Nenda kwa yaliyomo

Rashid Abdalla Rashid

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Rashid Abdalla Rashid (Oktoba 24, 1973), ni mwanasiasa mtanzania kwa sasa anahudumu kama mbunge wa chama cha mapinduzi katika jimbo la kiwani katika mkoa wa mkoani Zanzibar tangu Novemba 2015.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Member of Parliament Profile". Parliament of Tanzania.