Umbo la baobonye

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Umbo la baobonye linaloitwa "QWERTY".

Umbo la baobonye (kwa Kiingereza: keyboard layout) ni mpangilio wa vibonyezo vya baobonye la tarakilishi au la taipureta.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1)
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.