Tai Mlanyoka

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tai mlanyoka
Tai mlanyoka kahawia
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Accipitriformes (Ndege kama vipanga)
Familia: Accipitridae (Ndege walio na mnasaba na vipanga)
Nusufamilia: Circaetinae (Ndege wanaofanana na tai walanyoka)
Jenasi: Circaetus Vieillot, 1816

Dryotriorchis Shelley, 1874
Eutriorchis Sharpe, 1875
Pithecophaga Ogilvie-Grant, 1896
Spilornis G.R. Gray, 1840
Terathopius Lesson, 1830

Tai walanyoka ni ndege mbua wakubwa kiasi wa nususfamilia Circaetinae katika familia Accipitridae. Tai wa Ufilipino ni labda mwana wa nusufamilia hii, kwa sababu chunguzi za ADN zimeonyesha mnasaba wake. Ndege hawa wana makucha marefu ili kukamata uwimbo na domo kubwa lenye ncha kwa kulabu ili kupapura nyama. Uwezo wao wa kuona kwa macho ni mzuri kabisa na hutambua uwimbo kwa mbali sana. Tai walanyoka hula nyoka hasa (isipokuwa tai pungu) lakini mijusi na mamalia wadogo pia na pengine ndege na wadudu wakubwa. Hujenga tago lao mtini ambola limefichwa vizuri kati ya majani. Jike hulitaga yai moja tu, au pengine mayai mawili.

Spishi za Afrika[hariri | hariri chanzo]

Spishi za mabara mengine[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]