Wilaya ya Kondoa Mjini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa wilaya za Kondoa (kijani kilichokolea) katika mkoa wa Dodoma.

Wilaya ya Kondoa Mjini ni wilaya mojawapo ya Mkoa wa Dodoma, Tanzania, yenye postikodi namba 41700[1]. Mnamo mwaka 2015 maeneo ya Dodoma Mjini ndipo yalipotengwa kuwa halmashauri ya pekee kutoka Wilaya ya Kondoa).

Makao ya halmashauri ya wilaya yapo Kondoa mjini. Mnamo mwaka 2015, idadi ya wakazi wa Wilaya ya Kondoa Mjini ilihesabiwa kuwa 64,147. [2] Katika ile ya mwaka 2022 walihesabiwa 80,443 [3].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Kondoa Mjini - Mkoa wa Dodoma - Tanzania

Bolisa | Chemchem | Kilimani | Kingale | Kolo | Kondoa Mjini | Serya | Suruke


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Dodoma bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Kondoa Mjini kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.