Regulo wa Senlis

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Regulo.

Regulo wa Senlis (kwa Kifaransa: Rieul; aliishi karne ya 4 BK) alikuwa askofu wa kwanza wa Senlis (leo nchini Ufaransa)[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 30 Machi[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Henri-Louis-Joseph Blond, "Research on the date of the apostolate of Saint-Rieul", Archaeological Committee of Senlis, Reports and Memories 1863, Senlis 1864, p. 58–96.
  • Amédée Vicomte of Caix de Saint-Aymour, " The legend of Saint-Rieul ", Causeries du besacier: Mixes to serve the history of the countries that today form the department of Oise , Paris, A. Claudin / H Champion, 2nd series, 1895, p. 81-127.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.