Serifatu Oladunni Oduguwa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Serifatu Oladunni Oduguwa, maarufu kwa jina lake la kisanii kama Queen Oladunni Decency au Queen Mummy Juju, [1] alikuwa mwimbaji na mpiga gitaa wa nchini Nigeria ambaye alijikita katika tanzu ya muziki ya Jùjú. [2][3] Aliaminika kama mpiga gitaa wa kwanza wa kike nchini Nigeria, akawa mwanzilishi na kiongozi wa bendi ya muziki ya Jùjú inayoitwa Her Majesty Queen Oladunni Decency na Her Unity Orchestra.[4] Alirekodi nyimbo nyingi hadi kifo chake akiwa na umri wa miaka 28.[5]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. New Breed. 1978. 
  2. https://amf.didiermary.fr/queen-oladunni-decency-ayanmo-lowo/
  3. Bulletin of the International Committee on Urgent Anthropological and Ethnological Research. International Committee on Urgent Anthropological and Ethnological Research. 1989. 
  4. Georgia State University. Dept. of African-American Studies (1970). Drum: A Magazine of Africa for Africa. African Drum Publications. 
  5. Segun Fajemisin (20 October 2003). "African Songs UK revives the good ol' times". naijanet.com. Iliwekwa mnamo 25 September 2016.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Serifatu Oladunni Oduguwa kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.