Rila

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlima Rila

Rila ni milima ya Balkani (Ulaya), katika nchi ya Bulgaria.

Urefu wake katika mlima Musala unafikia mita 2,925 juu ya usawa wa bahari, ukizidi milima yote ya Balkani.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Rila kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.