Zuwanende

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Swynnertonia)
Zuwanende
Zuwanende kidari-njano
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Nusufaila: Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Passeriformes (Ndege kama shomoro)
Familia: Muscicapidae (Ndege walio na mnasaba na shore)
Fleming, 1822
Ngazi za chini

Jenasi 5, spishi 13:

Zuwanende ni ndege wadogo wa jenasi mbalimbali katika familia ya Muscicapidae. Ndege hawa wana mnasaba na kurumbiza lakini mkia wao ni mfupi zaidi na domo ni jembamba. Wana rangi ya kahawa au zaituni mgongoni na koo na kidari ina rangi ya machungwa pengine karibu na nyekundu pengine njano. Hawa ni ndege wa misitu ya Afrika kusini kwa Sahara, kwa kawaida milimani, isipokuwa zuwanende wa Ulaya. Hula wadudu, buibui na nyungunyungu, pengine beri na mbegu pia. Hujenga tago lao katika tundu ya asili na jike huyataga mayai 2-6.

Spishi za Afrika[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]