Wilaya ya Bumbuli

Ramani ya mahali pa wilaya ya Bumbuli, pamoja na Lushoto katika Mkoa wa Tanga
Wilaya ya Bumbuli ni kati ya wilaya za Mkoa wa Tanga nchini Tanzania. Mwaka 2015 ilikadiria kuwa na wakazi 174,938 [1] walioishi katika wilaya hiyo.
Wilaya ya Bumbuli ilitengwa kwenye mwaka 2015 na Wilaya ya Lushoto. Iko kwenye kitovu cha milima ya Usambara. Ujenzi wa ofisi kuu ya wialya ulianzishwa kenye kijiji cha Kwehangala, kata ya Dule B[2]. Mwaka 2019 mwenyekiti wa kamati ya bunge alisema kwamba wilaya hiyo ilikuwa hatarini ya kufutwa tena kwa sababu ilishindwa kukusanya mapato ya kutosha[3]
Wakazi asilia ni hasa Wasambaa.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Kata za Wilaya ya Bumbuli - Mkoa wa Tanga - Tanzania | ![]() |
---|---|---|
Baga | Bumbuli | Dule "B" | Funta | Kisiwani | Kwemkomole | Maheza Ngulu | Mamba | Mayo | Mbuzii | Mgwashi | Milingano | Mponde | Nkongoi | Soni | Tamota | Usambara | Vuga |
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Tanga bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Bumbuli kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno. |