Nenda kwa yaliyomo

Taska Restituta Mbogo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Taska Restituta Mbogo ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Viti maalum vya wanawake kwa miaka 2015 - 2020. Amehitimu shahada ya sheria kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tanzania [1][2][3][4][5][6][7][8][9]

  1. Ilihifadhiwa 21 Septemba 2020 kwenye Wayback Machine.
  2. "Hon. Taska Restituta Mbogo". Parliament of Tanzania. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-09-21. Iliwekwa mnamo 2020-06-07.
  3. Bunge Polis. "MHE. TASKA R. MBOGO aliuliza: Je, ni lini Serikali itapeleka Umeme wa Grid ya Taifa katika Mkoa wa Katavi?" https://polis.parliament.go.tz/members/636/primary-answers
  4. Bunge Polis. "Makadirio ya Mapato na Matumizi 2023/2024 – Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi – Taska Restituta Mbogo". https://polis.parliament.go.tz/contributions/20084
  5. HabariLeo (2023). "Mbunge akataa ‘English Medium’ za Serikali". https://habarileo.co.tz/mbunge-akataa-english-medium-za-serikali/
  6. Bunge Polis. "15 April 2025 – Swali la Taska Restituta Mbogo kuhusu wastaafu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki". https://polis.parliament.go.tz/uploads/documents/1747115436-BJT15APRILI2025ALL.pdf
  7. Diramakini (07 Mei 2024). "Serikali yaunda Kamati ya Uchambuzi viwango vya Pensheni – swali la Taska Mbogo". https://www.diramakini.co.tz/2024/05/serikali-yaunda-kamati-ya-uchambuzi.html
  8. Bunge Polis. "Taarifa ya Kamati ya Sheria Ndogo – Taska Restituta Mbogo". https://polis.bunge.go.tz/contributions/9441
  9. East Africa Television (2021). "Mbunge awaamsha wanawake umiliki viwanja". https://www.eatv.tv/news/currentaffairs/mbunge-awaamsha-wanawake-umiliki-viwanja%C2%A0
Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Taska Restituta Mbogo kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.