Remina Chiba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Remina Chiba (alizaliwa 30 Aprili 1999) ni mchezaji wa mpira wa miguu nchini Japani ambae anacheza kama mshambuliaji wa klabu ya wanawake ya JEF United Chiba inayoshiriki ligi ya Yogibo WE huko Japani. Remina alicheza kwa mara ya kwanza kwenye timu ya taifa ya japani dhidi ya serbia mnamo 24 Juni 2022.[1][2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "International Friendly Match Friday, 24 June 2022 Kick Off at <Local Time>19:45(estimated time) <Japan Time>26:45 vs Serbia Women's National Team Sport Center FAS (Serbia/Stara Pazova)". www.jfa.jp. Japan Football Association (JFA). Iliwekwa mnamo 25 June 2022.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. "Serbia vs. Japan 0 - 5". int.soccerway.com. DAZN Group. Iliwekwa mnamo 26 June 2022.  Check date values in: |accessdate= (help)
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Remina Chiba kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.