Yetunde Ayeni-Babaeko

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Yetunde Ayeni-Babaeko (Amezaliwa mwaka 1978) ni mpigaji picha wa nchini Nigeria.[1]

Maisha[hariri | hariri chanzo]

Yetunde Ayeni-Babaeko alizaliwa Enugu, Nigeria, mwaka 1978. Baba yake ni Mnigeria na mama yake ni Mjerumani. Alihamia ujerumani akiwa bado mtoto, akasomea huko na kupata elimu ya upigaji picha kutoka studio za Be huko Greven. Mnamo mwaka 2005 alirudi nchini Nigeria mnamo mwaka 2007, akafungua studio yake mwenyewe kwa jina la ‘’Camera Studios’’,[1] based in Ikeja.[2]

makao makuu yakiwa ni Ikeja.[3]

Katika maonyesho ya mwaka 2014 kwa jina la 'Eko Moves', yaliyoandaliwa na Ayeni-Babaeko akishirikiana na shirika la Sanaa ya maonyesho la Nigeria (SPAN), ulitoa jukwaa lililowapa wacheza dansi maineo mengi jijini Lagos.[4] Katika maonyesho yake ya mwaka 2019 kwa jina la 'White Ebony' liliwakilisha ya watu wenye ulemavu wa ngozi.[5]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 Maria Diamond, Yetunde Ayeni-Babaeko, The Guardian, 23 February 2019. Accessed 15 May 2020.
  2. Elizabeth Ayoola, Meet the Boss: Yetunde Ayeni-Babaeko, Camera Studios, Connect Nigeria, 21 January 2015. Accessed 15 May 2020.
  3. Elizabeth Ayoola, Meet the Boss: Yetunde Ayeni-Babaeko, Camera Studios, Connect Nigeria, 21 January 2015. Accessed 15 May 2020.
  4. Connect Nigeria in Conversation with Yetunde Ayeni Babaeko on 'Eko Moves', Connect Nigeria, 8 December 2014. Accessed 15 May 2020.
  5. Photographer Yetunde Ayeni-Babaeko spotlights Albinism with ‘White Ebony’, Premium Times, 23 May 2019. Accessed 15 May 2020.
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Yetunde Ayeni-Babaeko kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.