Servus wa Tuburbium
Servus wa Tuburbium (alifariki 484 hivi) ni kati ya wafiadini wa Kanisa Katoliki waliouawa kikatili sana na Wavandali katika karne ya 5, wakati wa utawala wa mfalme Huneriki aliyekuwa Mwario.
Habari zao zimeandikwa na askofu Vikta wa Vita.[1][2]
Tangu kale anaheshimiwa kama watakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 6 Desemba au 7 Desemba[3].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Ambrasi, Domenico (1 Feb 2001). Santi Dionisia, Dativa, Leonzia, Terzo, Emiliano, Bonifacio, Maiorico e Servo Martiri. Santi e beati. Iliwekwa mnamo February 18, 2009.
- ↑ [Culusi Holy Martyrs Dionysia, Dativa, Emilianus, Boniface, Leontia, Tertius, and Majoricus (+484)]. Iliwekwa mnamo July 15, 2018.
- ↑ https://catholicsaints.info/saint-servius/
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- (Kiitalia) Santi Dionisia, Dativa, Leonzia, Terzo, Emiliano, Bonifacio, Maiorico e Servo
- (Kihispania) Santa Dionisia y compañeros mártires
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |