Taska Restituta Mbogo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Taska Restituta Mbogo ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Viti maalum vya wanawake kwa miaka 20152020. [1] Amehitimu shahada ya sheria kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tanzania [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017