Wilaya ya Songwe

Majiranukta: 8°25′26″S 33°01′44″E / 8.4238°S 33.0290°E / -8.4238; 33.0290
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Wilaya ya Songwe
Mahali paWilaya ya Songwe
Mahali paWilaya ya Songwe
Mahali pa wilaya katika Mkoa wa Songwe
Majiranukta: 8°25′26″S 33°01′44″E / 8.4238°S 33.0290°E / -8.4238; 33.0290
Mkoa Mkoa wa Songwe
Eneo
 - Jumla 16,070 km²
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 229,129
Tovuti:  http://www.songwedc.go.tz

Wilaya ya Songwe ni wilaya mojawapo kati ya 5 za mkoa wa Songwe, nchini Tanzania, yenye postikodi namba 54100 [1].

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 229,219 [2].

Katika wilaya ya Songwe maeneo maarufu ni Mkwajuni ambako ndio makao makuu ya wilaya.

Saza ni eneo maarufu kwa uchimbaji wa madini na kuna mgodi wa Shanta Gold Mine, Kanga, Mbangala.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-04-06. Iliwekwa mnamo 2018-01-06. 
  2. https://www.nbs.go.tz
Kata za Wilaya ya Songwe - Mkoa wa Songwe - Tanzania

Chang'ombe | Galula | Gua | Ifwenkenya | Kanga | Kapalala | Magamba | Manda | Mbangala | Mbuyuni | Mkwajuni | Mpona | Mwambani | Namkukwe | Ngwala | Saza | Totowe | Udinde


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Songwe bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Songwe kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari .
Usiingize majina ya viongozi au maafisa wa sasa maana wanabadilika haraka mno