Wilaya ya Kondoa Mjini
Jump to navigation
Jump to search

Mahali pa Kondoa (kijani) katika mkoa wa Dodoma.
Wilaya ya Kondoa Mjini ni wilaya moja ya Mkoa wa Dodoma Tanzania yenye postikodi namba 41700[1].
Makao ya halmashauri ya wilaya yapo Kondoa mjini. Mnamo mwaka 2015, idadi ya wakazi wa Wilaya ya Kondoa Mjini ilihesabiwa kuwa 64,147. [2]
Mnamo mwaka 2015 maeneo ya Dodoma Mjini yametengwa kuwa halmashauri ya pekee kutoka Wilaya ya Kondoa Vijijini).
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2020-03-21. Iliwekwa mnamo 2020-09-27.
- ↑ Makadirio ya Idadi ya Watu katika Majimbo ya Uchaguzi kwa Mwaka 2016, Tanzania Bara
![]() |
Kata za Wilaya ya Kondoa Mjini - Mkoa wa Dodoma - Tanzania | ![]() |
---|---|---|
Bolisa | Chemchem | Kilimani | Kingale | Kolo | Kondoa Mjini | Serya | Suruke |
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Dodoma bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Kondoa Mjini kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno. |