Rachel Cargle
Mandhari
Rachel Cargle ni Mmarekani mweusi, mwandishi, mzungumzaji na mwanaharakati wa nchini Marekani, anajulikana kwa kuhusika kwake katika upingaji wa ubaguzi wa rangi .
Maisha ya awali
[hariri | hariri chanzo]Cargle alilelewa huko Green, Ohio na mama yake, ambaye alikua na ugonjwa wa kupooza (polio) . Baba yake alifariki alipokuwa mdogo. [1] Wakati wa utoto wake, Cargle alicheza soka na alikuwa msichana wa skauti . [2] Cargle na mama yake waliishi katika nyumba namba 8 katika kitongoji tajiri, ambapo alisema ilimfanya afahamu tofauti za kiuchumi kati yake na wenzake wazungu. [2]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "I Refuse to Listen to White Women Cry". Septemba 11, 2019. Iliwekwa mnamo 22 Juni 2020.
{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - 1 2 "'Dear White Women': The Public Classroom of Rachel Cargle". Juni 18, 2020. Iliwekwa mnamo 22 Juni 2020.
{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
| Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Rachel Cargle kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |