Njegere ya kizungu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mmea wa Ngegere ukiwa na maua

Njegere za kizungu (jina la kisayansi kwa Kilatiniː Pisum sativum) ni mbegu za aina ya mimea ambayo hukuzwa sehemu mbalimbali za dunia.

Mimea hii inapatikana katika spishi za Dicotyledonae katika himaya Plantae.

Mbegu za njegere za kizungu ni za mviringo kwa asili yake.

Njegere za kizungu zipo katika makundi mbalimbali kulingana na rangi za maua kama vile nyeupe, nyekundu na njano.

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Njegere ya kizungu kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.