Wilaya ya Arumeru

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Arumeru (kijani) katika mkoa wa Arusha.

Wilaya ya Arumeru ilikuwa moja ya wilaya za Mkoa wa Arusha. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa Wilaya ya Arumeru ilihesabiwa kuwa 516,814 [1].

Tangu mwaka 2007 wilaya imegawiwa kuwa chini ya halmashauri za wilaya ya Arusha Vijijini na wilaya ya Meru.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Arumeru - Tanzania

Akheri | Bangata | Bwawani | Ilkiding'a | Kikatiti | Kikwe | Kimnyaki | King'ori | Kiranyi | Kisongo | Leguruki | Maji ya Chai | Makiba | Maroroni | Mateves | Mbuguni | Mlangarini | Moivo | Moshono | Murieti | Musa | Mwandeti | Nduruma | Ngarenanyuki | Nkoanrua | Nkoaranga | Nkoarisambu | Oldonyosambu | Oljoro | Olkokola | Oltroto | Oltrumet | Poli | Singisi | Sokoni II | Songoro | Usa River


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Arusha bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Arumeru kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.