Wilaya ya Busega

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Wilaya ya Busega ni mojawapo kati ya wilaya 6 za mkoa mpya wa Simiyu, ambavyo vyote vilianzishwa rasmi mnamo Machi 2012, yenye postikodi namba 39500 [1]. Maeneo yake yalikuwa sehemu za Wilaya ya Magu, Mkoa wa Mwanza. [2].

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, wilaya ilikuwa na wakazi wapatao 203,597 waishio humo. Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 282,167 [3].

Makao makuu ya wilaya yako Nyashimo.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2018-08-05. Iliwekwa mnamo 2018-02-01. 
  2. Sensa ya 2012, Simiyu Region - Busega District Council
  3. https://www.nbs.go.tz
Kata za Wilaya ya Busega - Mkoa wa Simiyu - Tanzania

Badugu | Igalukilo | Imalamate | Kabita | Kalemela | Kiloleli | Lamadi | Lutubiga | Malili | Mkula | Mwamanyili | Ngasamo | Nyaluhande | Nyashimo | Shigala

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Simiyu bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.