Rufo wa Avignon

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Rufo wa Avignon alikuwa askofu wa kwanza wa Avignon, Provence (leo nchini Ufaransa) kabla ya karne ya 5[1][2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 14 Novemba[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Wasselynck, Bibliotheca Sanctorum, vol. XI, col. 484.
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/77560
  3. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.