Patermuti na wenzake
Mandhari
Patermuti na wenzake Kopra na Aleksanda (walifariki 363 hivi) ni kati ya Wakristo wa Misri waliouawa kwa ajili ya imani yao wakati wa dhuluma ya kaisari Juliani Mwasi[1].
Kwa kuwa hayajulikani mengine kuhusu historia yao, hawaorodheshwi tena na Martyrologium Romanum.
Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Patermutius, a notorious robber and thief, converted to Christianity, brought to the faith by Saint Copra. Desert hermit in Egypt. At age 75, he was arrested in the persecutions of Julian the Apostate for refusing to sacrifice to idols. Julian sent Copra, who had renounced Christianity, to convince Patermutius to do the same. Instead, Patermutius brought Copra back to the faith. Thrown into a flaming furnace for his defiance, he was unharmed by the fire and was seen standing and praying; this show of faith and strength brought Saint Alexander of Egypt to convert. Patermutius was then pulled from the furnace and executed.
- ↑ http://catholicsaints.info/saint-patermutius-of-egypt/
- ↑ http://catholicsaints.info/saint-copra-of-egypt/
- ↑ http://catholicsaints.info/saint-alexander-of-egypt-9-july/
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |