Romano wa Condat

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake.

Romano wa Condat (390 - 463) alikuwa mmonaki nchini Ufaransa aliyekwenda kuishi msituni akapatikana tu miaka michache baadaye. Hapo akaanza kupata wafuasi akawa abati mwanzilishi wa monasteri ya Condat mbali ya kuanzisha nyingine mbili za kiume na nyingine ya kike pamoja na mdogo wake Lupisino wa Condat na dada yao[1].

Mwaka 444 alipewa upadirisho na Hilari wa Arles.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu[2].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 28 Februari[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/43250
  2. Two lives of him are in existence: one by Gregory of Tours in the Liber vitae patrum (Mon. Germ. Hist.: Script. Merov., I, 663), and an anonymous Vita Sanctorum Romani, Lupicini, Eugendi [ibid., III, 131 sqq.; cf. Benoît, "Histoire de St-Claude", I (Paris, 1890); Besson, "Recherches sur les origines des évêchés de Genève, Lausanne, et Sion" (Fribourg, 1906), 210 sqq.].
  3. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.