Russell Westbrook

Russell Westbrook akiwa anachezea timu ya kikapu ya Oklohama City Thunder mwaka 2017
Russell Westbrook (alizaliwa 12 Novemba 1989) ni mchezaji wa mpira wa kikapu kutokea Marekani anayeichezea timu ya Houston Rockets katika Chama cha taifa cha mpira wa kikapu (NBA).
Amefanikiwa kuteuliwa katika timu ya mastaa marekani kwa mara nane na alipata tuzo ya mchezaji mwenye thamani zaidi katika msimu wa 2016-17. Katika misimu miwili ya 2014-15 na 2016-17 aliongoza kama mchezaji mwenye magoli mengi na pia alishinda mfululizo mara mbili tuzo ya mchezaji mwenye thamani zaidi katka mchezo wa timu za mastaa nchini Marekani
![]() |
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Russell Westbrook kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |