Sirop

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Sirop ni kata ya Wilaya ya Hanang katika Mkoa wa Manyara, Tanzania. Kata imepakana na Wilaya ya Kondoa.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi wa kata walihesabiwa kuwa 6,277 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 5,563 waishio humo.[2]

Wenyeji wa kata hiyo ni Wafyomi wenye asili ya Wairaqw.

Wakazi hutegemea kilimo na ufugaji.

Marejeo

Kata za Wilaya ya Hanang - Mkoa wa Manyara - Tanzania

Balang'dalalu | Bassodesh | Bassotu | Dawar | Dirma | Dumbeta | Endagaw | Endasak | Endasiwold | Ganana | Garawja | Gehandu | Gendabi | Getanuwas | Gidahababieg | Gisambalang | Gitting | Hidet | Hirbadaw | Ishponga | Jorodom | Katesh | Laghanga | Lalaji | Masakta | Masqaroda | Measkron | Mogitu | Muldabaw | Nangwa | Simbay | Sirop | Wareta


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Manyara bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Sirop kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.