Zeno wa Nikomedia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Zeno wa Nikomedia (alifariki Nikomedia, leo Izmit, nchini Uturuki, 362 hivi) alikuwa Mkristo wa Dola la Roma aliyefia imani yake wakati wa kaisari Juliani Mwasi[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini, pengine pamoja na wanae Konkordi na Teodori.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Septemba.[2]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/68800
  2. Martyrologium Romanum (Libreria Editrice Vaticana, 2001, ISBN|88-209-7210-7)
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.