Susan Limbweni Kiwanga
Mandhari
Susan Limbweni Kiwanga ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CHADEMA. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Mlimba kwa miaka 2015 – 2020.[1][2][3][4][5][6]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Bunge la Tanzania. "Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali 2019/2020 – Hon. Susan Limbweni Kiwanga". Bunge Polis. https://polis.parliament.go.tz/contributions/11309
- ↑ Bunge la Tanzania. "Hali ya Uchumi wa Taifa na Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2018/2019 – Hotuba ya Susan L. Kiwanga". Bunge Polis. https://polis.parliament.go.tz/contributions/12114
- ↑ Bunge la Tanzania. "Swali la Susan L. Kiwanga kuhusu ujenzi wa Mahakama Mlimba". Bunge Polis. https://polis.parliament.go.tz/contributions/320
- ↑ Bunge la Tanzania. "Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Afya 2016/2017 – Susan L. Kiwanga". Bunge Polis. https://polis.parliament.go.tz/contributions/1542
- ↑ Jamhuri Media (8 Desemba 2017). "Lijualikali na Kiwanga Wapata Dhamana". https://www.jamhurimedia.co.tz/lijualikali-na-kiwanga-wapata-dhamana/
- ↑ Bunge la Tanzania. "Kitabu cha Kumbukumbu za Wabunge – toleo la kwanza". (Directory of MPs). https://www.bunge.go.tz/uploads/mps_dir/1490102468-Kitabu%20cha%20Kumbukumbu%20za%20Wabunge-toleo%20la%20kwanza.pdf Ilihifadhiwa 26 Mei 2025 kwenye Wayback Machine.
| Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Susan Limbweni Kiwanga kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |