Zuberi Mohamedi Kuchauka

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Zuberi Mohamedi Kuchauka ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CUF. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Liwale kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017