Tongo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tongo
Tongo kanga
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Passeriformes (Ndege kama shomoro)
Familia ya juu: Passeroidea (Ndege kama shomoro)
Familia: Estrildidae (Ndege walio na mnasaba na mishigi)
Bonaparte, 1850
Ngazi za chini

Jenasi 5; spishi 43, 8 katika Afrika:

Tongo ni ndege wadogo wa jenasi mbalimbali katika familia Estrildidae ambao wanatokea Afrika na Asia. Wanafanana na mishigi lakini rangi zao ni nyeusi, kijivu, kahawia na nyeupe tu.

Hula mbegu hasa, lakini wadudu pia, hususa makinda.

Tago lao ni tufe la manyasi lenye mwingilio kwa kando. Jike huyataga mayai 2-7.

Spishi za Afrika[hariri | hariri chanzo]

Spishi za Asia[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]