Rashid Chuachua

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Rashid Mohamed Chuachua (amezaliwa 15 Juni 1976) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa Mbunge wa Masasi Mjini kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017