Nenda kwa yaliyomo

Ragenfrida

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake huko Denain.

Ragenfrida (pia: Renfroie, Rainfroye, Refroye, Ragenfréde, Ragenfredis; karne ya 8 - 805 hivi), alikuwa mwanamke wa Ufaransa wa leo aliyeanzisha monasteri huko Denain, na kuiongoza vizuri kama abesi[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 8 Oktoba[2].

Alikuwa mtoto wa wazazi wa koo mashuhuri, ambao pia wanaheshimiwa kama watakatifu Adalberto II wa Ostrevent na Rejina.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.