Nenda kwa yaliyomo

Thomas R. Berger

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Thomas R. Berger

Thomas Rodney Berger ( 23 Machi 193328 Aprili 2021)[1] alikuwa mwanasiasa na mwanasheria wa Kanada. Alikuwa miongoni mwa waliokuwa Bunge la makabwela mwanzoni mwa miaka ya 1960 akiingia katika siasa za majimbo baada ya hapo. Aiongoza chama cha British Colombia New Democratic Party mnamo mwaka 1969. Baada ya kustaafu Berger aliendelea kutekeleza sheria na kuhudumu katika nyadhfa mbalimbali za umma. Alikuwa mwanachama wa Order of Canada na Order of British Columbia.[2]

Maisha ya awali na elimu

[hariri | hariri chanzo]

Thomas Rodney Berger alizaliwa Machi 23, 1933, huko Victoria, British Columbia. Alikuwa mwana wa sajenti wa Royal Canadian Mounted Police Theodor Berger na Nettie Elsie Perle, aliyezaliwa McDonald.[2] Berger alipata Shahada ya Sanaa mnamo mwaka 1955 na Shahada ya Sheria kutoka Chuo Kikuu cha British Columbia manamo mwaka 1956

Machapisho

[hariri | hariri chanzo]
  1. Calder v British Columbia (Attorney General), [1973] SCR 313 Archived Machi 25, 2021, at the Wayback Machine
  2. 1 2 "Berger, Thomas R(odney) 1933–". Contemporary Authors. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo Oktoba 20, 2020. Iliwekwa mnamo Aprili 30, 2021.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. Penton, M. James (Machi 1983). "Tathmini ya Fragile Freedoms". Studies in Religion/Sciences Religieuses (kwa Kiingereza). 12 (1): 106–107. doi:10.1177/000842988301200128. ISSN 0008-4298. S2CID 152098799.
  4. Brun, Henri (1982). "Tathmini ya Fragile Freedoms". Les Cahiers de droit (kwa Kifaransa). 23 (1): 251. doi:10.7202/042495ar. ISSN 0007-974X.
  5. Knopff, Rainer (Desemba 1982). "Tathmini ya Fragile Freedoms". Canadian Journal of Political Science (kwa Kiingereza). 15 (4): 826–827. doi:10.1017/S000842390005215X. ISSN 0008-4239. S2CID 154358721.
  6. Miles, Bill (2 Februari 1986). "Tathmini ya Village Journey". Los Angeles Times (kwa American English). Iliwekwa mnamo 30 Aprili 2021.