Royal Media Services

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Royal Media services Ltd ni kampuni ya magazeti, redio na televisheni nchini Kenya kwa lugha za Kiswahili, Kiingereza na Lugha mama.

Inachapisha magazeti ya Citizen Weekend na Monday Special.

Pia ina kituo kimoja cha televisheni, Citizen Tv na vituo vya redio kumi na nne.

Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Royal Media Services kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.