Robert Fumulani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Robert Fumulani (19481998) alikuwa mwanamuziki, na mfanyabiashara wa nchini Malawi .

Wasifu[hariri | hariri chanzo]

Fumulani ameelezewa kama "mmoja wa waongozaji wa bendi maarufu zaidi Malawi, mwishoni mwa miaka ya 1980 na 1990", [1] na kama "msanii wa muziki wa kitaifa aliyebarikiwa ". [2] Alikuwa sehemu ya kizazi cha waimbaji wa kiume ambao maudhui yao yalikuwa kuhusu maisha, lakini hayana maudhui ya kisiasa. [3] Katika miaka ya 1980 alikuwa mshindi mara tatu wa tuzo ya Malawi ya "Entertainer of the Year".

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. LaVoie, Matthew (February 26, 2008). "Musical Sunshine from Malawi". Iliwekwa mnamo January 5, 2016.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  2. William Kamkwamba and Bryan Mealer, The Boy Who Harnessed the Wind (HarperCollins, 2009), p. 29.
  3. Kalinga, Owen J. M. (2012). Historical Dictionary of Malawi. Scarecrow Press. uk. 329. ISBN 0810859610. 
Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Robert Fumulani kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.