Roza Chen Aixie

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wafiadini Wakatoliki wa China.

Roza Chen Aixie (Feng, 1878 hivi - Cao, 5 Julai 1900) alikuwa msichana wa China aliyeuawa kwa mikuki pamoja na dada yake Theresia Chen Jinxie ili kulinda ubikira na kupinga ukatili wa Uasi wa Mabondia[1].

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe ni tarehe ya kifodini chake[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.