Wilaya ya Temeke

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Temeke)
Mahali pa Temeke (kijani) katika mkoa wa Dar es Salaam.

Wilaya ya Temeke ni wilaya ya Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania yenye postikodi namba 15000[1].

Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 1,368,881 [2].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/dsm.pdf[dead link]
  2. Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2010-02-10. Iliwekwa mnamo 2010-10-30.
Flag of Tanzania.svg Kata za Wilaya ya Temeke - Tanzania Flag of Tanzania.svg

Azimio | Buza | Chamazi | Chango'mbe | Charambe | Keko | Kibondemaji | Kiburugwa | Kijichi | Kilakala (Temeke) | Kilungule | Kurasini | Makangarawe | Mbagala | Mbagala Kuu | Mianzini | Miburani | Mtoni (Temeke) | Sandali | Tandika | Temeke (kata) | Toangoma | Yombo Vituka