Shabani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ukurasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Kwa usaidizi kuhusu makala za aina hii tazama Msaada:Maana

Maelezo katika ukurasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukurasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.


Shabani ni jina la:

Watu[hariri | hariri chanzo]

  • ubini wa Kiislamu unaoweza kurejelea:
  • Agim Shabani (amezaliwa mwaka 1988), mwanasoka wa Norwei mwenye asili ya Albania
  • Bunjamin Shabani (amezaliwa mwaka 1991), mwanasoka wa kabila la Albania kutoka Jamhuri ya Masedonia
  • Hussein Shabani (amezaliwa mwaka 1990) mwanasoka wa Burundi
  • Nasser Shabani (alikufa mwaka 2020) Jenerali wa Irani
  • Razie Shabani (mwaka 1925 mpaka 2013), mwanasiasa na mwanaharakati wa Kiazabajani
  • Shabani Nonda (amezaliwa mwaka 1977) alistahafu kucheza soko

Maeneo[hariri | hariri chanzo]

  • Shabani, Iran, kijiji katika Mkoa wa Kurdistan
  • Shabani, Zimbabwe, mji wa madini Zimbabwe

Matumizi mengine[hariri | hariri chanzo]

  • Shabani (gorilla) (aliyezaliwa 1996), sokwe wa nyanda za chini magharibi anayetembea kwenye mbuga ya wanyama ya Higashiyama huko Nagoya, Japani.