Souad Bendjaballah

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Souad Bendjaballah ni mwanasheria wa Algeria, mwanaharakati wa haki za wanawake na mwanasiasa.

Wasifu[hariri | hariri chanzo]

Souad ni mwanachama wa kikundi cha utafiti cha Historia ya wanawake huko Mediterania akishirikiana pamoja na Fatima-Zohra Guechi

Souad alishiriki katika kongamano hilo mnamo Novemba 1999 katika Chuo Kikuu cha Constantine.[1][2] Pia Mnamo Oktoba 8, 2003, aliteuliwa kuwa Waziri Mjumbe wa Waziri wa Elimu ya Juu, anayesimamia utafiti wa kisayansi.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Fatima Zohra Guechi, « Groupe de recherche « Histoire des femmes en Méditerranée », Insaniyat / إنسانيات, 9, vol. 9, 1999, p. 149-151
  2. Fatima Zohra Guechi, « Femmes du Maghreb », Clio. Femmes, genre, histoire, vol. 9, 1999
  3. "Official Journal of the Algerian Republic number 60". October 8, 2003.  Check date values in: |date= (help)