Silvano wa Gaza na wenzake
Mandhari

Silvano wa Gaza na wenzake 39 (alifariki katika migodi ya shokoa ya Mismiya, Palestina, 311) alikuwa askofu wa Gaza hadi kifodini alichopata pamoja na hao wenzake kwa kukatwa kichwa chini ya kaisari Maximinus Daia[1] [2] [3].
Eusebi wa Kaisarea aliandika habari za mateso yao[4].
Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/51760
- ↑ "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-05-01. Iliwekwa mnamo 2021-05-01.
- ↑ Nominis : Saint Sylvain de Gaza
- ↑ [http://www.tertullian.org/fathers/eusebius_martyrs.htm
- ↑ Martyrologium Romanum
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- (Kifaransa) http://iconesalain.free.fr/Presentations/49.St.Sylvain.Presentation.htm
- (Kilatini) Michel Le Quien, Oriens christianus in quatuor Patriarchatus digestus, Parigi 1740, Tomo III, coll. 604-605
- (Kiitalia) Charles-Louis Richard e Jean Joseph Giraud, Biblioteca sacra, tomo XVIII, Milano 1837, p. 52
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |