watu walio katika hatari kuu ya kujiua. [13] Kuuliza kuhusu uwezo wa kujiua hakuonekani kuongeza hatari hii.[13]

Maradhi ya akili

Katika watu walio na matatizo ya akili, aina kadhaa za matibabu zinaweza kupunguza hatari ya kujiua. Watu walio na hisia za kujiua wanaweza kulazwa katika kituo cha utunzaji wa kiakili, kwa hiari au bila hiari yao. [13] Kwa kawaida, vifaa anavyoweza kutumia mtu kujiumiza huondolewa. [24] Baadhi ya madaktari huwaagiza wagonjwa kutia saini mkataba wa kuzuia kujiua ambapo wanaahidi kutojiumiza iwapo wataachiliwa. [13] Hata hivyo, ushahidi hauonyeshi matokeo mengi ya hatua hii. [13] Iwapo mtu yuko katika kiasi kidogo cha hatari, matibabu ya mgonjwa wa nje yanaweza kupangiwa. [24] Kulazwa kwa muda mfupi hospitalini hakujatambulika kuwa na ufanisi zaidi ya utunzaji wa kijamii ili kunufaisha matokeo kwa wale walio na tatizo la nafsi hafifu, ambao huwa na hisia za muda mrefu za kujiua. [93][94]

Kuna ushahidi wa kutosha kuonyesha kuwa matibabu ya kisaikolojia, hasa matibabu ya kitabia ya upembuzi, hupunguza uwezo wa kujiua katika vijana baleghe [95] pamoja na wale walio na tatizo la nafsi hafifu.[96] Hata hivyo, ushahidi haujapata upungufu katika visa kamilifu vya kujiua. [95]

Kuna utata kuhusu manufaa ya matibabu ya mfadhaiko, ikilinganishwa na madhara yake. [11] Katika vijana, matibabu mapya zaidi, kama vile KCUS huaminiwa kuongeza hatari ya kujiua kutoka watu 25 hadi 40 kwa kila 1000. [97] Hata hivyo, katika watu wazee,matibabu haya yanawaweza kupunguza hatari ya kujiua.[13] Lithiamu huaminika kuwa mwafaka katika kupunguza hatari katika watu walio na maradhi ya hisia mseto na maradhi ya mfadhaiko mkuu hadi kufikia viwango sawa na watu wengine wa kawaida. [98][99]

Epidemologia

Vifo kutokana na majeraha yanayotokana na kujidhuru kwa kila watu 100,000  mwaka wa 2004. [100]
     unknown      <3      3-6      6-9      9-12      12-15      15-18
     18-21      21-24      24-27      27-30      30-33      >33

Takriban 0.5% hadi 1.4% ya watu hufikia kifo kwa kujiua. [2][13] Kote ulimwenguni kufikia mwaka wa 2008/2009, kujiua ni kisababishi cha kumi kikuu [1], huku takriban watu 800,000 hadi milioni moja wakifa kila mwaka, ikipelekea kima cha vifo cha watu 11.6 kwa kila 100,00 kwa mwaka. [2] Kima cha vifo kimeongezeka hadi 60% kutoka miaka ya 1960 hadi 2012, [86] huku ongezeko hili likitambulika hasa katika mataifa yanayostawi.[1] Kwa kila kisa cha kujiua, kuna majaribio mengine 10 hadi 14 ya kujiua. [13]

Viwango vya kujiua hutofautiana pakubwa kati ya nchi na wakati. [2] Takwimu kwa asilimia ya vifo mwaka wa 2008 zilikuwa: Afrika 0.5%, Kusini Mashariki mwa Asia 1.9%, Marekani 1.2 na Uropa 1.4%. [2] Viwango kwa kila watu 100,00 vilikuwa: Australia 8.6, Canada 11.1, Uchina 12.7, India 23.2, Uingereza 7.6, Marekani 11.4. [101] Kujiua kumerodheshwa katika nafasi ya 10 kama kisababishi cha kifo kinachoongoza nchini Marekani mwaka wa 2009, ikiwa ni takriban visa 36,000 kila mwaka. [102] Takriban watu 650,000 hupatikana katika idara ya dharura kila mwaka kutokana na majaribio ya kujiua. [13] Nchi za Lithuania, Japani na Hangeria zina viwango vikubwa zaidi vya aina za kujiua. [2] Nchi zilizo na idadi kuu zaidi ya visa vya kujiua ni Uchina na India, zikihasibia zaidi ya nusu yaidadi yote [2] Nchini Uchina, kujiua ni kisababishi cha 5 kikuu cha kifo. [103]

Jinsia

Suicide rate per 100,000 males (left) and female (right) (data from 1978–2008).

     no data      < 1      1–5      5–5.8

     5.8–8.5      8.5–12      12–19      19–22.5

     22.5–26      26–29.5      29.5–33      33–36.5

     >36.5

Katika mataifa ya magharibi, wanaume hufa mara 3 hadi 4 zaidi kutokana na kujiua kuliko wanawake, ingawa wanawake hujaribu kujiua mara 4 zaidi. [2][13] Hali hii imesababishwa na wanaume kutumia mbinu kali zaidi za kujiua. [104] Tofauti hii inadhihirika zaidi katika watu wa umri wa zaidi ya miaka 65, huku visa vya kujiua kwa wanaume vikiwa zaidi ya vya wanawake kwa hadi mara 10. [104] Uchina kuna mojawapo ya viwango vikuu zaidi vya kujiua kwa wanawake duniani, na ndiyo nchi pekee ambapo viwango vya kujiua kwa wanawake ni zaidi ya wanaume (uwiano wa 0.9). [2][103] Katika Masharariki mwa Mediterranean, viwango vya kujiua ni karibu sawa baina ya wanaume na wanawake. [2] Katika wanawake, viwango vikubwa vya visa vya kujiua vinapatikana Korea Kusini, ikiwa ni watu 22 kwa watu 100,000, huku kukiwa na viwango vya juu Asia ya Kusini Mashariki na Magharibi mwa Pasifiki kwa kijumla.[2]

Umri

Visa vingi vya kujiua katika nchi nyingi hutokea katika watu wa umri wa makamo[105] au wazee.[58] Hata hivyo, idadi kamili ya visa vya kujiua ni vingi katika watu wa umri wa kati ya miaka 15 na 29, kwa sababu ya idadi ya watu iliyopo katika kikundi hiki.[2] Nchini Merikani, visa hivi hutokea kwa wingi katika kizungu, hasa wa umri wa zaidi ya miaka 80, ingawa watu wa umri wa chini hujaribu kujiua mara nyingi.[13] Kujiua ni kisababishi cha pili kikuu cha vifo katika umri wa balegheHitilafu ya kutaja: Closing </ref> missing for <ref> tag Katika Ugiriki ya Kale na Roma, njia ya kujiua ilikubaliwa kama njia ya kuonyesha kushindwa vitani [106]. Ingawa kujiua kulikubalika mwanzoni katika Roma ya kale, baadaye kuliharamishwa kama kosa dhidi ya serikali kwa sababu ya gharama za kiuchumi.[107] Amri ya uhalifu iliyotolewa na Louis XIV wa Ufaransa mwaka wa 1670 ilitoa adhabu kali zaidi: maiti ya mtu aliyejiua ilibururwa mitaani huku kichwa kikielekezwa chini, kisha kuninginishwa au kutupwa kenye biwi la takataka. Vile vile, mali yote ya mshukiwa ilichukuliwa.[108][109]. Katika historia ya Ukristo, watu waliojaribu kujiua walikuwa wakitengwa, huku waliokufa kufuatia kujiua wakizikwa nje ya eneo takatifu la makaburi.[110] Katika miaka ya mwishoni mwa karne ya 19 nchini Uingereza, jaribio la kujiua lilifananishwa na jaribio la kuua na adhabu yake ilikuwa kunyongwa.[110] Katika karne ya 19 barani Uropa, mtazamo wa kujiua ulibadilishwa kutoka mtazamo kuwa kulisababishwa na dhambi, hadi kuwa kulisababiswa na wazimu.[109].

Jamii na Utamaduni

Sheria

A tantō Kisu kilichotayarishwia seppuku.

Katika mataifa mengi ya Ulaya, kujiua hakuchukuliwi kama hatia tena,[111] ingawa mtazamo huo ulikuwa katika mataifa mengi ya Uropa kuanzia Enzi za Kati hadi angalau miaka ya 1800.[112] Mataifa mengi ya Kiislamu huchukulia kujiua kama hatia.[48]

Nchini Australia, kujiua si hatia.[113]Hata hivyo, ni hatia kumshauri, kumchochea, au kumsadia na kumshawishi mtu kujaribu kujiua. Sheria inamruhusu kikamilifu mtu yeyote kutumia "kiwango chochote cha nguvu kama itakavyohitajika" ili kumzuia mwingine asijiue.[114] Milki ya Kaskazini mwa Australia iliruhusu, kwa muda mfupi, kifo halali cha kusaidiwa na daktari kutoka 1996 hadi 1997.[115]

Barani Uropa, hakuna taifa lolote linalochukulia kitendo au jaribio la kujiua kama hatia kwa sasa.[110] Uingereza na Wales waliondoa sheria iliyoharamisha kujiua kupitia Sheria ya kijiua ya 1961, nayo Jamhuri ya Ayalandi ikifuatia mwaka wa 1993. [110] Neno "kutenda" ilitumika kurejelea uharamu wa kujiua. Hata hivyo, mashirika mengi yamekoma kulitumia kwa sababu ya mtazamo mbaya ya neno hili.[116][117]

Nchini India, kujiua ni hatia, na jamii ya mwathiriwa inaweza kushtakiwa.[118] Nchini Ujerumani, utanazia ni haramu na mtu anayeshuhudia mwingine akijiua anaweza kuhukumiwa kwa kukosa kutoa usaidizi wakati wa dharura.[119] Uswisi hivi majuzi imepiga hatua katika kuruhusu usaidizi wa kujiua kwa watu walio na ugonjwa wa muda mrefu wa akili. Mahakama kuu ya Lausanne, katika hukumu moja mwaka wa 2006, ilimpa mtu ambaye hakutajwa jina, mwenye tatizo la kiakili la muda mrefu idhini ya kujiua.[120]

Nchini Merikani, kujiua si hatia, ingawa watu wanaojaribu kujiua wanaweza kuadhibiwa.[110] Kujiua kwa kusaidiwa na daktari ni halali katika jimbo la Oregon[121] na Washington.[122]

Mtazamo wa kidini

Faili:Mjane wa Hindoo akijichoma pamoja na maiti ya mumewe.jpg
A Mhindu Mjane akijichoma pamoja na maiti ya mumewe, miaka ya 1820.

Katika dhehebu nyingi za Ukristo, kujiua huchukuliwa kama dhambi, kwa msingi wa maandishi ya Wakristo wasomi wenye ushawishi mkuu wa Enzi za Kati kama vile Mtakatifu Agostino na Mtakatifu Thomas Aquinas. Hata hivyo, kujiua hakukuchuliwa kama dhambi katika kanuni za Kijustina za Milki ya Bizantiamu, kwa mfano.[123][124] Katika kanuni za Kikatoliki, mswada wa kujiua uko kwenye msingi wa amri "Usiue" (iliyoidhinishwa katika Agano Jipya na Yesu katika Mathayo 19:18), pamoja na dhana kuwa uhai ni karama kutoka kwa Mungu, hivyo haufai kudhalilishwa. Vile vile, kuua ni kinyume na "amri asilia", hivyo huathiri mpango mkuu wa Mungu hapa Duniani.[125]

Hata hivyo, inaaminiwa kuwa ugonjwa wa akili au woga mkuu wa kuteseka hupunguza wajibu wa mtu anayejiua.[126] Miswada pinzani ni pamoja na ifuatayo: kuwa Amri ya sita imefasiliwa kifasaha kama "usitekeleze mauaji", ambayo hailengi moja kwa moja mtu binafsi ; yaani Mungu amempa uhuru kila binadamu kujichagulia; ya kuwa mtu akijiua hajavunja Sheria za Mungu, sawa na kuponya ugonjwa; na kuwa visa vingi vya wafuasi wa Mungu waliojiua vimenakiliwa katika Bibilia bila kuambatana na laana yoyote.[127]

Desturi za Kiyahudi huzingatia umuhimu wa kudhamini maisha yaliyopo, hivyo kujiua huchukuliwa kuwa sawa na mtu kujinyima wema wa Mungu duniani. Licha ya hayo, katika hali mbaya ambapo hakuna chaguo lingine ila kuuawa au kulazimishwa kuisaliti dini yao, Wayahudi walijiua kibinafsi au kujiua kwa umati (tazama Masada, Mateso ya kwanza ya Wayahudi nchini Ufaransa, na York Castle, kwa mifano). Kwa ukumbusho wa tahadhari, kuna sala katika liturujia ya Kiyahudi ya "kisu kiwapo kooni" kwa watu wanaokufa "kulitukuza jina la Mungu "(tazama Ufiadini). Matendo haya yamepokelewa kwa njia mbalimbali na watawala wa Kiyahudi, huku yakichukuliwa na baadhi ya watu kama mfano bora wa wafiadini mashujaa, huku wengine wakiyachukulia kama hatia kwa watu kujiua kwa kutazamia ufiadini.[128]

Uislamu haukubali kujiua.[48] Katika Uhindu kwa kijumla, kujiua hakukubaliwi, hivyo huchukuliwa kuwa dhambi sawa na kumuua mtu mwingine katika jamiii ya kisasa ya Kihindu. Maandiko ya Kihindu yanasema kuwa mtu anayejiua huingia katika ulimwengu wa mapepo, akitangatanga duniani hadi wakati ambapo angekufa iwapo hangejiua.[129] Hata hivyo, Uhindu hukubali haki ya kujiua kupitia njia isiyo na dhuluma ya kujinyima chakula hadi kufa, inayojulikana kama Prayopavesa.[130] Hata hivyo, Prayopavesa hukubalika tu kwa watu wasiokuwa na hamu au matarajio, wala majukumu maishani.[131] Ujaini una desturi sawa na hii, iitwayo Santhara. Desturi ya Sati, au kujitoa kama kafara kwa wajane ilikuwepo katika Enzi za Kati.

Filosopfia

Faili:Njia ya kutokea.jpg
Njia ya kutokea, au Dhana za kujiua: George Grie, 2007.

Maswali mengi yameulizwa katika filosofia ya kujiua, ikiwa ni pamoja na fasili ya kujiua, ikiwa kujiua ni chaguo la busara au la, na kuruhusika kimaadili kujiua.[132] Miswada ya kifilosofia inayohusu kuruhusu au kutoruhusu kujiua kama jambo linaloweza kukubalika kimaadili hutofautiana kutoka upinzani, (kwa kuchukulia kujiua kama mwiko) hadi kuchukulia kujiua kama haki ya kimiungu kwa mtu yeyote (hata mtu mchanga mwenye afya njema) anayeamini kwamba amefikia, kwa busara na dhamiri, uamuzi wa kukatisha maisha yake.

Wapinzani wa kujiua ni pamoja wanafilosofia Wakristo kama vile Agostino wa Hippo na Mtakatifu Thomas Aquinas,[132] Immanuel Kant[133] na, kwa njia moja John Stuart Mill – malengo ya Mill kuhusu umuhimu wa uhuru na kujitawala yalipelekea yeye kupinga chaguo ambazo zingemzuia mtu kufanya uamuzi wa kibinafsi katika siku za usoni.[134] Watu wengine huchukulia kujiua kama jambo halali la kujichagulia kibinafsi. Waafiki wa dhana hii husisitiza kuwa mtu yeyote hafai kushurutishwa kuteseka kinyume na mapenzi yake, hasa kutokana na hali kama vile ugonjwa usiotibika, ugonjwa wa akili na uzee usiokuwa na uwezekano wa kuimarika. Waafiki hawa hupinga imani ya kwamba, kila wakati, kujiua ni jambo lisilo la busara, badala yake wakihimiza kuwa linaweza kuwa chaguo halali la mwisho, kwa watu wanopitia maumivu makali au dhiki.[135] Dhana nyingine yenye msimamo mkali inahimiza kuwa watu wanapaswa kuruhusiwa wajichagulie kufa bila kuzingatia iwapo wanateseka au la. Waafiki mashuhuri wa dhana hii ni pamoja na Mskoti mwana falsafa David Hume[132] na Mmarekani mwana bayojilia na maadili Jacob Appel.[120][136]

Utetezi

Katika picha hii iliyochorwa na Alexandre-Gabriel Decamps, kisufugutu, bastola na daftari iliyolazwa sakafuni zinaashiria kwamba tukio hili la kutisha limetendeka; mchoraji amejiua.[137]

Utetezi wa kujiua umetokea katika tamaduni nyingi na vijitamaduni. Jeshi la Japani, katika Vita vya II vya Dunia, liliruhusu na kutukuza mashambulizi ya kamikaze. Haya yalikuwa mashambulizi ya kujiua yaliyotekelezwa na wanajeshi wanahewa wa Milki ya Japani dhidi ya vyombo vya majini vya Majeshi ya Muungano katika awamu za mwisho za uhamasisho wa Pasifikia wa Vita vya II vya Dunia. Jamii ya Japani kwa jumla imechukuliwa kama " inayoruhusu" kujiua[138] (tazama Kujiua nchini Japan).

Pekuzi mtandaoni kuhusu kijiua hutoa kurasa za mtandao ambazo huruhusu au kuwezesha majaribio ya kujiua kwa kiwango cha 10-30%. Kuna maoni kuwa kurasa kama hizo zinaweza kuchochea watu walio hatarini hadi wakajiua.Baadhi ya watu hutia mkataba wa kujiua mtandaoni, wakiwa na marafiki waliokuwa wakijuana mbeleni au waliopatana katika vyumba vya majadiliano au majojpo ya habari. Hata hivyo, mtandao pia unaweza kusaidia kuzuia kujiua kupitia vikundi vya mahusiano kwa watu waliotengwa.[139]

Maeneo

Baadhi ya maeneo yamekuwa maarufu kwa visa vingi vya majaribio ya kujiua.[140] Haya ni pamoja na Daraja la Golden Gate, Jimbo la San Francisco; msitu wa Aokigahara, Japani;[141] Beachy Head, Uingereza;[140] na Bloor Street Viaduct, jijini Toronto.[142]

Kufikia mwaka wa 2010, Daraja la Golden Gate limekuwa na zaidi ya visa 1300 vya kujiua kwa kuruka tangu daraja hilo kujengwa mnamo 1937.[143] Maeneo mengi ambapo visa vingi vya kujiua hutokea yana vizuizi vilivyojengwa ili kuzuia visa hivi.[144] Maeneo haya ni pamoja na Luminous Veil jijini Toronto,[142]na vizuizi katika mnara wa Eiffel jijini Paris na Jengo la Empire State jijini New York.[144] Tangu mwaka wa 2001, kizuizi kinaendelea kujengwa katika daraja la Golden Gate [145] Vizuizi vimeonekana kuwa mwafaka sana.

Spishi zingine

Baadhi ya watu hudhani kuwa kujiua hakuwezi kutokea katika viumbe wengine wasiokuwa na utu, kwa sababu kujiua huhitaji jaribio la hiari la kufa.[106] Mitindo inayohusishwa na kujiua imetambulika katika salmonela zinazojitahidi kushindana na bakteria kwa kuchochea mfumo wa kingamwili dhidi ya bakteria hizi.[146] Hatua za kujikinga kwa kujiua zimetambulika katika aina ya mchwa wa Brazil, Forelius pusillus, ambapo kikundi kidogo cha mchwa huacha usalama wa kiota kila usiku, baada ya kufunga milango wakiwa nje. [147]

Afidi ya choroko, anapotishwa na mbawakawa, anaweza kujilipua na kutapakaa ili kuwakinga wengine, na hata wakati mwingine anaweza kuwaua mbawakawa hao.[148] Baadhi ya spishi za mchwa wana walinzi wanaojilipua hivyo kuwafunika adui zao na michozo inayoshikamanisha.[149][150]

Kumekuwa na ripoti zisizotegemewa za mbwa, farasi na pomboo wanaojiua, ingawa ushahidi uliopo ni mdogo na hauaminiki.[151] Kumekuwa na utafiti mdogo wa kisayansi kuhusu kujiua kwa wanyama.[152]

Visa maarufu

Mfano wa kujiua kwa halaiki ni kujiua kwa kidhehebu mwaka wa 1978 mjini "Jonestown", ambapo wanachama 918 wa Peoples Temple, wa dhehebu la Kimarekani, wakiongozwa naye Jim Jones, walijiua kwa kunywa Flavor Aid ya zabibu iliyochanganywa na sianidi. ]].[153][154][155] Mwaka wa 1944, zaidi ya Wajapani 10,000 walijiua katika siku za mwisho za Vita vya Saipan, baadhi yao wakiruka kutoka "Suicide Cliff" na "Banzai Cliff".[156]

Mgomo wa kususia chakula wa 1981, ulioongozwa na Bobby Sands, ulisababisha vifo vya watu 10. Kisababishi cha vifo hivi kilirekodiwa na coroner kama "njaa ya kujitakia," badala ya kujiua. Kisababishi hiki kilibadilishwa na kuwa "njaa" kwenye vyeti vya kifo baada ya familia za waathiriwa kulalamika.[157] Katika Vita vya II vya Dunia Erwin Rommel aligunduliwa kufahamu mbeleni kuhusu Njama ya Julai 20 kuhusu maisha ya Hitle, hivyo akatishwa kwa hukumu ya umma, kuuawa na jeshi na pia familia yake kulipiziwa kisasi iwapo hatajuia.[158]

Vidokezo

  1. 1.0 1.1 1.2 1.3 Hawton K, van Heeringen K (April 2009). "Suicide". Lancet 373 (9672): 1372–81. PMID 19376453. doi:10.1016/S0140-6736(09)60372-X.  Check date values in: |date= (help)
  2. 2.00 2.01 2.02 2.03 2.04 2.05 2.06 2.07 2.08 2.09 2.10 2.11 Värnik, P (2012 Mar). "Suicide in the world.". International journal of environmental research and public health 9 (3): 760–71. PMC 3367275. PMID 22690161. doi:10.3390/ijerph9030760.  Check date values in: |date= (help)
  3. Meier, Marshall B. Clinard, Robert F. (2008). Sociology of deviant behavior (toleo la 14th ed.). Belmont, CA: Wadsworth Cengage Learning. uk. 169. ISBN 978-0-495-81167-1. 
  4. Bertolote JM, Fleischmann A (October 2002). "Suicide and psychiatric diagnosis: a worldwide perspective". World Psychiatry 1 (3): 181–5. PMC 1489848. PMID 16946849.  Check date values in: |date= (help)
  5. "Indian woman commits sati suicide". Bbc.co.uk. 2002-08-07. Iliwekwa mnamo 2010-08-26. 
  6. Aggarwal, N (2009). "Rethinking suicide bombing.". Crisis 30 (2): 94–7. PMID 19525169. doi:10.1027/0227-5910.30.2.94. 
  7. Stedman's medical dictionary (toleo la 28th ed.). Philadelphia: Lippincott Williams & Wilkins. 2006. ISBN 978-0-7817-3390-8. 
  8. 8.0 8.1 Krug, Etienne (2002). World Report on Violence and Health (Vol. 1). Genève: World Health Organization. uk. 185. ISBN 978-92-4-154561-7. 
  9. 9.0 9.1 Gullota, edited by Thomas P.; Bloom, Martin (2002). The encyclopedia of primary prevention and health promotion. New York: Kluwer Academic/Plenum. uk. 1112. ISBN 978-0-306-47296-1. 
  10. Karch, DL; Logan, J; Patel, N; Centers for Disease Control and Prevention, (CDC) (2011 Aug 26). "Surveillance for violent deaths—National Violent Death Reporting System, 16 states, 2008.". Morbidity and mortality weekly report. Surveillance summaries (Washington, D.C. : 2002) 60 (10): 1–49. PMID 21866088.  Check date values in: |date= (help)
  11. 11.0 11.1 11.2 Hitilafu ya kutaja: Invalid <ref> tag; no text was provided for refs named Hawton2012
  12. 12.00 12.01 12.02 12.03 12.04 12.05 12.06 12.07 12.08 12.09 Vijayakumar, L; Kumar, MS; Vijayakumar, V (2011 May). "Substance use and suicide.". Current opinion in psychiatry 24 (3): 197–202. PMID 21430536. doi:10.1097/YCO.0b013e3283459242.  Check date values in: |date= (help)
  13. 13.00 13.01 13.02 13.03 13.04 13.05 13.06 13.07 13.08 13.09 13.10 13.11 13.12 13.13 13.14 13.15 13.16 13.17 13.18 13.19 13.20 13.21 Chang, B; Gitlin, D; Patel, R (2011 Sep). "The depressed patient and suicidal patient in the emergency department: evidence-based management and treatment strategies.". Emergency medicine practice 13 (9): 1–23; quiz 23–4. PMID 22164363.  Check date values in: |date= (help)
  14. Simpson, G; Tate, R (2007 Dec). "Suicidality in people surviving a traumatic brain injury: prevalence, risk factors and implications for clinical management.". Brain injury : [BI] 21 (13–14): 1335–51. PMID 18066936. doi:10.1080/02699050701785542.  Check date values in: |date= (help)
  15. 15.0 15.1 Miller, M; Azrael, D; Barber, C (2012 Apr). "Suicide mortality in the United States: the importance of attending to method in understanding population-level disparities in the burden of suicide.". Annual review of public health 33: 393–408. PMID 22224886. doi:10.1146/annurev-publhealth-031811-124636.  Check date values in: |date= (help)
  16. Qin P, Agerbo E, Mortensen PB (April 2003). "Suicide risk in relation to socioeconomic, demographic, psychiatric, and familial factors: a national register-based study of all suicides in Denmark, 1981–1997". Am J Psychiatry 160 (4): 765–72. PMID 12668367. doi:10.1176/appi.ajp.160.4.765.  Check date values in: |date= (help)
  17. Gilliland, Richard K. James, Burl E. Crisis intervention strategies (toleo la 7th ed.). Belmont, CA: Brooks/Cole. uk. 215. ISBN 978-1-111-18677-7. 
  18. 18.0 18.1 Brent, DA; Melhem, N (2008 Jun). "Familial transmission of suicidal behavior.". The Psychiatric clinics of North America 31 (2): 157–77. PMC 2440417. PMID 18439442. doi:10.1016/j.psc.2008.02.001.  Check date values in: |date= (help)
  19. 19.0 19.1 Rozanov, V; Carli, V (2012 Jul). "Suicide among war veterans.". International journal of environmental research and public health 9 (7): 2504–19. PMC 3407917. PMID 22851956. doi:10.3390/ijerph9072504.  Check date values in: |date= (help)
  20. 20.0 20.1 University of Manchester Centre for Mental Health and Risk. "The National Confidential Inquiry into Suicide and Homicide by People with Mental Illness". Iliwekwa mnamo 25 July 2012.  Check date values in: |accessdate= (help)
  21. 21.0 21.1 21.2 21.3 21.4 Chehil, Stan Kutcher, Sonia (2012). Suicide Risk Management A Manual for Health Professionals. (toleo la 2nd ed.). Chicester: John Wiley & Sons. ku. 30–33. ISBN 978-1-119-95311-1. 
  22. Bertolote, JM; Fleischmann, A; De Leo, D; Wasserman, D (2004). "Psychiatric diagnoses and suicide: revisiting the evidence.". Crisis 25 (4): 147–55. PMID 15580849. 
  23. van Os J, Kapur S. Schizophrenia. Lancet. 2009;374(9690):635–45. doi:10.1016/S0140-6736(09)60995-8. PMID 19700006.
  24. 24.0 24.1 24.2 24.3 24.4 24.5 24.6 Tintinalli, Judith E. (2010). Emergency Medicine: A Comprehensive Study Guide (Emergency Medicine (Tintinalli)). New York: McGraw-Hill Companies. ku. 1940–1946. ISBN 0-07-148480-9. 
  25. Whitlock J, Knox KL (July 2007). "The relationship between self-injurious behavior and suicide in a young adult population". Arch Pediatr Adolesc Med 161 (7): 634–40. PMID 17606825. doi:10.1001/archpedi.161.7.634.  Check date values in: |date= (help)
  26. 26.0 26.1 Pirkis, J; Burgess, P (1998 Dec). "Suicide and recency of health care contacts. A systematic review.". The British journal of psychiatry : the journal of mental science 173: 462–74. PMID 9926074.  Check date values in: |date= (help)
  27. Luoma, JB; Martin, CE; Pearson, JL (2002 Jun). "Contact with mental health and primary care providers before suicide: a review of the evidence.". The American Journal of Psychiatry 159 (6): 909–16. PMID 12042175.  Check date values in: |date= (help)
  28. Perrotto, Jerome D. Levin, Joseph Culkin, Richard S. (2001). Introduction to chemical dependency counseling. Northvale, N.J.: Jason Aronson. ku. 150–152. ISBN 978-0-7657-0289-0. 
  29. 29.0 29.1 Fadem, Barbara (2004). Behavioral science in medicine. Philadelphia: Lippincott Williams & Wilkins. uk. 217. ISBN 978-0-7817-3669-5. 
  30. Youssef NA, Rich CL (2008). "Does acute treatment with sedatives/hypnotics for anxiety in depressed patients affect suicide risk? A literature review". Ann Clin Psychiatry 20 (3): 157–69. PMID 18633742. doi:10.1080/10401230802177698. 
  31. 31.0 31.1 Sher, L (2006 Jan). "Alcohol consumption and suicide.". QJM : monthly journal of the Association of Physicians 99 (1): 57–61. PMID 16287907. doi:10.1093/qjmed/hci146.  Check date values in: |date= (help)
  32. Darke S, Ross J (November 2002). "Suicide among heroin users: rates, risk factors and methods". Addiction 97 (11): 1383–94. PMID 12410779. doi:10.1046/j.1360-0443.2002.00214.x.  Check date values in: |date= (help)
  33. Darke, S; Kaye, S; McKetin, R; Duflou, J (2008 May). "Major physical and psychological harms of methamphetamine use.". Drug and alcohol review 27 (3): 253–62. PMID 18368606. doi:10.1080/09595230801923702.  Check date values in: |date= (help)
  34. Jr, Frank J. Ayd, (2000). Lexicon of psychiatry, neurology, and the neurosciences (toleo la 2nd ed.). Philadelphia [u.a.]: Lippincott Williams & Wilkins. uk. 256. ISBN 978-0-7817-2468-5. 
  35. 35.0 35.1 Hughes, JR (2008 Dec 1). "Smoking and suicide: a brief overview.". Drug and alcohol dependence 98 (3): 169–78. PMID 18676099. doi:10.1016/j.drugalcdep.2008.06.003.  Check date values in: |date= (help)
  36. Pallanti, Stefano; Rossi, Nicolò Baldini; Hollander, Eric (2006). "11. Pathological Gambling". Katika Hollander, Eric; Stein, Dan J. Clinical manual of impulse-control disorders. American Psychiatric Pub. uk. 253. ISBN 978-1-58562-136-1. 
  37. 37.0 37.1 Oliveira, MP; Silveira, DX; Silva, MT (2008 Jun). "[Pathological gambling and its consequences for public health].". Revista de saude publica 42 (3): 542–9. PMID 18461253.  Check date values in: |date= (help)
  38. Hansen, M; Rossow, I (2008 Jan 17). "[Gambling and suicidal behaviour].". Tidsskrift for den Norske laegeforening : tidsskrift for praktisk medicin, ny raekke 128 (2): 174–6. PMID 18202728.  Check date values in: |date= (help)
  39. Manthorpe, J; Iliffe, S (2010 Dec). "Suicide in later life: public health and practitioner perspectives.". International journal of geriatric psychiatry 25 (12): 1230–8. PMID 20104515. doi:10.1002/gps.2473.  Check date values in: |date= (help)
  40. Simpson GK, Tate RL (August 2007). "Preventing suicide after traumatic brain injury: implications for general practice". Med. J. Aust. 187 (4): 229–32. PMID 17708726.  Check date values in: |date= (help)
  41. 41.0 41.1 Anguiano, L; Mayer, DK; Piven, ML; Rosenstein, D (2012 Jul–Aug). "A literature review of suicide in cancer patients.". Cancer nursing 35 (4): E14–26. PMID 21946906. doi:10.1097/NCC.0b013e31822fc76c.  Check date values in: |date= (help)
  42. Yip, edited by Paul S.F. (2008). Suicide in Asia : causes and prevention. Hong Kong: Hong Kong University Press. uk. 11 Extra |pages= or |at= (help). ISBN 9789622099432. 
  43. Ribeiro, JD; Pease, JL; Gutierrez, PM; Silva, C; Bernert, RA; Rudd, MD; Joiner TE, Jr (2012 Feb). "Sleep problems outperform depression and hopelessness as cross-sectional and longitudinal predictors of suicidal ideation and behavior in young adults in the military.". Journal of Affective Disorders 136 (3): 743–50. PMID 22032872. doi:10.1016/j.jad.2011.09.049.  Check date values in: |date= (help)
  44. Bernert, RA; Joiner TE, Jr; Cukrowicz, KC; Schmidt, NB; Krakow, B (2005 Sep). "Suicidality and sleep disturbances.". Sleep 28 (9): 1135–41. PMID 16268383.  Check date values in: |date= (help)
  45. 45.0 45.1 Joiner TE, Jr; Brown, JS; Wingate, LR (2005). "The psychology and neurobiology of suicidal behavior.". Annual review of psychology 56: 287–314. PMID 15709937. doi:10.1146/annurev.psych.56.091103.070320. 
  46. 46.0 46.1 Van Orden, K; Conwell, Y (2011 Jun). "Suicides in late life.". Current psychiatry reports 13 (3): 234–41. PMC 3085020. PMID 21369952. doi:10.1007/s11920-011-0193-3.  Check date values in: |date= (help)
  47. 47.0 47.1 Koenig, HG (2009 May). "Research on religion, spirituality, and mental health: a review.". Canadian journal of psychiatry. Revue canadienne de psychiatrie 54 (5): 283–91. PMID 19497160.  Check date values in: |date= (help)
  48. 48.0 48.1 48.2 Lester, D (2006). "Suicide and islam.". Archives of suicide research : official journal of the International Academy for Suicide Research 10 (1): 77–97. PMID 16287698. doi:10.1080/13811110500318489. 
  49. Cox, William T. L.; Abramson, Lyn Y.; Devine, Patricia G.; Hollon, Steven D. (2012). "Stereotypes, Prejudice, and Depression: The Integrated Perspective". Perspectives on Psychological Science 7 (5): 427–449. doi:10.1177/1745691612455204. 
  50. Wegman, HL; Stetler, C (2009 Oct). "A meta-analytic review of the effects of childhood abuse on medical outcomes in adulthood.". Psychosomatic Medicine 71 (8): 805–12. PMID 19779142. doi:10.1097/PSY.0b013e3181bb2b46.  Check date values in: |date= (help)
  51. Oswald, SH; Heil, K; Goldbeck, L (2010 Jun). "History of maltreatment and mental health problems in foster children: a review of the literature.". Journal of pediatric psychology 35 (5): 462–72. PMID 20007747. doi:10.1093/jpepsy/jsp114.  Check date values in: |date= (help)
  52. Confer, Jaime C.; Easton, Judith A.; Fleischman, Diana S.; Goetz, Cari D.; Lewis, David M. G.; Perilloux, Carin; Buss, David M. (1 January 2010). "Evolutionary psychology: Controversies, questions, prospects, and limitations.". American Psychologist 65 (2): 110–126. PMID 20141266. doi:10.1037/a0018413.  Check date values in: |date= (help)
  53. 53.0 53.1 Stark, CR; Riordan, V; O'Connor, R (2011). "A conceptual model of suicide in rural areas.". Rural and remote health 11 (2): 1622. PMID 21702640. 
  54. Daly, Mary (Sept 2012). "Relative Status and Well-Being: Evidence from U.S. Suicide Deaths". Federal Reserve Bank of San Francisco Working Paper Series.  Check date values in: |date= (help)
  55. Lerner, George. "Activist: Farmer suicides in India linked to debt, globalization", Jan 5,2010. Retrieved on 13 February 2013. 
  56. Law, S; Liu, P (2008 Feb). "Suicide in China: unique demographic patterns and relationship to depressive disorder.". Current psychiatry reports 10 (1): 80–6. PMID 18269899.  Check date values in: |date= (help)
  57. 57.0 57.1 57.2 Bohanna, I; Wang, X (2012). "Media guidelines for the responsible reporting of suicide: a review of effectiveness.". Crisis 33 (4): 190–8. PMID 22713977. doi:10.1027/0227-5910/a000137. 
  58. 58.00 58.01 58.02 58.03 58.04 58.05 58.06 58.07 58.08 58.09 Yip, PS; Caine, E; Yousuf, S; Chang, SS; Wu, KC; Chen, YY (2012 Jun 23). "Means restriction for suicide prevention.". Lancet 379 (9834): 2393–9. PMID 22726520. doi:10.1016/S0140-6736(12)60521-2.  Check date values in: |date= (help)
  59. 59.0 59.1 Sisask, M; Värnik, A (2012 Jan). "Media roles in suicide prevention: a systematic review.". International journal of environmental research and public health 9 (1): 123–38. PMC 3315075. PMID 22470283. doi:10.3390/ijerph9010123.  Check date values in: |date= (help)
  60. Stack S (April 2005). "Suicide in the media: a quantitative review of studies based on non-fictional stories". Suicide Life Threat Behav 35 (2): 121–33. PMID 15843330. doi:10.1521/suli.35.2.121.62877.  Check date values in: |date= (help)
  61. Pirkis J (July 2009). 72X "Suicide and the media". Psychiatry 8 (7): 269–271. doi:10.1016/j.mppsy.2009.04.009.  Check date values in: |date= (help)
  62. 62.0 62.1 Loue, Sana (2008). Encyclopedia of aging and public health : with 19 tables. New York, NY: Springer. uk. 696. ISBN 978-0-387-33753-1. 
  63. 63.0 63.1 Moody, Harry R. (2010). Aging : concepts and controversies (toleo la 6th ed.). Los Angeles: Pine Forge Press. uk. 158. ISBN 978-1-4129-6966-6. 
  64. 64.0 64.1 Hales, edited by Robert I. Simon, Robert E. The American Psychiatric Publishing textbook of suicide assessment and management (toleo la 2nd ed.). Washington, DC: American Psychiatric Pub. uk. 714. ISBN 978-1-58562-414-0. 
  65. editor, Tarek Sobh, (2010). Innovations and advances in computer sciences and engineering (toleo la Online-Ausg.). Dordrecht: Springer Verlag. uk. 503. ISBN 978-90-481-3658-2. 
  66. Eliason, S (2009). "Murder-suicide: a review of the recent literature.". The journal of the American Academy of Psychiatry and the Law 37 (3): 371–6. PMID 19767502. 
  67. Smith, William Kornblum in collaboration with Carolyn D. Sociology in a changing world (toleo la 9e [9th ed].). Belmont, CA: Wadsworth Cengage Learning. uk. 27. ISBN 978-1-111-30157-6. 
  68. Campbell, Robert Jean (2004). Campbell's psychiatric dictionary (toleo la 8th ed.). Oxford: Oxford University Press. uk. 636. ISBN 978-0-19-515221-0. 
  69. Veatch, ed. by Robert M. (1997). Medical ethics (toleo la 2. ed.). Sudbury, Mass. [u.a.]: Jones and Bartlett. uk. 292. ISBN 978-0-86720-974-7. 
  70. Gutman, Yisrael; editors, Michael Berenbaum, (1998). Anatomy of the Auschwitz death camp (toleo la 1st pbk. ed.). Bloomington: Publ. in association with the United States Holocaust Memorial Museum, Washington, D.C. by Indiana University Press. uk. 400. ISBN 978-0-253-20884-2. 
  71. Ajdacic-Gross V; Weiss MG; Ring M n.k. (September 2008). "Methods of suicide: international suicide patterns derived from the WHO mortality database". Bull. World Health Organ. 86 (9): 726–32. PMC 2649482. PMID 18797649. doi:10.2471/BLT.07.043489.  Check date values in: |date= (help)
  72. Ajdacic-Gross, Vladeta, et al."Methods of suicide: international suicide patterns derived from the WHO mortality database"PDF (267 KB). Bulletin of the World Health Organization 86 (9): 726–732. September 2008. Accessed 2 August 2011.Archived 2 August 2011. Seehtml version. The data can be seen here [1]
  73. O'Connor, Rory C.; Platt, Stephen; Gordon, Jacki, wahariri (1 June 2011). International Handbook of Suicide Prevention: Research, Policy and Practice. John Wiley and Sons. uk. 34. ISBN 978-1-119-99856-3.  Check date values in: |date= (help)
  74. Gunnell D, Eddleston M, Phillips MR, Konradsen F (2007). "The global distribution of fatal pesticide self-poisoning: systematic review". BMC Public Health 7: 357. PMC 2262093. PMID 18154668. doi:10.1186/1471-2458-7-357. 
  75. Geddes, John; Price, Jonathan; Gelder, Rebecca McKnight ; with Michael; Mayou, Richard. Psychiatry (toleo la 4th ed.). Oxford: Oxford University Press. uk. 62. ISBN 978-0-19-923396-0. 
  76. "U.S. Suicide Statistics (2005)". Iliwekwa mnamo 2008-03-24. 
  77. Eshun, edited by Sussie; Gurung, Regan A.R. (2009). Culture and mental health sociocultural influences, theory, and practice. Chichester, U.K.: Wiley-Blackwell. uk. 301. ISBN 9781444305814. 
  78. 78.0 78.1 Krug, Etienne (2002). World Report on Violence and Health, Volume 1. Genève: World Health Organization. uk. 196 Extra |pages= or |at= (help). ISBN 9789241545617. 
  79. (editor), Diego de Leo (2001). Suicide and euthanasia in older adults : a transcultural journey. Toronto: Hogrefe & Huber. uk. 121. ISBN 9780889372511. 
  80. Pjevac, M; Pregelj, P (2012 Oct). "Neurobiology of suicidal behaviour.". Psychiatria Danubina. 24 Suppl 3: S336–41. PMID 23114813.  Check date values in: |date= (help)
  81. Sher, L (2011). "The role of brain-derived neurotrophic factor in the pathophysiology of adolescent suicidal behavior.". International journal of adolescent medicine and health 23 (3): 181–5. PMID 22191181. 
  82. Sher, L (2011 May). "Brain-derived neurotrophic factor and suicidal behavior.". QJM : monthly journal of the Association of Physicians 104 (5): 455–8. PMID 21051476. doi:10.1093/qjmed/hcq207.  Check date values in: |date= (help)
  83. 83.0 83.1 Dwivedi, Yogesh (2012). The neurobiological basis of suicide. Boca Raton, FL: Taylor & Francis/CRC Press. uk. 166. ISBN 978-1-4398-3881-5. 
  84. Stein, edited by George; Wilkinson, Greg (2007). Seminars in general adult psychiatry (toleo la 2. ed.). London: Gaskell. uk. 145. ISBN 978-1-904671-44-2. 
  85. Autry, AE; Monteggia, LM (2009 Nov 1). "Epigenetics in suicide and depression.". Biological Psychiatry 66 (9): 812–3. PMC 2770810. PMID 19833253. doi:10.1016/j.biopsych.2009.08.033.  Check date values in: |date= (help)
  86. 86.0 86.1 86.2 "Suicide prevention". WHO Sites: Mental Health. World Health Organization. Aug 31,2012. Iliwekwa mnamo 2013-01-13.  Check date values in: |date= (help)
  87. Sakinofsky, I (2007 Jun). "The current evidence base for the clinical care of suicidal patients: strengths and weaknesses". Canadian Journal of Psychiatry 52 (6 Suppl 1): 7S–20S. PMID 17824349.  Check date values in: |date= (help)
  88. "Suicide". The United States Surgeon General. Iliwekwa mnamo 4 September 2011.  Check date values in: |accessdate= (help)
  89. Robinson, J; Hetrick, SE; Martin, C (2011 Jan). "Preventing suicide in young people: systematic review.". The Australian and New Zealand journal of psychiatry 45 (1): 3–26. PMID 21174502. doi:10.3109/00048674.2010.511147.  Check date values in: |date= (help)
  90. Fässberg, MM; van Orden, KA; Duberstein, P; Erlangsen, A; Lapierre, S; Bodner, E; Canetto, SS; De Leo, D; Szanto, K; Waern, M (2012 Mar). "A systematic review of social factors and suicidal behavior in older adulthood.". International journal of environmental research and public health 9 (3): 722–45. PMC 3367273. PMID 22690159. doi:10.3390/ijerph9030722.  Check date values in: |date= (help)
  91. Williams, SB; O'Connor, EA; Eder, M; Whitlock, EP (2009 Apr). "Screening for child and adolescent depression in primary care settings: a systematic evidence review for the US Preventive Services Task Force.". Pediatrics 123 (4): e716–35. PMID 19336361. doi:10.1542/peds.2008-2415.  Check date values in: |date= (help)
  92. Horowitz, LM; Ballard, ED; Pao, M (2009 Oct). "Suicide screening in schools, primary care and emergency departments.". Current Opinion in Pediatrics 21 (5): 620–7. PMC 2879582. PMID 19617829. doi:10.1097/MOP.0b013e3283307a89.  Check date values in: |date= (help)
  93. Paris, J (June 2004). "Is hospitalization useful for suicidal patients with borderline personality disorder?". Journal of personality disorders 18 (3): 240–7. PMID 15237044. doi:10.1521/pedi.18.3.240.35443.  Check date values in: |date= (help)
  94. Goodman, M; Roiff, T; Oakes, AH; Paris, J (2012 Feb). "Suicidal risk and management in borderline personality disorder.". Current psychiatry reports 14 (1): 79–85. PMID 22113831. doi:10.1007/s11920-011-0249-4.  Check date values in: |date= (help)
  95. 95.0 95.1 Canadian Agency for Drugs and Technologies in Health, (CADTH) (2010). "Dialectical behaviour therapy in adolescents for suicide prevention: systematic review of clinical-effectiveness.". CADTH technology overviews 1 (1): e0104. PMC 3411135. PMID 22977392. 
  96. Stoffers, JM; Völlm, BA; Rücker, G; Timmer, A; Huband, N; Lieb, K (2012 Aug 15). "Psychological therapies for people with borderline personality disorder.". Cochrane database of systematic reviews (Online) 8: CD005652. PMID 22895952. doi:10.1002/14651858.CD005652.pub2.  Check date values in: |date= (help)
  97. Hetrick, SE; McKenzie, JE; Cox, GR; Simmons, MB; Merry, SN (2012 Nov 14). "Newer generation antidepressants for depressive disorders in children and adolescents.". Cochrane database of systematic reviews (Online) 11: CD004851. PMID 23152227. doi:10.1002/14651858.CD004851.pub3.  Check date values in: |date= (help)
  98. Baldessarini, RJ; Tondo, L; Hennen, J (2003). "Lithium treatment and suicide risk in major affective disorders: update and new findings.". The Journal of clinical psychiatry. 64 Suppl 5: 44–52. PMID 12720484. 
  99. Cipriani, A; Pretty, H; Hawton, K; Geddes, JR (2005 Oct). "Lithium in the prevention of suicidal behavior and all-cause mortality in patients with mood disorders: a systematic review of randomized trials.". The American Journal of Psychiatry 162 (10): 1805–19. PMID 16199826. doi:10.1176/appi.ajp.162.10.1805.  Check date values in: |date= (help)
  100. "WHO Disease and injury country estimates". World Health Organization. 2009. 
  101. "Deaths estimates for 2008 by cause for WHO Member States". World Health Organization. Iliwekwa mnamo 10 February 2013.  Check date values in: |accessdate= (help)
  102. Haney, EM; O'Neil, ME; Carson, S; Low, A; Peterson, K; Denneson, LM; Oleksiewicz, C; Kansagara, D (2012 Mar). "Suicide Risk Factors and Risk Assessment Tools: A Systematic Review". PMID 22574340.  Check date values in: |date= (help)
  103. 103.0 103.1 Weiyuan, C (2009 Dec). "Women and suicide in rural China.". Bulletin of the World Health Organization 87 (12): 888–9. PMC 2789367. PMID 20454475. doi:10.2471/BLT.09.011209.  Check date values in: |date= (help)
  104. 104.0 104.1 Sue, David Sue, Derald Wing Sue, Diane Sue, Stanley. Understanding abnormal behavior (toleo la Tenth ed., [student ed.]). Belmont, CA: Wadsworth/Cengage Learning. uk. 255. ISBN 978-1-111-83459-3. 
  105. Pitman, A; Krysinska, K; Osborn, D; King, M (2012 Jun 23). "Suicide in young men.". Lancet 379 (9834): 2383–92. PMID 22726519. doi:10.1016/S0140-6736(12)60731-4.  Check date values in: |date= (help)
  106. 106.0 106.1 Maris, Ronald (2000). Comprehensive textbook of suicidology. New York [u.a.]: Guilford Press. ku. 97–103. ISBN 978-1-57230-541-0. 
  107. Dickinson, Michael R. Leming, George E. Understanding dying, death, and bereavement (toleo la 7th ed.). Belmont, CA: Wadsworth Cengage Learning. uk. 290. ISBN 978-0-495-81018-6. 
  108. Durkheim's Suicide : a century of research and debate (toleo la 1. publ.). London [u.a.]: Routledge. 2000. uk. 69. ISBN 978-0-415-20582-5.  |first1= missing |last1= in Authors list (help)
  109. 109.0 109.1 Maris, Ronald (2000). Comprehensive textbook of suicidology. New York [u.a.]: Guilford Press. uk. 540. ISBN 978-1-57230-541-0. 
  110. 110.0 110.1 110.2 110.3 110.4 McLaughlin, Columba (2007). Suicide-related behaviour understanding, caring and therapeutic responses. Chichester, England: John Wiley & Sons. uk. 24. ISBN 978-0-470-51241-8. 
  111. White, Tony (2010). Working with suicidal individuals : a guide to providing understanding, assessment and support. London: Jessica Kingsley Publishers. uk. 12. ISBN 978-1-84905-115-6. 
  112. Paperno, Irina (1997). Suicide as a cultural institution in Dostoevsky's Russia. Ithaca: Cornell university press. uk. 60. ISBN 978-0-8014-8425-4. 
  113. al.], David Lanham ... [et (2006). Criminal laws in Australia. Annandale, N.S.W.: The Federation Press. uk. 229. ISBN 978-1-86287-558-6. 
  114. Duffy, Michael Costa, Mark (1991). Labor, prosperity and the nineties : beyond the bonsai economy (toleo la 2nd ed.). Sydney: Federation Press. uk. 315. ISBN 978-1-86287-060-4. 
  115. Quill, Constance E. Putnam ; foreword by Timothy E. (2002). Hospice or hemlock? : searching for heroic compassion. Westport, Conn.: Praeger. uk. 143. ISBN 978-0-89789-921-5. 
  116. Holt, Gerry."When suicide was illegal". BBC News 3 August 2011. Accessed 11 August 2011.
  117. "Guardian & Observer style guide". Guardian website. The Guardian. Iliwekwa mnamo 29 November 2011.  Check date values in: |accessdate= (help)
  118. Srivastava, editors, Nitish Dogra, Sangeet. Climate change and disease dynamics in India. New Delhi: The Energy and Resources Institute. uk. 256. ISBN 978-81-7993-412-8. 
  119. "German politician Roger Kusch helped elderly woman to die"Times Online July 2, 2008
  120. 120.0 120.1 Appel, JM (May 2007). "A Suicide Right for the Mentally Ill? A Swiss Case Opens a New Debate". Hastings Center Report 37 (3): 21–23. PMID 17649899. doi:10.1353/hcr.2007.0035.  Check date values in: |date= (help)
  121. "Chapter 127.800–995 The Oregon Death with Dignity Act". Oregon State Legislature. 
  122. "Chapter 70.245 RCW, The Washington death with dignity act", Washington State Legislature. 
  123. Dr. Ronald Roth, D.Acu. "Suicide & Euthanasia – a Biblical Perspective". Acu-cell.com. Iliwekwa mnamo 2009-05-06. 
  124. "Norman N. Holland, Literary Suicides: A Question of Style". Clas.ufl.edu. Iliwekwa mnamo 2009-05-06. 
  125. "Catechism of the Catholic Church – PART 3 SECTION 2 CHAPTER 2 ARTICLE 5". Scborromeo.org. 1941-06-01. Iliwekwa mnamo 2009-05-06. 
  126. "Catechism of the Catholic Church – PART 3 SECTION 2 CHAPTER 2 ARTICLE 5". Scborromeo.org. 1941-06-01. Iliwekwa mnamo 2009-05-06. 
  127. "The Bible and Suicide". Religioustolerance.org. Iliwekwa mnamo 2009-05-06. 
  128. "Euthanasia and Judaism: Jewish Views of Euthanasia and Suicide". ReligionFacts.com. Iliwekwa mnamo 2008-09-16. 
  129. Hindu Website. Hinduism and suicide
  130. "Hinduism –Euthanasia and Suicide". BBC. 2009-08-25. 
  131. Hitilafu ya kutaja: Invalid <ref> tag; no text was provided for refs named Kihindu
  132. 132.0 132.1 132.2 "Suicide (Stanford Encyclopedia of Philosophy)". Plato.stanford.edu. Iliwekwa mnamo 2009-05-06. 
  133. Kant, Immanuel. (1785) Kant: The Metaphysics of Morals, M. Gregor (trans.), Cambridge: Cambridge University Press, 1996. ISBN 978-0-521-56673-5. p177.
  134. Safranek John P (1998). "Autonomy and Assisted Suicide: The Execution of Freedom". The Hastings Center Report 28 (4): 33. 
  135. Raymond Whiting: A natural right to die: twenty-three centuries of debate, pp. 13–17; Praeger (2001) ISBN 0-313-31474-8
  136. Wesley J. Smith, Death on Demand: The assisted-suicide movement sheds its fig leaf, The Weekly Standard, June 5, 2007
  137. "The Suicide". The Walters Art Museum. 
  138. Ozawa-de Silva, C (2008 Dec). "Too lonely to die alone: internet suicide pacts and existential suffering in Japan.". Culture, medicine and psychiatry 32 (4): 516–51. PMID 18800195. doi:10.1007/s11013-008-9108-0.  Check date values in: |date= (help)
  139. Durkee, T; Hadlaczky, G; Westerlund, M; Carli, V (2011 Oct). "Internet pathways in suicidality: a review of the evidence.". International journal of environmental research and public health 8 (10): 3938–52. PMC 3210590. PMID 22073021. doi:10.3390/ijerph8103938.  Check date values in: |date= (help)
  140. 140.0 140.1 Robinson, edited by David Picard, Mike. Emotion in motion : tourism, affect and transformation. Farnham, Surrey: Ashgate. uk. 176. ISBN 978-1-4094-2133-7. 
  141. Robinson, ed. by Peter; Heitmann, Sine; Dieke, Peter (2010). Research themes for tourism. Oxfordshire [etc.]: CABI. uk. 172. ISBN 978-1-84593-684-6. 
  142. 142.0 142.1 Dennis, Richard (2008). Cities in modernity : representations and productions of metropolitan space, 1840 – 1930 (toleo la Repr.). Cambridge [u.a.]: Cambridge Univ. Press. uk. 20. ISBN 978-0-521-46841-1. 
  143. McDougall, Tim; Armstrong, Marie; Trainor, Gemma (2010). Helping children and young people who self-harm : an introduction to self-harming and suicidal behaviours for health professionals. Abingdon, Oxon: Routledge. uk. 23. ISBN 978-0-415-49913-2. 
  144. 144.0 144.1 Bateson, John (2008). Building hope : leadership in the nonprofit world. Westport, Conn.: Praeger. uk. 180. ISBN 978-0-313-34851-8. 
  145. Miller, David (2011). Child and Adolescent Suicidal Behavior: School-Based Prevention, Assessment, and Intervention. uk. 46. ISBN 978-1-60623-997-1. 
  146. Chang, Kenneth (August 25, 2008). "In Salmonella Attack, Taking One for the Team". New York Times.  Check date values in: |date= (help)
  147. Tofilski,Adam; Couvillon, MJ;Evison, SEF; Helantera, H; Robinson, EJH; Ratnieks, FLW (2008). "Preemptive Defensive Self-Sacrifice by Ant Workers" (PDF). The American Naturalist 172 (5): E239–E243. PMID 18928332. doi:10.1086/591688. 
  148. Larry O'Hanlon (Mar 10, 2010). "Animal Suicide Sheds Light on Human Behavior". Discovery News. 
  149. <Please add first missing authors to populate metadata.>. "Life In The Undergrowth". BBC. 
  150. Bordereau, C; Robert, A.; Van Tuyen, V.; Peppuy, A. (August, 1997). "Suicidal defensive behaviour by frontal gland dehiscence in Globitermes sulphureus Haviland soldiers (Isoptera)". Insectes Sociaux (Birkhäuser Basel) 44 (3): 289. doi:10.1007/s000400050049.  Check date values in: |date= (help)
  151. Nobel, Justin (Mar. 19, 2010). "Do Animals Commit Suicide? A Scientific Debate". Time.  Check date values in: |date= (help)
  152. Stoff, David; Mann, J. John (1997). "Suicide Research". Annals of the New York Academy of Sciences (Annals of the New York Academy of Sciences) 836 (Neurobiology of Suicide, The : From the Bench to the Clinic): 1–11. Bibcode:1997NYASA.836....1S. doi:10.1111/j.1749-6632.1997.tb52352.x. 
  153. Hall 1987, p.282
  154. "Jonestown Audiotape Primary Project." Alternative Considerations of Jonestown and Peoples Temple. San Diego State University.Kigezo:WebCite
  155. "1978:Leaves 900 Dead". Retrieved 9 November 2011.
  156. John Toland, The Rising Sun: The Decline and Fall of the Japanese Empire 1936–1945, Random House, 1970, p. 519
  157. Suicide and Self-Starvation, Terence M. O'Keeffe, Philosophy, Vol. 59, No. 229 (Jul., 1984), pp. 349–363
  158. Watson, Bruce (2007). Exit Rommel: The Tunisian Campaign, 1942–43. Stackpole Books. uk. 170. ISBN 978-0-8117-3381-6.