Tiva

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tiva
Tiva tumbo-jekundu
Tiva tumbo-jekundu
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Nusufaila: Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Passeriformes (Ndege kama shomoro)
Familia ya juu: Corvoidea (Ndege kama kunguru)
Familia: Malaconotidae (Ndege walio na mnasaba na mbweta)
Jenasi: Laniarius
Vieillot, 1816
Ngazi za chini

Spishi 21:

Tiva ni ndege wakubwa kiasi wa jenasi Laniarius katika familia Malaconotidae. Wanatokea Afrika kusini kwa Sahara tu. Spishi nyingine ni nyeusi na nyeupe lakini nyingine zina rangi kali chini na pengine kwa utosi, kama nyekundu, machungwa na njano. Tiva wana domo nene lenye ncha kwa kulabu na mkia wao ni mrefu kiasi. Hula wadudu na vertebrata wadogo. Hulijenga tago lao kwa umbo wa kikombe mtini au kichakani na jike huyataga mayai 2-3.

Spishi[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]