Sharbel na Bebaya
Mandhari

Sharbel na Bebaya (walifariki Edessa, leo nchini Uturuki, 250) walikuwa padri[1] na dada yake waliouawa kwa ajili ya imani yao ya Kikristo[2].
Inasemekana waliingia Ukristo kwa juhudi za askofu Barsimeo wa Edessa[3][4].
Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.
Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 29 Januari[5].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Majina yake mengine ni: Sarvillos, Zarvilos, Sarbelus, Thathuil, Thiphael, Sarbelius, Charbil na Sharbil.
- ↑ Catholic Online
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/39010
- ↑ "Den hellige Barsimaeus av Edessa (200-t)", Den katolske kirke (kwa Kinorwe), iliwekwa mnamo 2021-08-02
- ↑ Martyrologium Romanum
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |