Peter Gabriel

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Peter Gabriel
Peter Gabriel mwaka 2008
Peter Gabriel mwaka 2008
Maelezo ya awali

Peter Brian Gabriel (amezaliwa 13 Februari 1950) ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo Mwingereza. Alikuwa maarufu kama mwimbaji na mchezaji wa filimbi katika kundi la rock la Genesis. [1]

Baada ya kutoka Genesis, Gabriel aliendelea na kazi yake binafsi. Hivi majuzi ametumia wakati wake kutunga na kupiga muziki inayotumia staili za tamaduni mbalimbai duniani ("world music"). Alikazia njia za usambazaji wa kidijiti kwa muziki yake. Ameshiriki pia katika juhudi mbali mbali za tamasha ya kifadhila. Gabriel alipewa Tuzo la Polar Music Prize mnamo 2009. Pia ameingizwa kwenye Rock and Roll Hall of Fame mnamo 2014.

Rekodi zake[hariri | hariri chanzo]

  • Kuanzia Mwanzo hadi Ufunuo (1969) - na Mwanzo
  • Dhambi (1970) - na Mwanzo
  • Nursery Cryme (1971) - na Mwanzo
  • Foxtrot (1972) - na Mwanzo
  • Kuuza England na Pound (1973) - na Mwanzo
  • Mwana-Kondoo Analala Kwenye Broadway (1974) - na Mwanzo
  • Peter Gabriel (Gari) (1977)
  • Peter Gabriel (mwanzo) (1978)
  • Peter Gabriel (Melt) (1980)
  • Peter Gabriel (Usalama) (1982)
  • Ndege (1985)
  • Kwa hivyo (1986)
  • Passion (1989)
  • Sisi (1992)
  • OVO (2000)
  • Matembezi Marefu Nyumbani (2002)
  • Hadi (2002)
  • Pindua mgongo wangu (2010)
  • Damu Mpya (2011)
  • i/o (2023)

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Peter Gabriel Biography Archived 25 Agosti 2011 at the Wayback Machine. PeterGabriel.com